-
Ijumaa, Januari 2, 2026
Jan 01, 2026 23:02leo ni Ijumaa tarehe 12 Rajab 1447 Hijria sawa na tarehe Pili Januari 2026.
-
Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv
Jul 09, 2025 12:53Imedokezwa kuwa, Saudi Arabia inafuatilia mazungumzo yanayoongozwa na Marekani kati ya Israel na Syria kama hatua tarajiwa ya kufikia makubaliano ya baadaye ya kuanzisha uhusiano kati ya Riyadh na utawala wa Israel.
-
Jumatatu, Aprili 28, mwaka 2025
Apr 27, 2025 22:53Leo ni Jumatatu tarehe 29 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 28 mwaka 2025.
-
Leo ni Ijumaa, 28 Aprili mwaka 2023
Apr 28, 2023 02:58Leo ni Iijumaa tarehe 7 Shawwal 1444 Hijria sawa na Aprili 28 mwaka 2023.
-
Brigedia Jenerali Salami aionya Saudia, aitaka iache kuwachochea vijana wa Iran waanzishe fujo
Oct 17, 2022 23:49Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) ameionya Saudi Arabia na kuuitaka iache mchezio mchafu wa kutumia vyombo vya habari kuwachochea vijana wa Iran ili waanzishe vurugu na machafuko.
-
Iran: Saudia ni tishio linaloweza kusababisha maafa kwa usalama na amani ya eneo
Sep 28, 2019 04:41Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa radiamali kufuatia matamshhi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia dhidi ya nchi hii na kuongeza kuwa, utawala wa Aal Saud ni tishio linaloweza kusababisha maafa kwa usalama na amani ya eneo la Asia Magharibi (mashariki ya Kati).
-
Matokeo hasi ya kiuchumi ya siasa za vita za watawala wa Saudia
Jun 21, 2019 22:13Taathira hasi zinazotokana na siasa za kupenda vita za watawala wa Saudi Arabia zimeanza kuonekana wazi katika soko la hisa la nchi hiyo ya kifalme.
-
Dada yake Bin Salman kufikishwa katika mahakama ya jinai Ufaransa
Jun 13, 2019 21:56Dada yake Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia anatazamiwa kupandishwa kizimbani mwezi ujao wa Julai katika mahakama ya jinai nchini Ufaransa, akiandamwa na shitaka la kumuagiza mlinzi wake kumpiga mfanyakazi wa kiume mjini Paris.
-
Mwenendo wa kuongezeka hitalafu za ndani katika nchi za Kiarabu, kushindwa Saudi Arabia
Jun 07, 2019 21:45Mvutano unaoendelea kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Bahrain, Imarati na Misri, ambao ulianza tarehe 5 Juni mwaka 2017, uliingia rasmi katika mwaka wake wa tatu hapo tarehe 5 mwezi Juni mwaka huu, katika hali ambayo hakuna dalili zozote zinazoonyesha kwamba mvutano huo utamalizika hivi karibuni.
-
Maimamu wa Kisuni nchini Iran walaani chinjachinja ya Saudi Arabia dhidi ya Waislamu wa Kishia
Apr 27, 2019 08:39Wajumbe wa Baraza la Wanazuoni, Kamati ya Fatwa na maimamu wa sala za Ijumaa za miji na vijiji vya Waislamu wa Kisuni vya mkoa wa Bushehr kusini mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wamelaani vikali hatua za utawala wa Aal Saud wa kuwanyonga raia 37 wa Saudia wengi wao wakiwa ni Waislamu wa Kishia.