Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Saud

  • Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv

    Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv

    Jul 09, 2025 16:23

    Imedokezwa kuwa, Saudi Arabia inafuatilia mazungumzo yanayoongozwa na Marekani kati ya Israel na Syria kama hatua tarajiwa ya kufikia makubaliano ya baadaye ya kuanzisha uhusiano kati ya Riyadh na utawala wa Israel.

  • Jumatatu, Aprili 28, mwaka 2025

    Jumatatu, Aprili 28, mwaka 2025

    Apr 28, 2025 02:23

    Leo ni Jumatatu tarehe 29 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 28 mwaka 2025.

  • Leo ni Ijumaa, 28 Aprili mwaka 2023

    Leo ni Ijumaa, 28 Aprili mwaka 2023

    Apr 28, 2023 06:28

    Leo ni Iijumaa tarehe 7 Shawwal 1444 Hijria sawa na Aprili 28 mwaka 2023.

  • Brigedia Jenerali Salami aionya Saudia, aitaka iache kuwachochea vijana wa Iran  waanzishe fujo

    Brigedia Jenerali Salami aionya Saudia, aitaka iache kuwachochea vijana wa Iran waanzishe fujo

    Oct 18, 2022 03:19

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) ameionya Saudi Arabia na kuuitaka iache mchezio mchafu wa kutumia vyombo vya habari kuwachochea vijana wa Iran ili waanzishe vurugu na machafuko.

  • Iran: Saudia ni tishio linaloweza kusababisha maafa kwa usalama na amani ya eneo

    Iran: Saudia ni tishio linaloweza kusababisha maafa kwa usalama na amani ya eneo

    Sep 28, 2019 08:11

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa radiamali kufuatia matamshhi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia dhidi ya nchi hii na kuongeza kuwa, utawala wa Aal Saud ni tishio linaloweza kusababisha maafa kwa usalama na amani ya eneo la Asia Magharibi (mashariki ya Kati).

  • Matokeo hasi ya kiuchumi ya siasa za vita za watawala wa Saudia

    Matokeo hasi ya kiuchumi ya siasa za vita za watawala wa Saudia

    Jun 22, 2019 02:43

    Taathira hasi zinazotokana na siasa za kupenda vita za watawala wa Saudi Arabia zimeanza kuonekana wazi katika soko la hisa la nchi hiyo ya kifalme.

  • Dada yake Bin Salman kufikishwa katika mahakama ya jinai Ufaransa

    Dada yake Bin Salman kufikishwa katika mahakama ya jinai Ufaransa

    Jun 14, 2019 02:26

    Dada yake Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia anatazamiwa kupandishwa kizimbani mwezi ujao wa Julai katika mahakama ya jinai nchini Ufaransa, akiandamwa na shitaka la kumuagiza mlinzi wake kumpiga mfanyakazi wa kiume mjini Paris.

  • Mwenendo wa kuongezeka hitalafu za ndani katika nchi za Kiarabu, kushindwa Saudi Arabia

    Mwenendo wa kuongezeka hitalafu za ndani katika nchi za Kiarabu, kushindwa Saudi Arabia

    Jun 08, 2019 02:15

    Mvutano unaoendelea kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Bahrain, Imarati na Misri, ambao ulianza tarehe 5 Juni mwaka 2017, uliingia rasmi katika mwaka wake wa tatu hapo tarehe 5 mwezi Juni mwaka huu, katika hali ambayo hakuna dalili zozote zinazoonyesha kwamba mvutano huo utamalizika hivi karibuni.

  • Maimamu wa Kisuni nchini Iran walaani chinjachinja ya Saudi Arabia dhidi ya Waislamu wa Kishia

    Maimamu wa Kisuni nchini Iran walaani chinjachinja ya Saudi Arabia dhidi ya Waislamu wa Kishia

    Apr 27, 2019 13:09

    Wajumbe wa Baraza la Wanazuoni, Kamati ya Fatwa na maimamu wa sala za Ijumaa za miji na vijiji vya Waislamu wa Kisuni vya mkoa wa Bushehr kusini mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wamelaani vikali hatua za utawala wa Aal Saud wa kuwanyonga raia 37 wa Saudia wengi wao wakiwa ni Waislamu wa Kishia.

  • Dunia yaendelea kulaani jinai mpya za utawala wa Saudi Arabia

    Dunia yaendelea kulaani jinai mpya za utawala wa Saudi Arabia

    Apr 25, 2019 13:46

    Mashirika na taasisi za kimataifa pamoja na wanaharakati wa masuala ya kijamii wanaendelea kulaani jinai ya hivi karibuni ya utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia ya kuwaua kwa umati raia 37 wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS