Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Baada ya UN, Iran yaitaarifu EU: Tutalitia adabu genge la wahalifu la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Baada ya UN, Iran yaitaarifu EU: Tutalitia adabu genge la wahalifu la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 03, 2024 03:27

    Iran itatumia haki yake ya asili na halali ya kuliadhibu "genge la wahalifu la Kizayuni" kwa shambulio lake la kigaidi la siku ya Jumatano iliyopita, ambalo lilipelekea kuuawa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniyeh mjini Tehran.

  • Onyo la Waziri Mkuu wa Hungary kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Onyo la Waziri Mkuu wa Hungary kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Jul 28, 2024 06:59

    Waziri Mkuu wa Hungary amekosoa siasa za nje za Umoja wa Ulaya zinazofuata na kuegemea upande wa Marekani na kuonya kuhusu uwezekano wa kujiangamiza umoja huo katika siku zijazo.

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Ulaya wasisitiza udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza

    Jul 12, 2024 22:43

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza ni mbaya na isiyovumilika.

  • EU: Tuko tayari kuboresha ushirikiano na Iran

    EU: Tuko tayari kuboresha ushirikiano na Iran

    Jul 07, 2024 04:07

    Msemaji wa Umoja wa Ulaya anayehusika na sera ya mambo ya nje na usalama amempongeza Rais mteule wa Iran na kusema umoja huo uko tayari kustawisha ushirikiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Alkhamisi, Julai 4, 2024

    Alkhamisi, Julai 4, 2024

    Jul 03, 2024 22:47

    Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Mfunguo Tatu Dhulhija 1445 Hijria sawa na tarehe 4 Julai 2024 Milaadia.

  • Borrell: Umoja wa Ulaya uchague ama vita au Israel

    Borrell: Umoja wa Ulaya uchague ama vita au Israel

    May 25, 2024 07:33

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema EU inapasa kuweka bayana msimamo wake kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kuutaka utawala wa Israel usitishe mara moja mashambulizi yake ya kijeshi mjini Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Waarabu wazipongeza nchi za Ulaya zilizolitambua taifa la Palestina

    Waarabu wazipongeza nchi za Ulaya zilizolitambua taifa la Palestina

    May 23, 2024 06:58

    Mataifa ya Kiarabu yamekaribisha hatua ya baadhi ya nchi za Ulaya ya kutangaza rasmi kulitambua taifa la Palestina.

  • Russia: Umoja wa Ulaya hauna uvumilivu katika suala la uhuru wa kutoa maoni

    Russia: Umoja wa Ulaya hauna uvumilivu katika suala la uhuru wa kutoa maoni

    May 19, 2024 07:09

    Spika wa Bunge la Russia Duma ameushutumu Umoja wa Ulaya (EU) kwa kubana maoni mbadala na kuminya uhuru wa kujieleza kwa lengo la kuwahadaa raia.

  • Borrell: Nchi 4 za Ulaya kulitambua taifa la Palestina

    Borrell: Nchi 4 za Ulaya kulitambua taifa la Palestina

    May 11, 2024 04:28

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amethibitisha kuwa nchi nne za Ulaya zitaitambua Palestina kama taifa huru.

  • Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza

    Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza

    May 10, 2024 03:53

    Ethiopia imeeleza kughadhabishwa na hatua ya Baraza la Umoja wa Ulaya ya kuwawekea raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika vikwazo na vizingiti katika upokeaji wa viza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS