-
Hatua za mwisho za Ulaya za kuanzisha mfumo huru maalumu wa kifedha kati yake na Iran
Nov 03, 2018 23:05Kufuatia kutangazwa duru mpya ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vinatazamiwa kuanza kutekelezwa kuanzia tarehe 5 mwezi huu huku vikijumuisha sekta ya mafuta, benki na safari za meli; nchi za Ulaya zimetoa taarifa zikisisitiza kupiga hatua kubwa katika kutayarisha mfumo huo maalumu wa kifedha kati yake na Iran.
-
Iran: Kurejea vikwazo vya Marekani ni kusambaratika maadili na siasa za utawala wa Washington
Nov 03, 2018 11:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ushirikiano na nchi rafiki na kwa kutegemea uwezo wake wa ndani na kimataifa, itatumia busara na kuweza kuvuka vikwazo visivyo vya kisheria vya Marekani.
-
Novemba 4; kukaribia siku ya mtihani mgumu kwa Umoja wa Ulaya
Nov 03, 2018 04:41Siku tatu kabla ya kuanza awamu ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, Rais Hassan Rouhani alizitaka nchi za Ulaya kusimama imara kukabiliana na mielekeo ya Washington ya kujichukulia hatua za upande mmoja.
-
Paris: Upo uwezekano wa kuiwekea vikwazo Saudi Arabia
Oct 31, 2018 21:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa upo uwezekano Saudia ikawekewa vikwazo iwapo itakuwa imehusika katika mauaji ya mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala wa ukoo wa Aal Saud, Jamal Khashoggi.
-
Dakta Zarif: Jamii ya Kimataifa imesimama dhidi ya vikwazo vya Marekani
Oct 30, 2018 22:56Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jamii ya kimataifa imesimama dhidi ya vikwazo vya Marekani kiasi kwamba, majirani na nchi za Ulaya zimesimama kidete dhidi ya hatua za upande mmoja za serikali ya Washington.
-
Ulaya yakerwa na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusisitiza kulindwa mapatano ya JCPOA
Oct 30, 2018 22:50Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akijaribu kuvuruga mapatano ya kimataifa yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1 kwa kisingizio kuwa ni mapatano mabaya zaidi ya kimataifa kuwahi kufikiwa na Marekani.
-
Iran yaitaka dunia iheshimu uamuzi wa ICJ dhidi ya Marekani
Oct 26, 2018 10:31Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amezitaka nchi zote huru duniani kufungamana na uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), kwa kutouinga mkono Marekani kuiwekea vikwazo Tehran.
-
Marekani yashindwa kuiwekea vikwazo kamili vya kibenki Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Oct 25, 2018 04:35Viongozi wa Marekani wamesema kuwa, serikali ya Rais Donald Trump hatimaye itairuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuweza kuendeleza mawasiliano yake ya kibenki kupitia mfumo wa SWIFT na kustafidi na huduma za utumaji fedha kimataifa.
-
Kukataliwa na madola ya Magharibi simulizi za Saudia kuhusu hekaya ya mauaji ya Khashoggi
Oct 21, 2018 23:35Moja ya matukio makubwa zaidi ya ukiukaji haki za binadamu kuwahi kufanywa na utawala wa Aal Saud ni la mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji maarufu wa utawala huo wa kifalme yaliyotokea ndani ya ubalozi wake mdogo ulioko mjini Istanbul, Uturuki.
-
Nchi za Ulaya na Asia zataka kuondolewa vikwazo Iran
Oct 20, 2018 04:34Nchi za Ulaya na Asia sanjari na kutangaza utayarifu wao wa kuendelea kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Iran, zimesema kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ni sehemu muhimu ya mapatano hayo ya kimataifa yanayofahamika kama JCPOA.