-
Gazeti la Haaretz la Kizayuni laitaja Israel kuwa ndio gaidi na sio vijana wa Palestina
Apr 09, 2018 22:19Gazeti mashuhuri la utawala haramu wa Kizayuni la Haaretz, sambamba na kukosoa siasa mbovu za Tel Abviv dhidi ya raia wa Palestina limeandika kuwa, Israel ndio gaidi na sio vijana wa Kipalestina.
-
Israel yaanza tena kujenga ukuta wa kibaguzi katika mpaka wa Lebanon
Apr 09, 2018 02:27Utawala wa Kizayuni jana Jumapili ulianza tena kujenga ukuta wake wa kibaguzi kati ya mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Lebanon.
-
Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza
Apr 06, 2018 00:05Spika wa Bunge la Morocco amesema kuwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Wapalestina wamlaani Mrithi wa Ufalme Saudia kwa kutumikia Israel
Apr 03, 2018 22:00Makundi ya kupigania ukombozi wa Wapalestina yamelaani vikali matamshi ya Mrithi wa Ufalme wa Saudia Mohammad bin Salman kufuatia hatua yake ya kutangaza kuwa anautambua utawala haramu wa Israel na kusema tamko hilo linakiuka wazi malengo matukufu ya Wapalestina.
-
Leo ni Jumanne tarehe 3 Aprili 2018
Apr 02, 2018 21:57Leo ni Jumanne tarehe 16 Rajab 1439 Hijria sawa na Aprili 3, 2018.
-
Israel yatishia kwamba huwenda mwaka huu 2018 itapigana vita kali na Hizbullah ya Lebanon
Apr 02, 2018 10:37Mkuu wa Jeshi la Utawala Haramu za Israel, Gadi Eizenkot amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa utawala huo ukapigana vita vikali na angamizi kati yake na Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon.
-
Iran: Marekani ni mtuhumiwa nambari moja wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Apr 01, 2018 12:46Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Iran amelaani vikali jinai ya Wazayuni ya kuua raia wa Palestina katika maandamano ya amani yaliyofanyika Ukanda wa Gaza katika Siku ya Ardhi na kusisitiza kuwa, Marekani ndio mtuhumiwa nambari moja wa jinai hizo zilizofanywa na askari wa Israel.
-
Palestina yakaribisha maazimio ya UN dhidi ya utawala wa Kizayuni
Mar 25, 2018 23:49Msemaji wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Palestina amekaribisha kupasishwa katika Umoja wa Mataifa maazimio matano ya haki za binadamu dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Merkel: Kujiondoa Marekani katika makubaliano ya JCPOA kutaanzisha vita
Mar 21, 2018 04:06Vyombo vya habari vya Kizayuni vimetangaza kuwa, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amemtahadharisha Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa nchi za Ulaya zitakuwa pamoja na Iran iwapo Marekani itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran ya JCPOA.
-
Wasi wasi wa Saudia waipelekea ikabidhi viwanja vyake vya ndege kwa Israel
Mar 19, 2018 04:23Kufuatia wasi wasi wa uwezekano wa kutoroka nchi wanawafalme wa ukoo wa Aal-Saud, utawala wa Aal- Saud umeamua kuukabidhi utawala haramu wa Israel usimamizi wa viwanja vyake vya ndege.