Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Iran: EU imefanya kosa kubwa kuiweka IRGC katika orodha ya ugaidi

    Iran: EU imefanya kosa kubwa kuiweka IRGC katika orodha ya ugaidi

    Jan 19, 2023 07:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Bunge la Ulaya limefanya kosa kubwa kwa kupiga kura ya kuutaka Umoja wa Ulaya na nchi wanachama wa EU kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika orodha ya makundi ya kigaidi.

  • Umoja wa Ulaya washindwa kulaani uchochezi wa waziri mwenye itikadi za kibaguzi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa.

    Umoja wa Ulaya washindwa kulaani uchochezi wa waziri mwenye itikadi za kibaguzi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa.

    Jan 05, 2023 04:29

    Kitendo cha uchochezi cha waziri mwenye itikadi kali na za kibaguzi wa baraza la mawaziri la utawala haramu wa Israel katika kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa hakijakabiliwa na hatua yoyote ya maana kutoka kwa Umoja wa Ulaya.

  • Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani yaushtaki Umoja wa Ulaya; kuongezeka hitilafu kati ya pande mbili.

    Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani yaushtaki Umoja wa Ulaya; kuongezeka hitilafu kati ya pande mbili.

    Dec 30, 2022 05:26

    Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani Exxon, ikiwa ni moja ya wauzaji wakubwa wa mafuta katika bara Ulaya, imushtaki Umoja wa Ulaya kwa kuyatoza makampuni ya mafuta ushuru mpya unaojulikana kama "kodi ya malipo kwa mapatano yanayopatikana bila kutoa jasho."

  • Medvedev atabiri kugawanyika Marekani, Ulaya; Elon Musk kuwa rais wa Marekani mwaka 2023

    Medvedev atabiri kugawanyika Marekani, Ulaya; Elon Musk kuwa rais wa Marekani mwaka 2023

    Dec 28, 2022 00:54

    Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amewasilisha utabiri wake wa mwaka mpya wa 2023 unaojumuisha hatima mbaya kwa Merekani na Umoja wa Ulaya, ambazo zimekuwa kwenye mzozo mkali na Russia tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine tarehe 14 Februari mwaka huu.

  • Kukatwa matangazo ya kanali za Irani na Russia katika satelaiti ya Eutelsat; ishara ya ukiukaji wa uhuru wa kujieleza

    Kukatwa matangazo ya kanali za Irani na Russia katika satelaiti ya Eutelsat; ishara ya ukiukaji wa uhuru wa kujieleza

    Dec 23, 2022 05:00

    Shirika la satelaiti la Utelsat limepata hasara ya euro milioni kadhaa kutokana na uamuzi wake wa kukata matangazo ya kanali za Iran na Russia kwenye satelaiti hiyo.

  • Mazungumzo ya Josep Borrell na Amir-Abdollahian nchini Jordan; msimamo baridi wa Umoja wa Ulaya

    Mazungumzo ya Josep Borrell na Amir-Abdollahian nchini Jordan; msimamo baridi wa Umoja wa Ulaya

    Dec 20, 2022 22:46

    Jumanne ya jana tarehe 20 Disemba, Waziri wa Mashauri ya Kiigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya pambizoni mwa mkutano wa Baghdad-2 uliofanyika katika mji mkuu wa Jordan, Amman.

  • Maelfu ya wahajiri wamepigwa na kudhalilishwa katika mipaka ya EU

    Maelfu ya wahajiri wamepigwa na kudhalilishwa katika mipaka ya EU

    Dec 09, 2022 22:52

    Ripoti mpya iliyotolewa na shirika moja la kutetea haki za binadamu imefichua kuwa, maelfu ya wahajiri walipewa kichapo cha mbwa, baadhi wakadhalilishwa na wengine wakazuiliwa kinyume cha sheria kabla ya kurejeshwa waliokotoka na askari wa mipaka ya nchi za Umoja wa Ulaya.

  • Wasiwasi kuhusu hasara za Ulaya katika vita vya Ukraine

    Wasiwasi kuhusu hasara za Ulaya katika vita vya Ukraine

    Dec 05, 2022 04:16

    Baada ya kupita takriban miezi 10 tangu kuanza vita vya Ukraine na thari zake mbaya, mkuu wa Baraza la Ulaya amekiri kwamba, nchi za bara hilo zimepata hasara zaidi katika vita hivyo kuliko Marekani.

  • Ukosoaji wa Moscow kwa msimamo mpya wa Umoja wa Ulaya na Ujerumani kuhusu mfumo mpya wa usalama wa Ulaya

    Ukosoaji wa Moscow kwa msimamo mpya wa Umoja wa Ulaya na Ujerumani kuhusu mfumo mpya wa usalama wa Ulaya

    Dec 03, 2022 23:09

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amekosoa matamshi ya Josep Borrell Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya na Annalena Baerbock Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani kuhusu ulazima wa kuanzishwa mfumo mpya wa usalama wa Ulaya dhidi ya Moscow.

  • Unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Nov 24, 2022 05:29

    Matukio ya ndani ya miezi miwili iliyopita nchini Iran yamezifanya nchi za Ulaya zichukue hatua za kihasama za kuiwekea vikwazo na kuitishia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS