-
Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa wafikia 501
Jan 03, 2024 23:40Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuwa, idadi ya askarii wake waliouawa hadi sasa tangu ilipototekkelezwa operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa imefikia 501.
-
Wazayuni waendelea kufanya mauaji ya kinyama Ghaza, kutokea angani, ardhini na baharini
Dec 30, 2023 23:00Mashambulizi ya kinyama na kikatili ya utawala wa Kizayuni ya angani, ardhi na majini yanaendelea kwenye Ukanda wa Ghaza hasa katika maeneo ya katikati na kusini mwa ukanda huo.
-
Hatua mpya ya serikali ya Biden ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni
Dec 30, 2023 07:42Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kupitia taarifa kuwa imetumia mamlaka iliyopewa kisheria kuuzia utawala wa haramu wa Israel shehena ya silaha bila idhini ya wabunge wa Kongresi ya nchi hiyo.
-
Mauaji ya watoto huko Gaza; Kazi ya siku zote ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 30, 2023 03:44Ripoti iliiyotolewa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) imesema kwamba mwaka 2023 ulikuwa mwaka mbaya zaidi kwa watoto katika Ukingo wa Magharibi.
-
Taasisi za kimataifa zaelezea wasiwasi wao kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza
Dec 29, 2023 22:59Kuendelea vita vya kikatili na jinai zinazotekelezwa na utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza kumeamsha hasira na wasiwasi wa tasisis za kimataifa kuhusiana hali mbaya na ya kusikitisha ya kibinadamu katika ukanda huo.
-
Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani
Dec 28, 2023 23:00Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'
-
Kukamatwa majasusi wa utawala wa Kizayuni na Wanamuqawama
Dec 25, 2023 02:37Makamanda wa muqawama wamewatia mbaroni majasusi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza baada ya kuchunguza nyaraka za usalama zilizopatikana wakati wa operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa.
-
Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia
Dec 25, 2023 02:22Marekani imetangaza kuunda Muungano wa Baharini ikiwa ni katika jitihada zake za kuendelea kuutetea kwa hali na mali utawala ghasibu wa Israel katika hujuma yake ya kinyama dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kukabiliana na mashambulizi ya Yemen katika Bahari Nyekundu dhidi ya meli zinazoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel huko Palestina.
-
Ebrahim Raisi: Wanaodai kuwa wafuasi wa Nabii Issa (as) hawapaswi kuiunga mkono Israel na mauaji yake dhidi ya watoto
Dec 25, 2023 00:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuwa, wale wote wanaodai kwamba ni wafuasi wa Nabii Issa Masih (as) hawapaswi kuiunga mkono Israel na mauaji yake dhidi ya watoto huko katika Ukanda wa Gaza.
-
Mwakilishi wa Jihadul Islami: Iran ni muungaji mkono pekee wa wananchi wa Gaza na wanaodhulumiwa duniani
Dec 24, 2023 23:12Mwakilishi wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina nchini Iran amekosoa kimya cha nchi za Magharibi mkabala wa vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono pekee wa wanaodhulumiwa duniani.