Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Meja Jenerali Baqeri: Kuua watoto si ushindi kwa Waisraeli waliofeli; Ushindi wa Wapalestina unakaribia

    Meja Jenerali Baqeri: Kuua watoto si ushindi kwa Waisraeli waliofeli; Ushindi wa Wapalestina unakaribia

    Nov 22, 2023 00:01

    Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Iran amesema kuwa mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya watu wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza hayana maana ya ushindi kwa utawala huo ghasibu, akibainisha kwamba ushindi wa mwisho wa taifa la Palestina uko kwenye upeo wa macho.

  • Rais wa Iran awaandikia barua wakuu wa nchi 50 kuhusu jinai za Israel huko Ghaza

    Rais wa Iran awaandikia barua wakuu wa nchi 50 kuhusu jinai za Israel huko Ghaza

    Nov 20, 2023 11:24

    Rais Ebrahim Raisi amewaandikia barua wakuu na viongozi wa nchi 50 duniani kuwahimiza kuwa na kauli moja kuhusu wajibu wa kukomeshwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Ghaza.

  • HAMAS yaipongeza Yemen; San'a yasema: Hatutosita kukamata meli yoyote ya Wazayuni

    HAMAS yaipongeza Yemen; San'a yasema: Hatutosita kukamata meli yoyote ya Wazayuni

    Nov 20, 2023 11:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeipongeza Yemen na jeshi lake kwa hatua yao ya kishujaa ya kukamata meli ya utawala wa Kizayuni na kusema kuwa hatua hiyo ni mafanikio ya aina yake yaliyopatikana kutokana na damu za watu wasio na hatia zinazomwagwa na Israel huko Ghaza.

  • Kan'ani Chafi: Mashambulio dhidi ya hospitali yamefichua zaidi hulka ya kijinai ya utawala wa Kizayuni

    Kan'ani Chafi: Mashambulio dhidi ya hospitali yamefichua zaidi hulka ya kijinai ya utawala wa Kizayuni

    Nov 18, 2023 23:42

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, mashambulio dhidi ya hospitali yanakinzana na vigezo vyote vya haki za binadamu, sheria za kimataifa na hati ya makubaliano ya Geneva na kubainisha kwamba, mashambulio ya utawala haramu wa Israel dhidi ya hospitali yamedhihirisha zaidi hulka na dhati ya kijinai ya utawala huo ghasibu.

  • Mamilioni ya Wairani waandamana kulaani jinai za Israel na kutetea watu wa Gaza

    Mamilioni ya Wairani waandamana kulaani jinai za Israel na kutetea watu wa Gaza

    Nov 18, 2023 10:01

    Watu wa Iran ya Kiislamu leo wamefanya maandamano makubwa kote nchini kuwatetea watoto wanaoendelea kuuawa wa Palestina sambamba na kulaani "mauaji ya watoto wachanga", "uhalifu", "mauaji ya kimbari", "mauaji ya halaiki", "ugaidi", "uhalifu wa kivita" na "maafa ya binadamu" yanayoendelea katika Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yakanusha madai ya Netanyahu kuhusu kufichwa mateka mahospitalini

    HAMAS yakanusha madai ya Netanyahu kuhusu kufichwa mateka mahospitalini

    Nov 18, 2023 00:19

    Brigedi za al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimekanusha madai ya waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu aliyedai kuwa Wapalestina walikuwa wamewaficha mateka Wazayuni kwenye hospitali za Ghaza ili kuhalalisha jinai zake dhidi ya watoto wachanga na wagonjwa kwenye hospitali hizo. 

  • Chuki dhidi ya Netanyahu zaongezeka, Wapalestina waendelea kujibu jinai za Wazayuni

    Chuki dhidi ya Netanyahu zaongezeka, Wapalestina waendelea kujibu jinai za Wazayuni

    Nov 17, 2023 07:04

    Matokeo ya karibuni kabisa ya uchunguzi wa maoni yanaonesha kuwa, chuki na hasira za hata Wazayuni wenyewe zinazidi kuongezeka dhidi ya waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na umaarufu wa wapinzani wake ndani ya utawala wa Kizayuni unazidi kupanda.

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza: Makubaliano ya kiwango cha chini

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza: Makubaliano ya kiwango cha chini

    Nov 16, 2023 23:47

    Uzembe wa Umoja wa Mataifa na hasa mkwamo katika Baraza la Usalama la umoja huo ambao una jukumu muhimu la kulinda amani na usalama wa kimataifa, kuhusu vita vya Gaza, jinai za kivita na mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni, umekosolewa vikali kimataifa.

  • Zaidi ya madaktari na wahudumu wa afya 200 wameuawa na Israel huko Gaza

    Zaidi ya madaktari na wahudumu wa afya 200 wameuawa na Israel huko Gaza

    Nov 16, 2023 08:33

    Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kwamba madaktari na wahudumu wa afya 202 wa mji huo wameuawa shahidi tangu kuanza kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Isarel kwenye ukanda huo.

  • Rais wa Iran: Hakuna nchi yenye ujasiri wa kuishambulia Iran

    Rais wa Iran: Hakuna nchi yenye ujasiri wa kuishambulia Iran

    Nov 16, 2023 08:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran imefikia kiwango cha kujitosheleza katika sekta ya kijeshi na hakuna nchi inayoweza kuthubutu kuivamia ardhi ya nchi hii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS