-
Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust
Jul 08, 2017 02:52Wito uliotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha Shirika la Elimu, Syansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kunyamaza kimya dakika moja ili kuonesha heshima kwa eti wahanga wa mauaji ya Holocaust umekabiliwa na upinzani mkali wa mwakilishi wa Cuba katika kikao hicho.
-
UNESCO yaalani vikali hatua ya Daesh ya kubomoa msikiti wa kihistoria wa al Nuri
Jun 23, 2017 04:34Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limelaani vikali hatua ya kundi la kigaidi la Daesh ya kubomoa Msikiti wa kihistoria wa al Nuri katika mji wa Mosul nchini Iraq.
-
UNESCO yakosoa sera za Israel za kukalia kwa mabavu Palestina
May 03, 2017 11:40Kamati ya Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Utamaduni na Sayansi UNESCO Jumanne ilipitisha azimio ambalo liliulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukiuka sheria za kimataifa katika mji wa Quds (Jerusalem) na Ukanda wa Ghaza.
-
UNESCO yatahadharisha kuhusu ukatili unaofanywa dhidi ya wanafunzi mashuleni
Jan 17, 2017 16:30Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limetangaza kuwa, mamilioni ya wasichana na wavulana hukumbana na unyanyasaji na uonevu wanapokuwa mashuleni katika maeneo mbalimbali ya dunia.
-
UNESCO yapinga njama za kuiyahudisha Baitul Muqaddas
Nov 09, 2016 11:16Eneo la Baitul Muqaddas (Jerusalem) na Haram tukufu ya Msikiti wa al Aqsa limekuwa likizusha hitilafu na migogoro kwa miaka mingi.
-
Mwandishi habari mmoja huaga dunia kila siku nne na nusu
Nov 03, 2016 03:53Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) llimetangaza kuwa mwandishi habari mmoja duniani hupoteza maisha katika kila siku nne na nusu.
-
Unesco yawasilisha azimio jipya la kulaani kuharibiwa athari za kihistoria na Israel
Oct 26, 2016 07:44Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa limewasilisha azimio jipya linalolaani hatua ya Israel ya kuharibu athari za kale katika maeneo matukufu ya Palestina.
-
Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Umaskini
Oct 20, 2016 10:33Tarehe 17 Oktoba ambayo mwaka huu imesadifiana na siku ya Jumatatu, huadhimishwa kila mwaka kwa jina la Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Umaskini.
-
UNESCO yathibitisha tena kuwa msikiti wa Al-Aqsa ni milki ya Waislamu
Oct 19, 2016 04:04Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limethibitisha tena kwamba msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu ni milki ya Wapalestina.
-
Iran yakaribisha hatua ya UNESCO kuhusiana na Msikiti wa Al-Aqsa
Oct 16, 2016 03:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha hatua ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) ya kuthibitisha haki ya wananchi wa Palestina kuhusiana na ardhi na matukufu yao.