Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNESCO

  • Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu

    Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu

    Dec 04, 2018 13:39

    Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeitangaza kuwa, Iran inashikilia rekodi ya ustawi na kukua idadi ya wanafunzi wa kigeni wanaopata elimu katika vyuo vyake vikuu.

  • UNESCO yajumuisha maeneo 8 ya Iran katika orodha ya turathi za dunia

    UNESCO yajumuisha maeneo 8 ya Iran katika orodha ya turathi za dunia

    Jul 01, 2018 07:26

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeyaweka maeneo manane ya kihistoria ya kabla ya ujio wa Uislamu hapa nchini Iran katika orodha yake ya turathi za dunia.

  • Marekani, Israel zatengwa kimataifa baada ya kujiondoa UNESCO

    Marekani, Israel zatengwa kimataifa baada ya kujiondoa UNESCO

    Oct 13, 2017 14:56

    Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zimetengwa kimataifa bada ya kutangaza kujiondoa katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO.

  • Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Oct 12, 2017 14:17

    Marekani imetangaza kuwa itajiondoa kwenye Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuanzia Disemba 31 mwaka huu.

  • UNESCO: Watoto milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma Sudan Kusini

    UNESCO: Watoto milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma Sudan Kusini

    Sep 09, 2017 03:47

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO limetangaza kuwa, watoto wapatao milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma katika nchi ya Sudan Kusini kutokana na hali mbaya ya vita na ukosefu wa amani.

  • UNESCO: Watu Milioni 750 hawajui kusoma na kuandika duniani

    UNESCO: Watu Milioni 750 hawajui kusoma na kuandika duniani

    Sep 08, 2017 07:43

    Leo Septemba nane ni siku ya kimataifa ya kupinga ujinga wa kutojua kusoma na kuandika ambapo kaulimbiu ya mwaka huu ni 'kusoma na kuandika katika dunia ya kidijitali'.

  • UNESCO: Al Khalil (Hebron) ni turathi ya kimataifa ya Palestina

    UNESCO: Al Khalil (Hebron) ni turathi ya kimataifa ya Palestina

    Jul 26, 2017 10:10

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeuweka mji wa al Khalil na Haram ya Nabii Ibrahim (as) katika orodha ya turathi za kimataifa zinazokabiliwa na hatari ya kutoweka na limelaani vikali hatua za utawala ghasibu wa Israel katika eneo hilo.

  • HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina

    HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina

    Jul 09, 2017 07:39

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi wa Palestina na hakuna wakati ambao Tehran ilisitisha himaya na uungaji mkono wake huo.

  • Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Jul 08, 2017 02:52

    Wito uliotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha Shirika la Elimu, Syansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kunyamaza kimya dakika moja ili kuonesha heshima kwa eti wahanga wa mauaji ya Holocaust umekabiliwa na upinzani mkali wa mwakilishi wa Cuba katika kikao hicho.

  • UNESCO yaalani vikali hatua ya Daesh ya kubomoa msikiti wa kihistoria wa al Nuri

    UNESCO yaalani vikali hatua ya Daesh ya kubomoa msikiti wa kihistoria wa al Nuri

    Jun 23, 2017 04:34

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limelaani vikali hatua ya kundi la kigaidi la Daesh ya kubomoa Msikiti wa kihistoria wa al Nuri katika mji wa Mosul nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS