Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Qassemi: Zama za kutumia vitisho vya kijeshi zimepita

    Qassemi: Zama za kutumia vitisho vya kijeshi zimepita

    Aug 14, 2017 04:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vitisho vya kutumia nguvu za jeshi vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Venezuela na kusisitiza kuwa uzoefu unaonesha kuwa, zama za kutumia vitisho vya kijeshi na mashinikizo dhidi ya nchi huru na zinazojitawala kwa ajili ya kuzilazimisha zikubali matakwa yasiyo ya kimantiki na haramu zimemalizika.

  • Maduro: CIA inashirikiana na Mexico, Colombia dhidi ya Venezuela

    Maduro: CIA inashirikiana na Mexico, Colombia dhidi ya Venezuela

    Jul 25, 2017 09:43

    Rais wa Venezuela amesema Shirika la Kijasusi la Marekani CIA linashirikiana na Mexico na Colombia katika njama ya kuipindua serikali halali ya Caracas.

  • Jumatano 5 Julai, 2017

    Jumatano 5 Julai, 2017

    Jul 04, 2017 23:34

    Leo ni Jumatano tarehe 110 Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 5 Julai 2017.

  • Ijumaa, 14 Aprili, 2017

    Ijumaa, 14 Aprili, 2017

    Apr 13, 2017 22:17

    Leo ni Ijumaa tarehe 16 Rajab 1438 Hijria sawa na tarehe 14 Aprili, 2017.

  • Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na indhari ya Caracas dhidi ya Washington

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na indhari ya Caracas dhidi ya Washington

    Feb 22, 2017 09:08

    Katika hatua inayohesabiwa kuwa ni uingiliaji wa serikali mpya ya Marekani dhidi ya Venezuela, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekutana na mke wa Leopoldo López, kiongozi mkuu wa upinzani anayezuiliwa katika jela nchini Venezuela.

  • Makamu wa Rais wa Venezuela: US imeniwekea vikwazo kwa kupinga ubeberu

    Makamu wa Rais wa Venezuela: US imeniwekea vikwazo kwa kupinga ubeberu

    Feb 14, 2017 22:03

    Makamu wa Rais wa Venezuela, Tareck El Aissami amekosoa vikali hatua ya Marekani kumuwekea vikwazo eti kwa madai ya kuhusika na ulanguzi wa mihadarati.

  • Rouhani: NAM iungane dhidi ya misimamo mikali ya upande mmoja

    Rouhani: NAM iungane dhidi ya misimamo mikali ya upande mmoja

    Feb 09, 2017 04:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi baina ya nchi wananchama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, akisisitiza kuwa mataifa huru yanafaa kuungana dhidi ya madola yenye kupenda kutoa maamuzi ya upande mmoja na misimamo ya kuchupa mipaka.

  • Rais wa Venezuela safarini Iran kwa mazungumzo ya mafuta

    Rais wa Venezuela safarini Iran kwa mazungumzo ya mafuta

    Oct 22, 2016 00:56

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela anaitembelea Iran katika sehemu ya safari yake ya kuzitembelea nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani ili kujaribu kuleta uthabiti katika soko la kimataifa la mafuta.

  • Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote, mwanzo mpya na changamoto nyingi

    Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote, mwanzo mpya na changamoto nyingi

    Sep 19, 2016 08:44

    Kikao cha 17 cha viongozi wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), kilimaliza shughuli zake siku ya Jumapili katika kisiwa cha St. Margarita nchini Venezuela kwa kutoa taarifa ya pamoja.

  •  Mjumbe wa Venezuela ashindwa kuvumilia jinai za Israel

    Mjumbe wa Venezuela ashindwa kuvumilia jinai za Israel

    May 07, 2016 23:17

    Wawakilishi wa Venezuela na utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambuliana kwa maneno katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS