Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Shtayyeh: Jamii ya kimataifa ichukue hatua za kukomesha uvamizi wa Israel huko Palestina

    Shtayyeh: Jamii ya kimataifa ichukue hatua za kukomesha uvamizi wa Israel huko Palestina

    Jun 25, 2023 04:28

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema: Kunahitajika hatua na uhamasishaji wa kimataifa ili kukomesha uvamizi wa Israel na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • Wananchi wa Jordan waandamana kuunga mkono muqawama wa Palestina

    Wananchi wa Jordan waandamana kuunga mkono muqawama wa Palestina

    Jun 24, 2023 04:28

    Maelfu ya wananchi wa Jordan wameandamana kwa ajili ya kuunga mkono muqawama na mapambano ya wananchi wa Palestina na wakati huo huo kulaani jinai za kila leo za utawala haramu wa Israel.

  • Wapalestina walaani hatua ya Wazayuni ya kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu

    Wapalestina walaani hatua ya Wazayuni ya kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu

    Jun 23, 2023 23:30

    Kitendo cha walowezi wa Kiyahudi cha kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu wakati wa mashambulizi ya askari wa Israel dhidi ya misikiti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kimeibua wimbi kubwa la laana na malalamiko ya Waislamu hususan huko Palestina.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Jun 22, 2023 06:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Palestina kwamba, jinai za utawala huo dhalimu na uhalifu wake unazidi kuipunguzia uhai Israel katika ramani ya dunia.

  • Lieberman atoa wito wa kurejeshwa kwa sera ya mauaji ya kigaidi Ukanda wa Gaza

    Lieberman atoa wito wa kurejeshwa kwa sera ya mauaji ya kigaidi Ukanda wa Gaza

    Jun 20, 2023 04:06

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amelitaka jeshi la utawala huo kutekeleza tena sera ya kuwaua kigaidi makamanda wa harakati za mapambano ya ukombozii ya Palestina katika Ukanda wa Gaza na kutekeleza operesheni kubwa za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wazayuni: Mapigano yalikuwa makali Jenin, tumehisi kama tunakabiliana na Hizbullah ya Lebanon

    Wazayuni: Mapigano yalikuwa makali Jenin, tumehisi kama tunakabiliana na Hizbullah ya Lebanon

    Jun 19, 2023 23:46

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimelazimika kukiri kwamba mapambano yaliyotokea jana Jumatatu kwenye mji wa Jenin huko Palestina yalikuwa tata na ya kipekee kutoka kwa wanamapambano wa Palestina.

  • Wanamuqawama wa Palestina watekeleza oparesheni 22 dhidi ya Wazayuni

    Wanamuqawama wa Palestina watekeleza oparesheni 22 dhidi ya Wazayuni

    Jun 19, 2023 05:19

    Wanamapambano wa Palestina jana walitekeleza oparesheni 23 dhidi ya Wazayuni ikiwa ni katika kuendeleza hatua za wanamuqawama wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • "Njia za chini ya ardhi za Hizbullah"; zilzala haribifu kwa utawala wa Kizayuni

    Jun 18, 2023 00:54

    Duru za habari za lugha ya Kiibrania zimetangaza kuwa Harakati ya Mapambano ya Lebanon ya Hizbullah inaimarisha nguvu na uwezo wake wa chini ya ardhi na kwamba harakati hiyo inaweza kubomoa na kuharibu vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kupitia njia hizo za nchini ya ardhi.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Adui Mzayuni amechanganyikiwa

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Adui Mzayuni amechanganyikiwa

    Jun 17, 2023 02:46

    Akizungumza karibuni na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na ujumbe aliofuatana nao, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya sasa ya utawala wa Kizayuni wa Israel inatofautiana sana na ya miaka sabini iliyopita na kusisitiza: Hii leo adui Mzayuni yuko katika hali ya kutojua la kufanya na hali hii inaonyesha kuwa Jihad Islami ya Palestina na makundi mengine ya mapambano yametambua vyema njia ya kufuata na yanasonga mbele kwa busara.

  • Jumbe za Kiislamu za Quds: Msikiti wa al Aqsa ni mstari wetu mwekundu

    Jumbe za Kiislamu za Quds: Msikiti wa al Aqsa ni mstari wetu mwekundu

    Jun 13, 2023 01:10

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa Kiislamu na jopo la maulamaa wa Baitul Muqaddas wametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni za kutaka kubadili mazingira ya msikiti wa al Aqsa na kusisitiza kuwa eneo hilo takatifu ni mstari wao mwekundu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS