Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama yasisitiza kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama yasisitiza kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Feb 13, 2023 11:49

    Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kuondolewa haraka iwezekanavyo vikwazo dhidi ya Syria katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo inahitajia misaada kutokana na kukumbwa na janga la tetemeko la ardhi.

  • Syria: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani vinazidisha maafa ya tetemeko la ardhi

    Syria: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani vinazidisha maafa ya tetemeko la ardhi

    Feb 07, 2023 07:13

    Kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea kaskazini ya Syria, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo amesema, athari za vikwazo vya upande mmoja vya Marekani zinaongeza maafa ya janga hilo la kimaumbile.

  • Jibu la Iran kwa vikwazo vya Umoja wa Ulaya

    Jibu la Iran kwa vikwazo vya Umoja wa Ulaya

    Jan 28, 2023 02:32

    Katika kukabiliana na vikwazo vya hivi karibuni vya Umoja wa Ulaya, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha orodha mpya ya shakhsia na taasisi za Ulaya ambazo zimewekewa vikwazo na serikali ya Tehran.

  • Kutangaza al-Azhar kususia bidhaa za Sweden na Uholanzi; ulazima wa kuchukua hatua kali dhidi ya kuvunjiwa heshima Qur'ani

    Kutangaza al-Azhar kususia bidhaa za Sweden na Uholanzi; ulazima wa kuchukua hatua kali dhidi ya kuvunjiwa heshima Qur'ani

    Jan 26, 2023 04:03

    Jumatano ya jana tarehe 25 Januari Chuo cha Kiislamu cha al-Azhar cha nchini Misri kilitoa mwito kwa wananchi wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kususia bidhaa za Uholanzi na Sweden kama moja ya njia za kuunga mkono Qur'ani Tukufu baada ya kushuhudiwa matukio mawili tofauti katika mataifa hayo ya kuchomwa moto Qu'ani Tukufu.

  • EU yaendeleza msimamo wa uhasama dhidi ya Iran

    EU yaendeleza msimamo wa uhasama dhidi ya Iran

    Jan 24, 2023 02:45

    Umoja wa Ulaya umeendeleza misimamo yake ya uhasama kwa Iran kwa kuiwekea vikwazo vipya.

  • Baqeri Kani: Iran imeshikamana na misimamo yake katika mazungumzo ya kuondolewa vikwazo

    Baqeri Kani: Iran imeshikamana na misimamo yake katika mazungumzo ya kuondolewa vikwazo

    Jan 03, 2023 11:08

    Mkuu wa timu ya Iran ya kufanya mazungumzo ya nyuklia amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imeshikamana vilivyo na misimamo yake katika mazungumzo ya kuondolewa vikwazo.

  • Jebeli: Vikwazo dhidi ya IRIB ni mfano wa wazi wa udikteta dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Jebeli: Vikwazo dhidi ya IRIB ni mfano wa wazi wa udikteta dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Jan 01, 2023 10:49

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran IRIB amesema kuwa vikwazo lilivyowekewa shirika hilo ni mfano wa wazi wa udikteta dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Kukatwa matangazo ya kanali za Irani na Russia katika satelaiti ya Eutelsat; ishara ya ukiukaji wa uhuru wa kujieleza

    Kukatwa matangazo ya kanali za Irani na Russia katika satelaiti ya Eutelsat; ishara ya ukiukaji wa uhuru wa kujieleza

    Dec 23, 2022 08:30

    Shirika la satelaiti la Utelsat limepata hasara ya euro milioni kadhaa kutokana na uamuzi wake wa kukata matangazo ya kanali za Iran na Russia kwenye satelaiti hiyo.

  • Ushiriki mdogo wa wananchi wa Tunisia katika uchaguzi wa Bunge

    Ushiriki mdogo wa wananchi wa Tunisia katika uchaguzi wa Bunge

    Dec 19, 2022 12:47

    Karibu akthari ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura nchini Tunisia walisusia uchaguzi wa Bunge uliofanyika Jumamosi ya juzi tarehe 17 Disemba.

  • Balozi wa Afrika Kusini akosoa vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Iran

    Balozi wa Afrika Kusini akosoa vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Iran

    Nov 29, 2022 03:24

    Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amekosoa kuendelea vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS