-
Kuongezeka uungaji mkono wa kimataifa kwa mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya Israel
Jan 23, 2024 05:01Afrika Kusini ikiwa moja ya nchi wanachama wa Mkataba wa Kuzuia na Kuadhibu Uhalifu wa Mauaji ya Kimbari, iliwasilisha shauri la mashtaka dhidi ya Israel kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki mnamo Desemba 29, 2023.
-
Kupungua pakubwa uungaji mkono kwa utawala wa Kizayuni duniani
Jan 22, 2024 22:42Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na Taasisi ya Morning Consult yanaonyesha kuwa uungaji mkono wa kimataifa kwa utawala wa Kizayuni umepungua sana kufuatia vita vilivyoanzishwa na utawala huo haramu dhidi ya wakazi wa Palestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Wazayuni washangazwa na uwezo mkubwa wa HAMAS wa kuzalisha silaha
Jan 21, 2024 23:29Utawala wa Kizayuni umelazimika kukiri kuwa umeshangazwa sana na jinsi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ilivyo na uwezo mkubwa wa kuzalisha silaha ndani ya Ukanda wa Ghaza ambao umezingiwa kila upande kwa miaka mingi.
-
Amir-Abdollahian: Harakati za washauri wa kijeshi wa Iran za kupambana na ugaidi zitaendelea kwa nguvu kamili
Jan 21, 2024 07:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kufuatia kuuawa shahidi washauri watano wa Iran nchini Syria katika shambulio la kigaidi la utawala wa Kizayuni na kueleza kwamba: "kushindwa Wazayuni kukabiliana na irada na matakwa ya watu wa Gaza hakutaweza kufidiwa kwa vitendo hivi vya kigaidi."
-
Kan'ani: Kuna uhusiano mkubwa kati ya utawala gaidi wa Israel na Daesh
Jan 21, 2024 04:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jinai na uchokozi uliofanywa mapema jana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la raia huko al Mezza, Damascus mji mkuu wa Syria na kuuwa shahidi washauri watano wa kijeshi wa Iran na askari kadhaa wa Syria.
-
Washauri 5 wa Iran wauawa shahidi katika shambulio la kigaidi la Israel huko Damascus
Jan 20, 2024 23:13Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limetangaza kuwa washauri wake watano wa kijeshi wameuawa katika shambulizi la kigaidi la Israel katika mji mkuu wa Syria.
-
Jeshi la Israel lateketeza jengo la chuo kikuu cha Palestina lenye athari za kihistoria za miaka 3,000
Jan 20, 2024 03:22Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limelitekeza jengo la Chuo Kikuu cha Al-Israa cha Palestina katika Ukanda wa Gaza chenye athari za kale za kihistoria za tangu miaka elfu tatu iliyopita.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Operesheni ya IRGC lilikuwa onyo dhidi ya Wazayuni
Jan 19, 2024 10:28Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema shambulio la makombora la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) dhidi ya kituo kikuu cha ujasusi cha shirika la ujasusi la utawala haramu wa Israel (Mossad) katika eneo la Kurdistan ya Iraq limetoa onyo kali mkabala wa tishio la Wazayuni.
-
Wanajeshii watano wa Israel waangamizwa na muqawama Khan Yunis
Jan 19, 2024 00:01Wanajeshi watano wa utawala vamizi wa Israel wameuawa na wengine kadhaa kuujeruhiwa katika mapigano baina yao na wanamuqawama wa Palestiona katika mji wa Khan Yunis huko Palestina.
-
Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza
Jan 18, 2024 23:57Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameonya kuwa, usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) umekuwa hatarini na kwamba, mashambulizi haya yanahatarisha nidhamu na uratibu wa ushirikiano wa pande kadhaa.