-
Kukwepa uwajibikaji na kimya cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza
Jan 08, 2024 08:41Katika kuendeleza misimamo inayozusha mizozo ya nchi za Magharibi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amepuuza jinai zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni huko Gaza na kudai kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapaswa kukomesha vitendo vyake vinavyovurunga amani na uthabiti wa eneo.
-
Yemen: Oparesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni zinaendelea
Jan 08, 2024 00:10Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen amesisitiza kuwa jeshi la nchi hiyo litaendelea kutekeleza oparesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bahari ya Sham na katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo (Israel).
-
Maripota wengine 2 wauawa shahidi katika shambulio la anga la Israel Ukanda wa Gaza
Jan 08, 2024 00:08Jeshi la Israel mapema jana Jumapili lilifanya mashambulizi ya anga huko Rafah na kuishambulia gari iliyokuwa imewabeba maripota wawili wa Palestina huko kusini mwa Gaza na kuwauwa shahidi waandishi habari wawili wa Palestina.
-
Onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza
Jan 06, 2024 04:07Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, wakimbizi walioingia katika mji wa Rafah tangu kuanza hujuma ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza wamefikia takriban watu milioni moja.
-
Athari mbaya za kushadidi mvutano katika baraza la mawaziri la vita la utawala wa Israel
Jan 06, 2024 02:50Vyanzo vya habari katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) vimeripoti kuwa kikao cha baraza la mawaziri la vita la Benjamin Netanyahu kimetawaliwa na mvutano mkubwa na kwamba kimemalizika kwa mawaziri kurushiana maneno na malumbano makali.
-
Israel yaendeleza mashambulizi yake ya anga na mizinga Ukanda wa Gaza leo Ijumaa
Jan 05, 2024 08:51Ndege za kivita na mizinga ya utawala wa Kizayuni kwa mare nyingine tena leo Ijumaa zimeyashambulia maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza.
-
Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki
Jan 04, 2024 08:00Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano alisema kuwa kuhamishwa kwa nguvu na kufukuzwa watu wa Gaza ni "mauaji ya halaiki" na kuzionya nchi zisishiriki katika hatua hiyo ya kijinai.
-
Umoja wa Mataifa: Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza ni sawa na mauaji ya kizazi
Jan 04, 2024 07:41Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unapinga kile kinachoonekana kama mpango wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, hatua haina tofauti na mauaji ya kimbari.
-
Mauaji ya kigaidi ya Saleh al-Arouri; Utawala wa Kizayuni wakiri kushindwa katika malengo ya kijeshi ya vita vya Gaza
Jan 04, 2024 02:20Katika kitendo cha jinai, utawala wa Kizayuni wa Israel umemuua Saleh al-Arouri na wapiganaji wengine 7 wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) huko Beirut. Uhalifu huu unaweza kuchambuliwa katika pande kadhaa.
-
Hizbullah ya Lebanon yalenga maeneo ya Wazayuni
Jan 04, 2024 02:04Hizbullah ya Lebanon imelenga maeneo kadhaa ya Wazayuni karibu na mpaka wa Lebanon na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).