Pars Today
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema masuala ya msingi na kuondolewa Iran vikwazo havipaswi kuathiriwa na tabia ya kujitakia makuu Marekani.
Mjumbe mmoja wa ngazi za juu katika bunge la Ujerumani amesema kuwa mkondo wa kuipa Ukraine uanachama katika Umoja wa Ulaya ni hatari kwa maslahi ya umoja huo na kwamba njia bora ni kuipa Ukraine uanachama wa heshima tu.
Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.
Bunge la Ulaya limepitisha ombi la Ukraine la kujiunga na jumuiya hiyo kwa kura 637 za 'ndiyo' 13 za 'hapana' huku wajumbe 26 wakiamua kutopiga kura.
Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.
Naibu Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya Vienna yenye lengo la kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanaelekea ukingoni, na hivi sasa yako katika marhala hasasi na nyeti.
Umoja wa Ulaya umetoa taarifa katika radiamali yake kwa mashambulizi ya kuadhibu ya jeshi la Yemen huko Abu Dhabi na kusisitiza kuwa mapigano yanayoendelea Yemen yanaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya kisiasa tu.
Huku mizozo ya kisiasa na kiuchumi ikiendelea kupanuka Asia Magharibi na katika nchi nyingi za Afrika, wimbi la watu wanaotafuta hifadhi na wakimbizi barani Ulaya linaendelea kwa kasi kubwa.
Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa udharura wa kuwepo ushirikiana na kundi la Taliban lakini ushirikiano huo unapaswa kufanyika kwa masharti.
Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa umoja huo hautaitambua serikali ya kundi la Taliban inayotawala nchini Afghanistan.