Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hamas: Vyombo vya habari vinapasa kuakisi jinai za Israel Ukanda wa Gaza

    Hamas: Vyombo vya habari vinapasa kuakisi jinai za Israel Ukanda wa Gaza

    Nov 29, 2023 07:01

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imevialika vyombo vya habari kwa ajili ya kuakisi na kuonyesha jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na kuitaka jamii ya kimataifa kuendelea kupinga na kuukosoa utawala wa Kizayuni ili usitishe uhalifu na jinai zake.

  • Mawaziri wenye misimamo mikali wa Netanyahu: Usitishaji vita wa kudumu ni sawa na kuvunjwa baraza la mawaziri

    Mawaziri wenye misimamo mikali wa Netanyahu: Usitishaji vita wa kudumu ni sawa na kuvunjwa baraza la mawaziri

    Nov 29, 2023 04:06

    Mawaziri wawili wenye misimamo mikali katika baraza la mawaziri la muungano wa Benjamin Netanyahu wamemtishia kwamba watashinikiza kuvunjwa baraza lake la mawaziri endapo usitishaji vita wa kudumu utafikiwa huko Gaza.

  • Wazayuni wakiri Kimbunga cha Al-Aqsa kimeangamiza askari na walowezi wao wengi

    Wazayuni wakiri Kimbunga cha Al-Aqsa kimeangamiza askari na walowezi wao wengi

    Nov 28, 2023 10:46

    Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa zaidi ya askari wake 1,000 wa walowezi wa utawala huo waliuawa wakati wa mapigano ya Kimbunga cha Al-Aqsa.

  • Makubaliano ya kusitisha vita  Gaza yarefushwa kwa siku 2 zaidi

    Makubaliano ya kusitisha vita Gaza yarefushwa kwa siku 2 zaidi

    Nov 28, 2023 03:42

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar na Harakati ya Hamas zimetangaza kuwa, makubaliano ya usitishaji vita huko Gaza yameongezwa muda kwa siku mbili zaidi, kwa msingi wa masharti yale yale ya awali.

  • Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Ishara za kusambaratika Israel zimezidi kujitokeza wazi

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Ishara za kusambaratika Israel zimezidi kujitokeza wazi

    Nov 26, 2023 08:39

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba, ishara za kusambaratika utawala wa Kiizayuni zimezidi kuonekana wazi.

  • Taarifa ya Kongamano la Kimataifa la Mshikamano wa Dunia dhidi ya Maangamizi ya Kizazi ya utawala wa Kizayuni

    Taarifa ya Kongamano la Kimataifa la Mshikamano wa Dunia dhidi ya Maangamizi ya Kizazi ya utawala wa Kizayuni

    Nov 26, 2023 03:04

    Kongamano la Kimataifa la Mshikamano na Wanawake wa Palestina limetoa taarifa na kulaani maangamizi ya kiazi yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.

  • Yemen: Uamuzi wetu wa kumfungia adui Mzayuni njia ya Bahari Nyekundu upo palepale

    Yemen: Uamuzi wetu wa kumfungia adui Mzayuni njia ya Bahari Nyekundu upo palepale

    Nov 25, 2023 22:55

    Naibu Waziri Mkuu wa Yemen anayehusika na masuala ya ulinzi ametangaza kwamba "uamuzi wetu wa kumfungia njia ya Bahari Nyekundu adui Mzayuni uko palepale na tumejiweka tayari kwa shambulio lolote".

  • Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Nov 25, 2023 08:17

    Hatua ya Uhispania na Ubelgiji ya kutangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina ni tukio muhimu kushuhudiwa barani Ulaya kuhusu kadhia ya Palestina. Hatua hii imeukasirisha sana utawala wa Kizayuni.

  • Afrika Kusini yavunja uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Afrika Kusini yavunja uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 23, 2023 03:48

    Kufuatia kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Palestina, wabunge wa Afrika Kusini wamepiga kura ya kufunga ubalozi wa utawala wa Kizayuni nchini humo. Kwa uamuzi huo, ubalozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Afrika Kusini utafungwa, uhusiano wa kidiplomasia na utawala huo utakatwa na balozi wa utawala huo wa Kizayuni kutimuliwa kutoka Pretoria.

  • Je, kwa nini vita vya Gaza haviishi?

    Je, kwa nini vita vya Gaza haviishi?

    Nov 22, 2023 07:52

    Licha ya kupita siku 46 tangu kuanza vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza, lakini bado hakuna dalili zozote za kumalizika vita hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS