Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Ubaguzi; moja ya nguzo kuu za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Ubaguzi; moja ya nguzo kuu za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 27, 2016 02:10

    Utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umejengeka juu ya siasa za kibaguzi na mauaji, mbali na kufanya ubaguzi dhidi ya Wapalestina umekuwa ukifanya vitendo kama hivyo dhidi ya raia wake jambo ambalo limeibua hasira na ghadhabu za Waisraeli.

  • UN: Makampuni ya Silaha ya Israel yanachochea vita Sudan Kusini

    UN: Makampuni ya Silaha ya Israel yanachochea vita Sudan Kusini

    Oct 21, 2016 04:36

    Jopo la Umoja wa Mataifa limepata ushahidi wa kuwepo mitandao ya silaha yenye makazi Israel na Ulaya Mashariki ambao inachochea vita vinavyoendelea sasa huko Sudan Kusini.

  • Mivutano katika Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mivutano katika Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 17, 2016 23:41

    Hatua ya Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ya kung'ang'ania kuchukua mamlaka yote ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala huo, imepelekea kuibuka wimbi jipya la hitilafu na mivutano katika baraza la mawaziri la utawala huo ghasibu.

  • Israel yataka kukata ushirikiano na kundi la haki za binadamu la Btselem

    Israel yataka kukata ushirikiano na kundi la haki za binadamu la Btselem

    Oct 16, 2016 04:30

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametaka kukatwa ushirikiano kati ya utawala huo na kundi la kutetea haki za binadamu la Btselem.

  • VIDEO: Kama ulipitwa na video wakati Netanyahu alipoaibika; wakati mbunge Muislamu wa Uholanzi alipokataa kumpa mkono, ingia hapa kuiona

    VIDEO: Kama ulipitwa na video wakati Netanyahu alipoaibika; wakati mbunge Muislamu wa Uholanzi alipokataa kumpa mkono, ingia hapa kuiona

    Oct 05, 2016 07:15

    Tunahan Kuzu, mbunge Muislamu wa chama cha DENK katika bunge la Uholanzi amekataa kumpa mkono Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa safari rasmi aliyofanya kuitembelea nchi hiyo.

  • Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza

    Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza

    Oct 03, 2016 00:29

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unajiandaa kuishambulia meli ya al Zaituna na vile vile kuwazua wanaharakati wa kimataifa kuwasili huko Ukanda wa Gaza.

  • Sisitizo la Wapalestina la kuendelea na muqawama

    Sisitizo la Wapalestina la kuendelea na muqawama

    Sep 29, 2016 10:07

    Kwa mara nyingine tena, Wapalestina wametumia mnasaba mwingine uliojitokeza kutangaza uungaji mkono wao kwa muqawama hadi watakapofanikisha malengo yote ya taifa lao. Mara hii wapalestina hao wamesisitiza uungaji mkono wao huo wakati wa maadhimisho ya mwaka wa 16 wa kukumbuka Intifadha ya al Aqsa.

  • Ripoti: MOSSAD iliunda makundi ya wanamgambo yaliyotisha na kuwashawishi Mayahudi kwenda Palestina

    Ripoti: MOSSAD iliunda makundi ya wanamgambo yaliyotisha na kuwashawishi Mayahudi kwenda Palestina

    Sep 29, 2016 01:07

    Ripoti zimefichua kuwa, Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni MOSSAD, limetoa mafunzo ya kijeshi kwa Mayahudi wa Morocco kwa ajili ya kutekeleza ajenda mbalimbali za kijeshi, ndani ya kipindi cha katikati mwa karne iliyopita.

  • Wazayuni 40 wameangamizwa na zaidi ya 400 wamejeruhiwa tangu kuanza Intifadha ya Quds

    Wazayuni 40 wameangamizwa na zaidi ya 400 wamejeruhiwa tangu kuanza Intifadha ya Quds

    Sep 24, 2016 04:38

    Duru za Kizayuni zimetangaza kuwa tangu kuanza operesheni za muqawama wa Wapalestina sambamba na Intifadha ya Quds hadi sasa, wazayuni 40 wameuawa na wengine 458 wamejeruhiwa.

  • Wazayuni wakiri kwamba, uepo wa Israel katika ardhi za Palestina si halali

    Wazayuni wakiri kwamba, uepo wa Israel katika ardhi za Palestina si halali

    Sep 18, 2016 23:46

    Mwandishi mashuhuri wa Israel amekiri kuwa, utawala wa Kizayuni umepora ardhi za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS