-
Sisitizo la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa EU juu ya kulinda makubaliano ya JCPOA na kuimarisha usalama wa Ghuba ya Uajemi
Aug 31, 2019 07:40Umoja wa Ulaya pamoja na Troika ya Ulaya zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 mara kadhaa zimesisitiza kuwa kuna udharura wa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na wakati huo huo kurejesha uthabiti na usalama katika Ghuba ya Uajemi kwa kuzingatia chokochoko za Marekani katika eneo hilo la maji lenye umuhimu wa kijio-stratejia.
-
EU yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Kashmir kwa njia ya kisiasa
Aug 28, 2019 08:04Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuwa utatuzi wa kisiasa ndio njia pekee inayoweza kumalizika hitilafu katika eneo la Kashmir kati ya India na Pakistan.
-
Nchi za Ulaya zaanza kuchunguza hatua za kupambana na Trump
Aug 23, 2019 03:14Umoja wa Ulaya umeanza kujadili mpango wa kupambana na rais wa Marekani, Donald Trump anayeendesha siasa chafu za kibiashara dhidi ya nchi za Ulaya.
-
Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA
Aug 15, 2019 05:44Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo yaani, Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, kama wanachama wa kundi la 4+1 wamekuwa wakidai kuwa wanaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA. Pamoja na hayo, hivi sasa Ulaya inakabiliwa na changamoto kubwa katika kulinda mapatano ya JCPOA. Ni kwa msingi huo ndio wakuu wa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya wakasisitiza kuhusu kulinda JCPOA.
-
Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi
Aug 04, 2019 02:25Kuongezema mivutano katika eneo la Ghuba ya Uajemi kulikosababishwa na hatua za kichokozi na vitisho za Marekani na vile vile hatua ya Iran ya kuisimamisha meli ya mafuta ya Uingereza kwa kukiuka wazi wazi sheria za baharini kumezipelekea Washington na London kufanya kila linalowezekana ili kuimarisha uwepo wao wa kijeshi sambamba na kuanzisha muungano wa baharini eti kwa ajili ya kudhamini usalama wa meli huru katika eneo hilo la kistratejia.
-
Umoja wa Ulaya wamwonya Boris Johnson kuhusiana na Brexit
Jul 25, 2019 06:18Hatimaye baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, uamuzi wa kumchagua kiongozi wa chama cha Wahafidhina na Waziri Mkuu wa Uingereza umechukuliwa, baada ya Boris Johnson kuchaguliwa kuhudumu katika nafasi hizo.
-
Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Korea ya Kaskazini
Jul 16, 2019 22:05Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha muda wa vikwazo vyake dhidi ya Korea ya Kaskazini ikiwa ni radiamali yake kwa majaribio ya makombora na silaha za nyuklia ya nchi hiyo.
-
EU: Iran kupunguza uwajibikaji wake hakujakiuka JCPOA
Jul 16, 2019 03:26Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia haijakiuka pakubwa mapatano hayo ya JCPOA.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kujitoa Marekani katika JCPOA, sababu kuu ya mgogoro Mashariki ya Kati
Jul 13, 2019 22:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amefanya mazungumzo na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya mjini Baghdad ambapo alisema kuwa hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni sababu kuu ya mgogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Iran: Ni haki yetu kuchukua hatua za kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani
Jul 07, 2019 22:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni haki ya Tehran kuchukua hatua za kisheria ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA katika kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi yake.