-
Waalgeria waandamana kulalamikia kuwekwa jina la Israel katika kitabu cha masomo
Sep 16, 2016 03:08Raia wa Algeria wamefanya maandmano kulalamikia hatua ya kuandikwa jina la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel mahala pa jina la Palestina katika kitabu cha kufundishia nchini humo.
-
Makundi ya Kizayuni yataka kuhitimishwa kukaliwa kwa mabavu Palestina
Sep 07, 2016 23:31Makundi kadhaa ya Wazayuni yametaka kukomeshwa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Wapalestina wasisitiza kupandishwa kizimbani wazayuni waliotenda jinai
Aug 28, 2016 03:11Wapalestina wameendelea kutoa wito wa kutaka wazayuni waliotenda jinai katika vita vya siku 50 dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza wapandishwe kizimbani kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Viongozi wa Palestina kufuatilia haki za Wapalestina waliowekwa kizuizini na utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 27, 2016 03:19Waziri anayehusika na masuala ya Wapalestina walioko kizuizini kwenye jela za utawala wa Kizayuni ametangaza kuwa suala la watu hao litafuatiliwa kwa uzito mkubwa kwenye jumuiya za kimataifa.
-
Onyo la Wapalestina kwa utawala ghasibu wa Israel
Aug 24, 2016 02:00Kushadidi uvamizi na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza katika siku za hivi karibuni, kumekabiliwa na radiamali mbalimbali za Wapalestina.
-
Utawala wa Kizayuni waendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa
Aug 21, 2016 23:26Msemaji wa Taasisi ya Waqfu na Turathi za Kiutamaduni ya Al-Aqsa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.
-
Hizbullah ya Lebanon: Ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kukabiliana na muqawama
Aug 21, 2016 10:48Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kuja kuchukua nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika kukabiliana na muqawama na mapambano ya wananchi.
-
Hizbullah yatoa onyo kwa uchokozi mpya wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon
Aug 19, 2016 03:34Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imetoa taarifa ya kulaani uchokozi na chokochoko mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mamlaka ya kujitawala ya Lebanon katika mashamba ya Shab'a.
-
Mwanajudo wa Misri akataa kumpa mkono Mzayuni
Aug 13, 2016 11:12Huwenda mwanamichezo wa judo raia wa Misri akaadhibiwa kwa kukataa kumpa mkono mpinzani wake raia wa utawala haramu wa Israel katika mashindano ya Olimpiki yanayoendelea huko Rio de Janeiro nchini Brazil.
-
Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza
Aug 09, 2016 23:13Utawala wa Kizayuni umemtia mbaroni mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kwa tuhuma za kuwa na ushirikiano na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas.