-
Kushadidi njama za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Quds
Aug 04, 2016 23:57Ripoti mbalimbali zinaonesha juu ya kuanza duru mpya ya njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuwa na satua katika mji wa Quds.
-
Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina
Jul 25, 2016 23:54Jeshi la Israel limetajwa kuwa linaiba viungo vya Wapalestina na kufanya mauaji ya kizazi.
-
McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya
Jul 25, 2016 12:36Mbunge wa zamani katika Kongresi ya Marekani amefichua nafasi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika barani Ulaya.
-
Walowezi wa Kizayuni wauvamia tena Msikiti wa al-Aqswa
Jul 18, 2016 23:11Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameuvamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina.
-
Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni
Jul 16, 2016 02:16Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa mtandao wa kijamii wa Facebook unafuata siasa na sera za kiadui za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi
Jul 15, 2016 11:37Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani, Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi duniani.
-
ZDF yaikosoa Israel kwa kuwafunza watoto jinsi ya kuwaua Wapalestina
Jul 11, 2016 23:16Televisheni ya Ujerumani ya ZDF imeonesha filamu inayoukosoa utawala haramu wa Isarel kwa kuwafundisha watoto mashuleni chuki na jinsi ya kuwadhalilisha na kuwaua Wapalestina.
-
Wasomi wa Misri wazionya nchi za Afrika kuhusu njama za Israel
Jul 09, 2016 08:40Wataalamu wa masuala ya kisiasa nchini Misri wamezionya nchi zilizoko katika Ukanda wa Mto Nile juu ya njama chafu za utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.
-
Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu
Jul 06, 2016 03:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.
-
Wanamapambano Palestina: Tumejiandaa kukabiliana na hujuma tarajiwa za Israel
Jul 04, 2016 23:20Wanamapambano wa Kipalestina wametangaza azma yao kamili kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.