-
Iran yaweka rekodi ya ongezeko la wanafunzi wengi wa kigeni katika vyuo vikuu
Dec 04, 2018 13:39Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeitangaza kuwa, Iran inashikilia rekodi ya ustawi na kukua idadi ya wanafunzi wa kigeni wanaopata elimu katika vyuo vyake vikuu.
-
UNESCO yajumuisha maeneo 8 ya Iran katika orodha ya turathi za dunia
Jul 01, 2018 07:26Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeyaweka maeneo manane ya kihistoria ya kabla ya ujio wa Uislamu hapa nchini Iran katika orodha yake ya turathi za dunia.
-
Marekani, Israel zatengwa kimataifa baada ya kujiondoa UNESCO
Oct 13, 2017 14:56Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zimetengwa kimataifa bada ya kutangaza kujiondoa katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO.
-
Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu
Oct 12, 2017 14:17Marekani imetangaza kuwa itajiondoa kwenye Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuanzia Disemba 31 mwaka huu.
-
UNESCO: Watoto milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma Sudan Kusini
Sep 09, 2017 03:47Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO limetangaza kuwa, watoto wapatao milioni 1.8 wamenyimwa fursa ya kusoma katika nchi ya Sudan Kusini kutokana na hali mbaya ya vita na ukosefu wa amani.
-
UNESCO: Watu Milioni 750 hawajui kusoma na kuandika duniani
Sep 08, 2017 07:43Leo Septemba nane ni siku ya kimataifa ya kupinga ujinga wa kutojua kusoma na kuandika ambapo kaulimbiu ya mwaka huu ni 'kusoma na kuandika katika dunia ya kidijitali'.
-
UNESCO: Al Khalil (Hebron) ni turathi ya kimataifa ya Palestina
Jul 26, 2017 10:10Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeuweka mji wa al Khalil na Haram ya Nabii Ibrahim (as) katika orodha ya turathi za kimataifa zinazokabiliwa na hatari ya kutoweka na limelaani vikali hatua za utawala ghasibu wa Israel katika eneo hilo.
-
HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina
Jul 09, 2017 07:39Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi wa Palestina na hakuna wakati ambao Tehran ilisitisha himaya na uungaji mkono wake huo.
-
Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust
Jul 08, 2017 02:52Wito uliotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha Shirika la Elimu, Syansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kunyamaza kimya dakika moja ili kuonesha heshima kwa eti wahanga wa mauaji ya Holocaust umekabiliwa na upinzani mkali wa mwakilishi wa Cuba katika kikao hicho.
-
UNESCO yaalani vikali hatua ya Daesh ya kubomoa msikiti wa kihistoria wa al Nuri
Jun 23, 2017 04:34Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limelaani vikali hatua ya kundi la kigaidi la Daesh ya kubomoa Msikiti wa kihistoria wa al Nuri katika mji wa Mosul nchini Iraq.