Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Russia yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 22, 2019 08:16

    Vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran ni vikwazo vilivyo kinyume cha sheria na vinavyokinzana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA. Nchi za kundi la 4+1 limelaani vikwazo hivyo dhidi ya Iran.

  • Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Jun 16, 2019 03:14

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zinapinga vikali sera za vikwazo, mashinikizo na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja kwenye uhusiano wa kimataifa.

  • Muhadhiri wa Uturuki: Lengo la Marekani ni kuzidhoofisha nchi zenye nguvu Asia Magharibi

    Muhadhiri wa Uturuki: Lengo la Marekani ni kuzidhoofisha nchi zenye nguvu Asia Magharibi

    Jun 09, 2019 22:02

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na mhadhiri wa chuo kikuu nchini Uturuki amesema kuwa lengo la vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran ni kuendeleza siasa za kibeberu za White House za kuzidhoofisha nchi zenye nguvu za Asia Magharibi.

  • Ukosoaji wa Jumuiya ya Kiarabu (Arab League) dhidi ya uamuzi wa Ujerumani kuhusu BDS

    Ukosoaji wa Jumuiya ya Kiarabu (Arab League) dhidi ya uamuzi wa Ujerumani kuhusu BDS

    May 21, 2019 00:12

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imeukosoa uamuzi wa serikali ya Ujerumani wa kupiga marufuku nchini humo shughuli za Harakati ya Kimataifa ya Kuususia Utawala haramu wa Israel BDS na kusema kuwa uamuzi huo si wa kisheria.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, hatua ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi'

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, hatua ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi'

    May 09, 2019 23:26

    Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuiondoa nchi hiyo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA mnamo tarehe 8 Mei mwaka uliopita, alianza kutekeleza vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran katika hutua mbili yaani mwezi Agosti na Novemba mwaka huo huo.

  • Vikwazo vya upande mmoja vya Marekani; ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu

    Vikwazo vya upande mmoja vya Marekani; ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu

    May 08, 2019 02:32

    Utawala wa Marekani ndio unaoshikilia rekodi ya kuziwekea nchi nyingine vikwazo tofauti tofauti.

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani havina athari za kisiasa kwa Iran

    Zarif: Vikwazo vya Marekani havina athari za kisiasa kwa Iran

    May 05, 2019 09:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vikwazo vya Marekani havina taathira yoyote ya kisiasa kwa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Hatua mpya ya Marekani dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Hatua mpya ya Marekani dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    May 04, 2019 06:38

    Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni makubaliano muhimu sana katika fremu ya kulinda amani na usalama wa kimataifa; hata hivyo tarehe 8 mwezi Mei mwaka jana Marekani ilijitoa kwenye makubaliano hayo. Serikali ya Trump mwezi Agosti na Novemba mwaka 2018 katika marhala mbili iliiwekea tena Iran vikwazo vya nyuklia; na ingali inaendeleza mashinikizo ya vikwazo dhidi ya Tehran.

  • Rouhani: Taifa la Iran litamshinda adui yeyote yule

    Rouhani: Taifa la Iran litamshinda adui yeyote yule

    May 04, 2019 03:45

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia njama za maadui dhidi ya Tehran na kusisitiza kuwa, taifa hili la Kiislamu litamshinda adui yeyote yule kwa mshikamano wake, kusimama kidete na kuwa na matumaini na mustakbali mwema.

  • IMF: Licha ya vikwazo, Iran itakuwa na akiba ya zaidi ya dola bilioni 100 mwaka huu

    IMF: Licha ya vikwazo, Iran itakuwa na akiba ya zaidi ya dola bilioni 100 mwaka huu

    May 03, 2019 22:22

    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) umetabiri kuwa, akiba ya fedha za kigeni ya Iran mwaka 2019 itapindukia dola bilioni 100 licha ya kuweko vikwazo vya pande zote vya Marekani dhidi ya taifa hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS