Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Khalifa

  • Wananchi wa Bahrain waendelea kupinga siasa za utawala wa Aal Khalifa

    Wananchi wa Bahrain waendelea kupinga siasa za utawala wa Aal Khalifa

    Aug 28, 2018 03:32

    Wananchi wa Bahrain wameendelea kufanya maandamano wakipaza sauti za kupinga siasa za utawala wa kifamilia wa Aal Khalifa.

  • Utawala wa Aal Khalifa waendelea kubomoa misikiti ya Waislamu wa Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa waendelea kubomoa misikiti ya Waislamu wa Bahrain

    Aug 07, 2018 14:33

    Utawala wa Aal Khalifa umeendeleza hatua kandamizi dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Bahrain kwa kuubomoa tena msikiti mwengine wa Waislamu hao.

  • Sheikh Issa Qassim apelekwa uwanja wa ndege Bahrain ili kusafirishwa nje kwa matibabu

    Sheikh Issa Qassim apelekwa uwanja wa ndege Bahrain ili kusafirishwa nje kwa matibabu

    Jul 09, 2018 08:12

    Sheikh Issa Qassim mwanazuoni mtajika wa Kiislamu wa nchini Bahrain amepelekwa uwanja wa ndege akiwa katika gari ya wagonjwa ili kusafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu.

  • Utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi

    Utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi

    Jul 01, 2018 13:58

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya al Amal ya Bahrain ameeleza kuwa utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi wa nchi hiyo.

  • Al Wifaq: Utawala wa Bahrain unahusika na kuharibika afya ya Sheikh Issa Qassim

    Al Wifaq: Utawala wa Bahrain unahusika na kuharibika afya ya Sheikh Issa Qassim

    Jun 26, 2018 04:20

    Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya Bahrain imetoa taarifa na kutangaza kuwa utawala wa Bahrain ukiongozwa na mfalme wa nchi hiyo kwa pamoja wanahusika katika kuwa mbaya hali ya kiafya ya Sheikh Issa Qassim mwanazuoni mtajika wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Aal-Khalifa wawazuia wafungwa kushiriki ibada za mwezi wa Ramadhani

    Utawala wa Aal-Khalifa wawazuia wafungwa kushiriki ibada za mwezi wa Ramadhani

    Jun 06, 2018 14:42

    Taasisi ya 'Amani kwa ajili ya Demokrasia na Haki za Binaadamu' nchini Bahrain imetangaza kwamba, utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa umewaweka wafungwa wa kisiasa nchini humo katika seli za mtu mmoja kwa kosa la kujumuika pamoja kwenye ibada za mikesha ya Lailatul-Qadr.

  • Jumuiya ya Haki za Binadamu Bahrain: Sheria ya kupambana na ugaidi ni wenzo wa kuwakandamiza raia

    Jumuiya ya Haki za Binadamu Bahrain: Sheria ya kupambana na ugaidi ni wenzo wa kuwakandamiza raia

    May 18, 2018 04:18

    Jumuiya ya Haki za Binaadamu nchini Bahrain imesema kuwa, sheria ya kupambana na ugaidi inayotekelezwa nchini humo ni wenzo unaotumiwa na utawala wa Aal Khalifa kwa ajili ya kuwakandamiza raia wasio na hatia.

  • Al-Wefaq ya Bahrain: Hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kujipendekeza kwa Israel inatia aibu

    Al-Wefaq ya Bahrain: Hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kujipendekeza kwa Israel inatia aibu

    May 13, 2018 02:48

    Harakati ya Kitaifa ya Al-Wefaq ya nchini Bahrain imesema kuwa, matamshi ya Khalid bin Ahmed Al Khalifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain katika kuunga mkono utawala haramu wa Kizayuni, ni ya kufedhehesha na anatakiwa kuliomba radhi taifa sambamba na kujiuzulu.

  • Utawala wa Bahrain wawahukumu watu sita adhabu ya kifo kwa tuhuma bandia

    Utawala wa Bahrain wawahukumu watu sita adhabu ya kifo kwa tuhuma bandia

    Apr 26, 2018 03:46

    Mahkama ya rufaa ya kijeshi nchini Bahrain, imetoa hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya raia sita wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia kwamba walijaribu kupanga shambulizi dhidi ya kamanda wa vikosi vya ulinzi nchini humo.

  • Al Wifaq yasisitiza kuachiwa huru wanawake wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa

    Al Wifaq yasisitiza kuachiwa huru wanawake wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa

    Apr 12, 2018 07:17

    Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya nchini Bahrain imetaka kuachiwa huru wanawake waliofungwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa ambao walitiwa mbaroni kwa sababu tu ya kuwasilisha maoni na fikra zao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS