Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Rais wa muda: Venezuela ina haki ya kujenga uhusiano na Iran

    Rais wa muda: Venezuela ina haki ya kujenga uhusiano na Iran

    Jan 19, 2026 02:38

    Rais wa uongozi wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez, amethibitisha tena kwamba Caracas ina haki ya kudumisha uhusiano wa kidiplomasia na China, Cuba, Iran na Russia na kupinga uingiliaji wa Marekani. Rais wa serekali muda ya Venezuela pia amekosoa hatua za kichokozi za Washington dhidi ya nchi hiyo.

  • Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: US ilipaswa kumteka Netanyahu, si Maduro

    Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: US ilipaswa kumteka Netanyahu, si Maduro

    Jan 11, 2026 06:34

    Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amesema "Marekani inapaswa kumteka nyara na kumshtaki katika mahakama yake yoyote ile Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu, ikiwa Washington ni rafiki halisi wa ubinadamu."

  • Marekani ina ndoto gani kuhusu mafuta ya Venezuela?

    Marekani ina ndoto gani kuhusu mafuta ya Venezuela?

    Jan 09, 2026 14:22

    Kufuatia operesheni ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela, swali muhimu limeibuka: Washington ina mipango gani kwa ajili ya mafuta ya nchi hiyo?

  • Venezuela: Watu 200 waliuawa, kujeruhiwa wakati wa kutekwa Maduro

    Venezuela: Watu 200 waliuawa, kujeruhiwa wakati wa kutekwa Maduro

    Jan 09, 2026 06:24

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela amesema idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la karibuni la Marekani wakati ikimteka nyara Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini imeongezeka na kupindukia watu 200.

  • SWAPO yaitaka Marekani imuachie Maduro bila masharti yoyote

    SWAPO yaitaka Marekani imuachie Maduro bila masharti yoyote

    Jan 08, 2026 06:28

    Chama tawala nchini Namibia cha South West Africa People's Organization (SWAPO), kimetoa wito wa kuachiliwa huru mara moja na bila masharti yoyote Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe.

  • Umoja wa Mataifa: Hatua ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Umoja wa Mataifa: Hatua ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Jan 07, 2026 09:48

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Maduro aiambia mahakama US: Ningali Rais halali wa Venezuela

    Maduro aiambia mahakama US: Ningali Rais halali wa Venezuela

    Jan 06, 2026 06:10

    Rais wa Venezuela aliyetekwa nyara na Marekani, Nicolas Maduro ameiambia mahakama jijini New York kwamba "hana hatia", "ni mtu mstaarabu", na kwamba alikuwa "ametekwa nyara", katika matamshi yake ya kwanza hadharani tangu kujiri shambulio la kuogofya la Marekani dhidi ya nchi yake Jumamosi.

  • ECOWAS yasisitiza kuheshimiwa uhuru wa Venezuela kufuatia uvamizi wa kijeshi wa Marekani

    ECOWAS yasisitiza kuheshimiwa uhuru wa Venezuela kufuatia uvamizi wa kijeshi wa Marekani

    Jan 05, 2026 08:02

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeitaka jamii ya kimataifa kuheshimu uhuru na mamlaka ya kitaifa ya Venezuela kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya nchi hiyo yaliyopelekea kukamatwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe.

  • Rais wa Colombia atahadharisha: Amerika ya Latini inapasa kuungana la sivyo watafanywa kama watumwa

    Rais wa Colombia atahadharisha: Amerika ya Latini inapasa kuungana la sivyo watafanywa kama watumwa

    Jan 05, 2026 07:50

    Rais Gustavo Petro wa Colombia ametahadharisha kuwa nchi za Amerika ya Latini ni lazima ziungane, kinyume chake zitakabiliwa na hatari ya kufanywa kama watumwa. Rais wa Colombia ametamka haya kufuatia vitisho mtawalia vya Rais Donald Trump wa Marekani vinavyojumuisha uwezekano wa kufanyika oparesheni ya kijeshi dhidi ya Colombia.

  • Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?

    Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?

    Jan 05, 2026 02:42

    Hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela na kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, imekabiliwa na wimbi kubwa la laana na ukosoaji mkubwa kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS