-
Muendelezo wa maonyo ya serikali ya Uturuki kwa Israel
Dec 08, 2023 22:53Huku mzozo wa kiuchumi ukiendelea kushika kasi nchini Uturuki, harakati za shirika la ujasusi la utawala wa kibaguzi wa Israel (Mossad) dhidi ya nchi hiyo na mataifa mengine ya Kiislamu zinaendelea kuongezeka.
-
Rais Erdogan wa Uturuki: Israel ni dola la kigaidi
Nov 16, 2023 00:45Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema Israel ni 'dola la kigaidi' ambalo linafanya jinai za kivita na kukanyaga sheria za kimataifa katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Abdollahian: Jitihada za kusitisha vita Gaza kwa njia za kisiasa zinaendelea
Nov 01, 2023 23:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Qatar zinaendeleza juhudi za kisiasa za kutaka kusimamishwa vita kwa muda katika Ukanda wa Gaza haraka iwezekanavyo, huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendelea kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Erdogan: HAMAS si kundi la magaidi, bali wapigania ukombozi
Oct 26, 2023 08:53Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amefuta safari yake ya kuzitembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel na kusisitiza kuwa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si kundi la magaidi, bali ni kundi la wapigania ukombozi.
-
Uturuki kuwasilisha OIC mpango pendekezwa wa kutatua mgogoro wa Gaza
Oct 17, 2023 08:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametangaza kuwa atawasilisha katika kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC mpango uliopendekezwa na nchi yake kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Gaza
-
Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria
Oct 02, 2023 07:35Ankara imetangaza kwa mara nyingine kuwa serikali ya Uturuki itaanzisha tena mazungumzo yake na Iran na Russia kwa lengo la kuboresha uhusiano na Syria.
-
Erdogan: Uturuki haitarajii chochote kutoka Umoja wa Ulaya
Oct 02, 2023 00:09Rais Recep Tayyeb Erdogan wa Uturuki amesema taifa hilo halitazamii kupata kitu chochote kutoka Brussels, baada ya kusubiri kwa miongo kadhaa kupewa uanachama wa Umoja wa Ulaya.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Russia na Uturuki wakutana New York kujadili mgogoro wa Syria
Sep 23, 2023 23:45Sambamba na juhudi zinazoendelea za kidiplomasia za kuushughulikia mgogoro wa Syria, mawaziri wa mambo ya nje wa Iran, Russia na Uturuki wamefanya mkutano wa pande tatu katika muktadha wa Mazungumzo ya Astana kwa ajili ya kujadili njia za kurejesha amani na utulivu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Erdogan na Anwar Ibrahim walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi za Ulaya
Sep 21, 2023 00:19Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, wamelaani vikali vitendo vya kuchomwa moto nakala za Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya, na hotuba zinazochochea ouvu, chuki na mashambulizi dhidi ya Uislamu na Waislamu.
-
Uturuki yafanya mazungumzo na Iraq, Qatar na UAE kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo"
Sep 15, 2023 22:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amethibitisha kuwa nchi yake inafanya mazungumzo na Iraq, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) na Qatar kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo".