Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Russia yaionya Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika yake nchini Venezuela

    Russia yaionya Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika yake nchini Venezuela

    Mar 13, 2019 23:00

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa onyo kwa Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika ya nchi hiyo yanayofanya kazi nchini Venezuela.

  • Mwenendo wa Marekani dhidi ya wananchi wa Iran; kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu

    Mwenendo wa Marekani dhidi ya wananchi wa Iran; kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu

    Mar 08, 2019 11:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif ameichapisha tena barua ya wanasayansi 66 wa tiba wa Iran kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kuitaka jamii ya kimataifa ilaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran hususan katika sekta ya utabibu.

  • Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake

    Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake

    Mar 06, 2019 10:21

    Zimbabwe imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Marekani ya kurefusha vikwazo dhidi ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, inayokabiliwa na mgogoro wa kiuchumi.

  • Spika wa Bunge la Kuwait ataka kupigwa marufuku kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Spika wa Bunge la Kuwait ataka kupigwa marufuku kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Mar 04, 2019 04:37

    Spika wa Bunge la Kuwait ametoa wito wa kupigwa marufuku suala la kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel na kuzuiwa kuweko uhusiano wa kisiasa na utawala huo ghasibu unaotenda jinai kila leo dhidi ya Wapalestina.

  • Iraq: Tutaendeleza zaidi uhusiano mwema na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Iraq: Tutaendeleza zaidi uhusiano mwema na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Feb 21, 2019 01:10

    Mshauri wa Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, licha ya vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Baghdad itaendeleza uhusiano wake na Iran ikiwemo sekta ya nishati.

  • Rais Rouhani: Marekani inatiwa kiwewe na ustawi na maendeleo ya Iran

    Rais Rouhani: Marekani inatiwa kiwewe na ustawi na maendeleo ya Iran

    Jan 16, 2019 12:01

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani wameamua kuliwekea taifa la Iran vikwazo vikubwa mno kwa sababu wana kiwewe na maendeleo, ustawi na uwezo wa taifa hili la Kiislamu.

  • Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu

    Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu

    Jan 10, 2019 12:33

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makombora leo hii ni zana ya kujilinda Iran na taifa letu leo hii linajivunia na linaona fakhari kubwa kuwa na nguvu za kiulinzi za makombora.

  • Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi

    Kushadidi mivutano baina ya Russia na Ukraine; vikwazo na makabiliano ya kijeshi

    Dec 26, 2018 05:05

    Tangu mwaka 2014 wakati hatamu za uongozi wa nchi ya Ukraine ziliposhikwa na serikali yenye mielekeo ya Kimagharibi na kuunganishwa eneo la Cremia na ardhi ya Russia, uhusiano wa Moscow na Kiev uliporomoka sana na kutawaliwa na mivutano mingi.

  • Kampeni ya

    Kampeni ya "Susia Bidhaa za Saudi Arabia" yaanzishwa katika nchi za Kiislamu

    Dec 24, 2018 11:30

    Wadau wa mitandao ya kijamii katika nchi za Kiarabu na Kiislamu wameanzisha kampeni ya "Susia Bidhaa za Saudi Arabia" wakilaani jinai za kivita zinazoendelea kufanywa na utawala huo wa kifalme dhidi ya Waislamu wa Yemen.

  • Iran: Lugha ya heshima inapaswa kuchukua nafasi ya lugha ya vikwazo na vitisho

    Iran: Lugha ya heshima inapaswa kuchukua nafasi ya lugha ya vikwazo na vitisho

    Dec 19, 2018 04:23

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema taifa hili limeishi chini ya vikwazo kwa miaka mingi na hata kupata mafanikio makubwa chini ya vikwazo hivyo, na kwa msingi huo, lugha ya heshima inapaswa kuchukua nafasi ya lugha ya vikwazo na vitisho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS