-
Msimamo wa viongozi wa EU dhidi ya Russia; kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Uingereza
Mar 24, 2018 02:43Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wameamua katika kikao chao walichofanya kwenye makao makuu ya umoja huo yaliyoko mjini Brussels kuchukua msimamo mmoja wa kuiunga mkono Uingereza dhidi ya Russia.
-
Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 16, 2018 03:20Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.
-
Mbunge wa UK: EU imefanya duru 14 za mazungumzo ya siri na Korea Kaskazini
Mar 15, 2018 03:16Mbunge wa chama cha Wahafidhina cha Uingereza katika bunge la Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya siri yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita na ujumbe wa wabunge wa bunge la EU na maafisa wa Korea Kaskazini ndiyo yaliyoifanya nchi hiyo ishawishike kuachana na shughuli zake za nyuklia.
-
Iran: Hatufanyi mazungumzo na EU kuhusu kuimarika ushawishi wetu M/Kati
Mar 04, 2018 00:02Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha ripoti zilizodai kuwa Tehran na nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya EU zimeanza kufanya mazungumzo kuhusu nafasi ya taifa hili katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
EU: Vitongoji vyote vya walowezi wa Kiyahudi ni haramu
Feb 27, 2018 10:44Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema vitongoji vyote vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni haramu na vizingiti vya kupatikana amani Mashariki ya Kati.
-
Ahadi za misaada ya Ulaya kwa bara la Afrika
Feb 24, 2018 08:51Mkutano wa Kimataifa wa kulisaidia eneo la Sahel barani Afrika umefanyika huko Brussels mji mkuu wa Ubelgiji ukihudhuriwa na wakuu wa zaidi ya nchi 30 za Ulaya na Kiafrika kwa kusomwa ujumbe wa Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
-
EU, HRW na Amnesty zaitaka Bahrain imuachie huru mwanaharakati aliyeikosoa Saudia
Feb 23, 2018 04:05Umoja wa Ulaya umeitaka serikali ya Bahrain imuachie huru Nabeel Rajab, mwanaharakati mashuhuri wa masuala ya haki za binadamu nchini humo, ambaye siku ya Jumatano alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kile kilichoelezwa kwamba, ni kupatikana na hatia ya uchochezi na kutoa jumbe za kukosoa utawala wa nchi hiyo na utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia.
-
Hofu ya kumiminika magaidi Ulaya yaishajiisha EU izidi kuisaidia kifedha Afrika kupambana na ugaidi
Feb 22, 2018 10:56Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuwa utazidisha kiwango cha ushiriki wake kifedha katika kupambana na ugaidi kwenye eneo la Sahel barani Afrika kutokana na hofu ya kurejea magaidi barani Ulaya.
-
Israel yabomoa shule za EU huko Palestina inyaokaliwa kwa mabavu
Feb 09, 2018 11:00Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, Wapalestina na Mabedui wanaoishi katika kitongoji cha Area C katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina wapo katika hatari ya kufurushwa kwenye makazi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
IAEA na EU zatetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Feb 09, 2018 00:00Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na Umoja wa Ulaya (EU) zimetetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi za kundi la 5+1.