-
Ubaguzi; moja ya nguzo kuu za utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 27, 2016 02:10Utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umejengeka juu ya siasa za kibaguzi na mauaji, mbali na kufanya ubaguzi dhidi ya Wapalestina umekuwa ukifanya vitendo kama hivyo dhidi ya raia wake jambo ambalo limeibua hasira na ghadhabu za Waisraeli.
-
UN: Makampuni ya Silaha ya Israel yanachochea vita Sudan Kusini
Oct 21, 2016 04:36Jopo la Umoja wa Mataifa limepata ushahidi wa kuwepo mitandao ya silaha yenye makazi Israel na Ulaya Mashariki ambao inachochea vita vinavyoendelea sasa huko Sudan Kusini.
-
Mivutano katika Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 17, 2016 23:41Hatua ya Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ya kung'ang'ania kuchukua mamlaka yote ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala huo, imepelekea kuibuka wimbi jipya la hitilafu na mivutano katika baraza la mawaziri la utawala huo ghasibu.
-
Israel yataka kukata ushirikiano na kundi la haki za binadamu la Btselem
Oct 16, 2016 04:30Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametaka kukatwa ushirikiano kati ya utawala huo na kundi la kutetea haki za binadamu la Btselem.
-
VIDEO: Kama ulipitwa na video wakati Netanyahu alipoaibika; wakati mbunge Muislamu wa Uholanzi alipokataa kumpa mkono, ingia hapa kuiona
Oct 05, 2016 07:15Tunahan Kuzu, mbunge Muislamu wa chama cha DENK katika bunge la Uholanzi amekataa kumpa mkono Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa safari rasmi aliyofanya kuitembelea nchi hiyo.
-
Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza
Oct 03, 2016 00:29Utawala wa Kizayuni wa Israel unajiandaa kuishambulia meli ya al Zaituna na vile vile kuwazua wanaharakati wa kimataifa kuwasili huko Ukanda wa Gaza.
-
Sisitizo la Wapalestina la kuendelea na muqawama
Sep 29, 2016 10:07Kwa mara nyingine tena, Wapalestina wametumia mnasaba mwingine uliojitokeza kutangaza uungaji mkono wao kwa muqawama hadi watakapofanikisha malengo yote ya taifa lao. Mara hii wapalestina hao wamesisitiza uungaji mkono wao huo wakati wa maadhimisho ya mwaka wa 16 wa kukumbuka Intifadha ya al Aqsa.
-
Ripoti: MOSSAD iliunda makundi ya wanamgambo yaliyotisha na kuwashawishi Mayahudi kwenda Palestina
Sep 29, 2016 01:07Ripoti zimefichua kuwa, Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni MOSSAD, limetoa mafunzo ya kijeshi kwa Mayahudi wa Morocco kwa ajili ya kutekeleza ajenda mbalimbali za kijeshi, ndani ya kipindi cha katikati mwa karne iliyopita.
-
Wazayuni 40 wameangamizwa na zaidi ya 400 wamejeruhiwa tangu kuanza Intifadha ya Quds
Sep 24, 2016 04:38Duru za Kizayuni zimetangaza kuwa tangu kuanza operesheni za muqawama wa Wapalestina sambamba na Intifadha ya Quds hadi sasa, wazayuni 40 wameuawa na wengine 458 wamejeruhiwa.
-
Wazayuni wakiri kwamba, uepo wa Israel katika ardhi za Palestina si halali
Sep 18, 2016 23:46Mwandishi mashuhuri wa Israel amekiri kuwa, utawala wa Kizayuni umepora ardhi za Palestina.