Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Onyo jipya kuhusu kuingia  NATO katika vita vya Ukraine

    Onyo jipya kuhusu kuingia NATO katika vita vya Ukraine

    Apr 23, 2024 04:25

    Viktor Orbán, Waziri Mkuu wa Hungary amesema katika taarifa kwamba viongozi wa Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kujihami ya Kijeshi ya Magharibi (NATO) wanauchukulia mzozo wa Moscow na Kyiv kuwa ni wao na wala hawazingatii hatari ya kujihusisha na mzozo huo. Ameonya kuwa NATO inakaribia kutuma askari wake huko Ukraine.

  • Jumatano, tarehe 10 Aprili, 2024

    Jumatano, tarehe 10 Aprili, 2024

    Apr 10, 2024 03:38

    Leo ni tarehe Mosi Shawwal 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 10 Aprili 2024.

  • Moscow: EU imekiri kuwa inahudumia ubeberu wa Marekani

    Moscow: EU imekiri kuwa inahudumia ubeberu wa Marekani

    Mar 27, 2024 02:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema matamshi ya karibuni ya Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ni ungamo la Magharibi kwamba inajihusisha na mgogoro wa Ukraine ili kuisaidia Marekani kudumisha nafasi yake ya ubeberu duniani.

  • Jumatatu, 25 Machi, 2024

    Jumatatu, 25 Machi, 2024

    Mar 25, 2024 02:08

    Leo ni Jumatatu tarehe 14 Ramadhani 1445 Hijria, sawa na tarehe 25 Machi, 2024.

  • Viongozi wa EU waionya Israel dhidi ya kuishambulia Rafah

    Viongozi wa EU waionya Israel dhidi ya kuishambulia Rafah

    Mar 22, 2024 10:57

    Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ufute mpango wake wa kuuvamia na kuushambulia kijeshi kupitia ardhini mji wa Rafah ulioko kusini ya Ukanda wa Gaza.

  • Borrell: Gaza limegeuka kaburi kubwa zaidi la wazi duniani

    Borrell: Gaza limegeuka kaburi kubwa zaidi la wazi duniani

    Mar 19, 2024 03:29

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya huku akieleza wasiwasi mkubwa alionao kuhusu mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa, eneo hilo la Wapalestina lililozingirwa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la wazi duniani.

  • Borrell: Israel inafanya mauaji ya halaiki dhidi ya watu wa Gaza

    Borrell: Israel inafanya mauaji ya halaiki dhidi ya watu wa Gaza

    Mar 16, 2024 02:23

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ambaye katika siku za hivi karibuni ameutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa unatumia "njaa kama silaha" katika vita vya Gaza, ameonya kuwa utawala huo unawaua watu wa Gaza kwa umati.

  • EU yaikosoa Israel kwa kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza

    EU yaikosoa Israel kwa kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza

    Mar 03, 2024 07:39

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuzuia kuingizwa na kusambazwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.

  • Nchi 26 kati ya 27 za EU zataka 'kusitishwa vita haraka kwa sababu za kibinadamu' Ghazza

    Nchi 26 kati ya 27 za EU zataka 'kusitishwa vita haraka kwa sababu za kibinadamu' Ghazza

    Feb 20, 2024 07:06

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell ametangaza kuwa, nchi zote wanachama wa umoja huo isipokuwa moja tu, ambazo ni 26 kati ya 27, zimetoa wito wa "kusitishwa mara moja mapigano huko Ghazza kwa sababu za kibinadamu", usitishaji ambao utapelekea kupatikana usitishaji wa kudumu wa vita katika eneo hilo.

  • Mkuu wa Sera za Nje wa EU ataka upelekaji silaha kwa Israel ukomeshwe ili kupunguza maafa Gaza

    Mkuu wa Sera za Nje wa EU ataka upelekaji silaha kwa Israel ukomeshwe ili kupunguza maafa Gaza

    Feb 13, 2024 07:22

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa wito kwa washirika wa utawala wa Kizayuni Israel kukomesha upelekaji silaha kwa utawala huo ghasibu iwapo wanataka kupunguza vifo vya raia vinavyosababishwa na vita vyake vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS