Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Bashar al Assad: Wanajeshi vamizi wamelikalia kwa mabavu eneo la kaskazini mwa Syria

    Bashar al Assad: Wanajeshi vamizi wamelikalia kwa mabavu eneo la kaskazini mwa Syria

    Oct 18, 2019 23:09

    Rais wa Syria amesema kuwa wanajeshi vamizi wa nchi za kigeni wamelikalia kwa mabavu eneo la kaskazini mwa Syria na kusisitiza kuwa kuna ulazima wanajeshi hao kuondoka katika eneo hilo.

  • Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria

    Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria

    Oct 18, 2019 11:51

    Mashambulio ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Uturuki yameua raia wasiopungua watano huku mapigano ya hapa na pale yakiendelea kati ya majeshi ya nchi hiyo na wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mashariki mwa Syria licha ya maafikiano ya kusitisha hujuma yaliyofikiwa kati ya Uturuki na Marekani hapo jana.

  • Operesheni ya Uturuki imefanya watu laki 3 kuwa wakimbizi Syria

    Operesheni ya Uturuki imefanya watu laki 3 kuwa wakimbizi Syria

    Oct 17, 2019 23:54

    Operesheni ya kijeshi ya Uturuki huko kaskazini mwa Syria iliyopewa jina la 'Chemchemi ya Amani' imepelekea watu zaidi ya laki tatu kuyahama makazi yao na kukimbilia usalama wao.

  • Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria

    Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria

    Oct 17, 2019 23:53

    Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuondoa wanajeshi wa Marekani kaskazini mwa Syria, jambo ambalo limewezesha Uturuki kushambulia eneo hilo, imekosolewa ndani ya Marekani.

  • Rais Tayyip Erdoğan: Uturuki haiogopi vikwazo vya Marekani

    Rais Tayyip Erdoğan: Uturuki haiogopi vikwazo vya Marekani

    Oct 17, 2019 09:52

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amedai kwamba lengo la operesheni za nchi yake kaskazini mwa Syria lipo wazi na kwamba serikali ya Ankara haiogopi hata kidogo vikwazo vya Marekani.

  • Sisitizo la Russia la kutatuliwa kisiasa hitilafu kati ya Uturuki na Syria

    Sisitizo la Russia la kutatuliwa kisiasa hitilafu kati ya Uturuki na Syria

    Oct 16, 2019 07:29

    Russia ikiwa moja ya nchi muhimu katika medani na matukio ya Syria imetangaza msimamo wake kuhusiana na mashambulio ya kijeshi ya Uturuki huko kaskazini mwa Syria.

  • Zarif ataka kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Syria

    Zarif ataka kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Syria

    Oct 16, 2019 04:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kusitishwa uvamizi na mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Syria.

  • Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo

    Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo

    Oct 15, 2019 23:26

    Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.

  • Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)

    Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)

    Oct 15, 2019 04:40

    Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutoa onyo kuhusiana na kuibukka upya shughuli za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kitendo cha kuondoa askari wa Kimarekani katika maeneo yanayoshambuliwa na Uturuki huko kaskazini mwa Syria, kimeandaa uwanja wa kufufuka upya kundi hilo la ukufurishaji ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria

    Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria

    Oct 15, 2019 01:15

    Kamanda wa zamani wa majeshi ya Marekani nchini Afghanistan amebainisha kwamba, Rais Donald Trump wa Marekani ni muhusika wa mgogoro na mauaji kaskazini mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS