• Kuendelea mpambano wa Magharibi mkabala wa Russia; mara hii vikwazo vya dhahabu

    Kuendelea mpambano wa Magharibi mkabala wa Russia; mara hii vikwazo vya dhahabu

    Jul 17, 2022 03:55

    Nchi za Magharibi zinaendelea kustafidi na wenzo wa mashinikizo kwa Russia kupitia njia mbalimbali kama kuiwekea nchi hiyo vifurushi vya vikwazo vipya kufuatia hatua yake ya kuanzisha vita dhidi ya Ukraine; ambapo Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa uuzaji nje wa dhahabu kutoka Russia utajumuishwa katika kalibu ya vikwazo vipya vya umoja huo.

  • Kusimamishwa usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ulaya

    Kusimamishwa usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ulaya

    Jul 14, 2022 03:18

    Usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ujerumani kupitia bomba la "Nord Stream 1" katika Bahari ya Baltic, ulisimamishwa Jumatatu kwa muda wa siku 10.

  • Ulaya yalegeza msimamo katika vikwazo vya mafuta ilivyoiwekea Russia

    Ulaya yalegeza msimamo katika vikwazo vya mafuta ilivyoiwekea Russia

    Jun 26, 2022 02:28

    Shirika la habari za uchumi la Bloomberg limeripoti kuwa, ukiwa haujatimia hata mwezi mmoja tangu Umoja wa Ulaya ulipoiwekea Russia vikwazo vya mafuta, bara hilo limeongeza kiwango cha mafuta linachonunua kwa Moscow.

  • Kuendelea vitendo visivyo vya kibinadamu vya madola ya Ulaya dhidi ya wahajiri

    Kuendelea vitendo visivyo vya kibinadamu vya madola ya Ulaya dhidi ya wahajiri

    Jun 12, 2022 02:33

    Baada ya serikali ya Uingereza kuchukua uamuzi wa kuwahamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini Uingereza, sasa mahakama ya nchi hiyo nayo imeunga mkono na kuidhinisha uamuzi huo.

  • Umoja wa Ulaya waipendelea Uhispania, waionya Algeria

    Umoja wa Ulaya waipendelea Uhispania, waionya Algeria

    Jun 11, 2022 07:25

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Barrell ameonesha waziwazi kuipendelea Uhispania katika mgogoro wake na Algeria kwa kuionya Algiers kuhusu kusimamisha ushirikiano wake na Madrid.

  • Umoja wa Ulaya washindwa kuiwekea Russia vikwazo vya mafuta; hitilafu zaongezeka

    Umoja wa Ulaya washindwa kuiwekea Russia vikwazo vya mafuta; hitilafu zaongezeka

    May 30, 2022 11:02

    Jitihada za Umoja wa Ulaya za kufikia muafaka kuhusu kutekeleza awamu ya sita ya vikwazo dhidi ya Russia zimegonga mwamba kwani Hungary ni moja ya wapinzani wakubwa zaidi wa mpango huo. Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Umoja wa Ulaya katika kikao chao maalumu cha Jumapili walijadili mpango wa kuzuia meli za mafuta za Russia kuingiza mafuta Ulaya lakini waruhusu mafuta hayo yaingie kwa mabomba. Hata hivyo mazungumzo hayo yalimalizika bila natija.

  • Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi

    Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi

    May 19, 2022 02:12

    Huku mgogoro wa kiuchumi na kisiasa ukiendelea katika baadhi ya nchi za Asia na huku vita baina ya Ukraine na Russia navyo vikiendelea, wimbi la wakimbizi katika mipaka ya nchi za Ulaya nalo limeongezeka.

  • Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    May 18, 2022 03:04

    Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kikao cha mawaziri wa umoja huo mjini Brussels Ubelgiji kwamba, hakuna uwezekano wa kufikiwa makubaliano kuhusiana na kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya Russia.

  • Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    May 06, 2022 02:37

    Licha ya vitisho vya Umoja wa Ulaya kuhusiana na kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia katika fremu ya kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya nchi hiyo, lakini jambo hilo linaonekana kukabiliwa na upinzani mkali barani humo na hata baadhi ya viongozi wa Marekani kutoa onyo dhidi ya hatua hiyo.

  • Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    May 05, 2022 02:15

    Ikulu ya Kremlin imetangaza Jumanne kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia ametia saini amri ya kukabiliana na 'hatua zisizo za kirafiki za baadhi ya nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa." Dikrii hiyo inasisitiza hatua za kulipiza kisasi dhidi ya nchi ambazo zimetajwa kuwa 'zisizo za kirafiki'. Kwa mujibu wa amri hiyo Russia itaziwekea vikwazo baadhi ya nchi na taasisi za kimataifa.