Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Kushadidi njama za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Quds

    Kushadidi njama za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Quds

    Aug 04, 2016 23:57

    Ripoti mbalimbali zinaonesha juu ya kuanza duru mpya ya njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuwa na satua katika mji wa Quds.

  • Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina

    Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina

    Jul 25, 2016 23:54

    Jeshi la Israel limetajwa kuwa linaiba viungo vya Wapalestina na kufanya mauaji ya kizazi.

  • McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    Jul 25, 2016 12:36

    Mbunge wa zamani katika Kongresi ya Marekani amefichua nafasi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika barani Ulaya.

  • Walowezi wa Kizayuni wauvamia tena Msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wauvamia tena Msikiti wa al-Aqswa

    Jul 18, 2016 23:11

    Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameuvamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina.

  • Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni

    Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni

    Jul 16, 2016 02:16

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa mtandao wa kijamii wa Facebook unafuata siasa na sera za kiadui za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Jul 15, 2016 11:37

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani, Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi duniani.

  • ZDF yaikosoa Israel kwa kuwafunza watoto jinsi ya kuwaua Wapalestina

    ZDF yaikosoa Israel kwa kuwafunza watoto jinsi ya kuwaua Wapalestina

    Jul 11, 2016 23:16

    Televisheni ya Ujerumani ya ZDF imeonesha filamu inayoukosoa utawala haramu wa Isarel kwa kuwafundisha watoto mashuleni chuki na jinsi ya kuwadhalilisha na kuwaua Wapalestina.

  • Wasomi wa Misri wazionya nchi za Afrika kuhusu njama za Israel

    Wasomi wa Misri wazionya nchi za Afrika kuhusu njama za Israel

    Jul 09, 2016 08:40

    Wataalamu wa masuala ya kisiasa nchini Misri wamezionya nchi zilizoko katika Ukanda wa Mto Nile juu ya njama chafu za utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.

  • Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Jul 06, 2016 03:19

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.

  • Wanamapambano Palestina: Tumejiandaa kukabiliana na hujuma tarajiwa za Israel

    Wanamapambano Palestina: Tumejiandaa kukabiliana na hujuma tarajiwa za Israel

    Jul 04, 2016 23:20

    Wanamapambano wa Kipalestina wametangaza azma yao kamili kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS