-
Marekani yaitisha Uturuki isithubutu kushirikiana na serikali halali ya Venezuela
Feb 02, 2019 04:51Katika kuendeleza uingiliaji wake katika siasa za nje za Uturuki, Marekani imeionya Ankara dhidi ya kushirikiana na serikali halali ya Venezuela.
-
Uturuki kupeleka kadhia ya mauaji ya Khashoggi katika Umoja wa Mataifa
Jan 25, 2019 01:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa umewadia wakati wa kufanyika uchunguzi wa kimataiifa kuhusu mauaji ya mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi.
-
Uturuki yasema haibabaishwi na vitisho vya Trump
Jan 14, 2019 23:11Waziri wa Mambo ya Nje ya Uturuki Mevlüt Çavuşoğlu amesema nchi hiyo haibabaishwi wala kutiwa kiwewe na kauli ya vitisho ya Rais Donald Trump kwamba Marekani itausabababishia matatizo uchumi wa Ankara.
-
Tishio kali la Trump dhidi ya Uturuki
Jan 14, 2019 09:42Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza hapo tarehe 19 mwezi Disemba mwaka jana uamuzi wa kuondoa askari vamizi wa nchi hiyo huko Syria, baadhi ya wachambuzi wa mambo waliuchukulia uamuzi huo kuwa sehemu ya juhudi zake za kutaka kuiridhisha Uturuki.
-
Taarifa ya mwisho ya Kikao cha 5 cha Baraza Kuu la Uhusiano wa Kistratijia wa Iran na Uturuki
Dec 21, 2018 01:10Marais wa Iran na Uturuki wamesisitiza katika taarifa ya mwisho ya Kikao cha 5 cha Baraza Kuu la Uhusiano wa Kistratijia wa nchi hizo mbili umuhimu wa kuchukuliwa hatua za dharura za kufanikisha biashara yenye thamani ya dola bilioni 30 kwa mwaka kati ya pande hizo mbili.
-
Rais Rouhani: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran, ni hatua ya kigaidi kwa asilimia mia moja
Dec 20, 2018 12:16Rais Hassan Rouhani amesema: Hatua ilizochukua Marekani dhidi ya Iran ni za kigaidi kwa asilimia mia moja, kwa sababu nchi hiyo inazitisha nchi nyingine zisitekeleze azimio nambari 2231, zisifanye biashara huru wala kutekeleza matakwa ya wananchi wao, mashirika na wadau wa kiuchumi.
-
Safari ya Uturuki ya Rais Rouhani; Mwanzo Mpya wa Ushirikiano wa Kistratijia
Dec 20, 2018 03:49Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumatano aliwasili mjini Ankara nchini Uturuki akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa akiitikia mwaliko wa Rais Recep Tayyip Erdoğan wa nchi hiyo.
-
Erdogan: Muuaji wa Khashoggi alisikika akisema 'Najua Namna ya Kukata'
Dec 15, 2018 11:07Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amefichua kuwa katika sehemu ya faili la sauti kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi, mmoja kati ya wauaji wa mpinzani huyo wa utawala wa Saudia alisikika akijigamba kuwa, 'Najua namna ya kukata.'
-
Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa
Dec 08, 2018 12:07Maspika wa mabunge ya nchi sita za Iran, Russia, Uturuki, China, Pakistan na Afghanistan umemalizika leo hapa mjini Tehran kwa taarifa ya pamoja ya kuimarisha uhusiano katika kupambana na ugaidi na kuongeza ushirikiano wao wa kieneo.
-
Mauaji ya Kashoggi; Uturuki yatoa waranti wa kukamatwa wapambe wa Bin Salman
Dec 05, 2018 23:14Mwendesha Mashitaka Mkuu wa mji wa Istanbul nchini Uturuki ametoa waranti wa kutiwa nguvuni wapambe wawili wa karibu wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, kwa tuhuma za kupanga mauaji ya Jamal Khashoggi, aliyekuwa mwandishi wa habari na mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud.