Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Kuongezeka uungaji mkono wa kimataifa kwa mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya Israel

    Kuongezeka uungaji mkono wa kimataifa kwa mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya Israel

    Jan 23, 2024 05:01

    Afrika Kusini ikiwa moja ya nchi wanachama wa Mkataba wa Kuzuia na Kuadhibu Uhalifu wa Mauaji ya Kimbari, iliwasilisha shauri la mashtaka dhidi ya Israel kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki mnamo Desemba 29, 2023.

  • Kupungua pakubwa uungaji mkono kwa utawala wa Kizayuni duniani

    Kupungua pakubwa uungaji mkono kwa utawala wa Kizayuni duniani

    Jan 22, 2024 22:42

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na Taasisi ya Morning Consult yanaonyesha kuwa uungaji mkono wa kimataifa kwa utawala wa Kizayuni umepungua sana kufuatia vita vilivyoanzishwa na utawala huo haramu dhidi ya wakazi wa Palestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wazayuni washangazwa na uwezo mkubwa wa HAMAS wa kuzalisha silaha

    Wazayuni washangazwa na uwezo mkubwa wa HAMAS wa kuzalisha silaha

    Jan 21, 2024 23:29

    Utawala wa Kizayuni umelazimika kukiri kuwa umeshangazwa sana na jinsi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ilivyo na uwezo mkubwa wa kuzalisha silaha ndani ya Ukanda wa Ghaza ambao umezingiwa kila upande kwa miaka mingi.

  • Amir-Abdollahian: Harakati za washauri wa kijeshi wa Iran za kupambana na ugaidi zitaendelea kwa nguvu kamili

    Amir-Abdollahian: Harakati za washauri wa kijeshi wa Iran za kupambana na ugaidi zitaendelea kwa nguvu kamili

    Jan 21, 2024 07:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kufuatia kuuawa shahidi washauri watano wa Iran nchini Syria katika shambulio la kigaidi la utawala wa Kizayuni na kueleza kwamba: "kushindwa Wazayuni kukabiliana na irada na matakwa ya watu wa Gaza hakutaweza kufidiwa kwa vitendo hivi vya kigaidi."

  • Kan'ani: Kuna uhusiano mkubwa kati ya utawala gaidi wa Israel na Daesh

    Kan'ani: Kuna uhusiano mkubwa kati ya utawala gaidi wa Israel na Daesh

    Jan 21, 2024 04:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jinai na uchokozi uliofanywa mapema jana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la raia huko al Mezza, Damascus mji mkuu wa Syria na kuuwa shahidi washauri watano wa kijeshi wa Iran na askari kadhaa wa Syria.

  • Washauri 5 wa  Iran wauawa shahidi katika shambulio la kigaidi la Israel huko Damascus

    Washauri 5 wa Iran wauawa shahidi katika shambulio la kigaidi la Israel huko Damascus

    Jan 20, 2024 23:13

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limetangaza kuwa washauri wake watano wa kijeshi wameuawa katika shambulizi la kigaidi la Israel katika mji mkuu wa Syria.

  • Jeshi la Israel lateketeza jengo la chuo kikuu cha Palestina lenye athari za kihistoria za miaka 3,000

    Jeshi la Israel lateketeza jengo la chuo kikuu cha Palestina lenye athari za kihistoria za miaka 3,000

    Jan 20, 2024 03:22

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limelitekeza jengo la Chuo Kikuu cha Al-Israa cha Palestina katika Ukanda wa Gaza chenye athari za kale za kihistoria za tangu miaka elfu tatu iliyopita.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Operesheni ya IRGC lilikuwa onyo dhidi ya Wazayuni

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Operesheni ya IRGC lilikuwa onyo dhidi ya Wazayuni

    Jan 19, 2024 10:28

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema shambulio la makombora la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) dhidi ya kituo kikuu cha ujasusi cha shirika la ujasusi la utawala haramu wa Israel (Mossad) katika eneo la Kurdistan ya Iraq limetoa onyo kali mkabala wa tishio la Wazayuni.

  • Wanajeshii watano wa Israel waangamizwa na muqawama Khan Yunis

    Wanajeshii watano wa Israel waangamizwa na muqawama Khan Yunis

    Jan 19, 2024 00:01

    Wanajeshi watano wa utawala vamizi wa Israel wameuawa na wengine kadhaa kuujeruhiwa katika mapigano baina yao na wanamuqawama wa Palestiona katika mji wa Khan Yunis huko Palestina.

  • Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Jan 18, 2024 23:57

    Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameonya kuwa, usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) umekuwa hatarini na kwamba, mashambulizi haya yanahatarisha nidhamu na uratibu wa ushirikiano wa pande kadhaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS