Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • UN Yasikitishwa na Hujuma ya Saudia dhidi ya Hospitali Yemen

    UN Yasikitishwa na Hujuma ya Saudia dhidi ya Hospitali Yemen

    Aug 04, 2018 03:42

    Afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa amebainisha masikitiko yake kufuatia hatua ya muungano unaoongozwa na Saudia kushambulia hospitali na soko katika mji wa Al Hudaydah nchini Yemen.

  • Kukiri kwa kuchelewa Imarati juu ya kushindwa vita Yemen na indhari ya Sana'a kwa Abu Dhabi

    Kukiri kwa kuchelewa Imarati juu ya kushindwa vita Yemen na indhari ya Sana'a kwa Abu Dhabi

    Jun 02, 2018 07:17

    Anwar Gargash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Imarati amekiri kushindwa nchi yake katika vita dhidi ya watu wa Yemen na kuongeza kuwa, mtihani wa Yemen umekuwa mgumu na bado unaendelea kuwa mgumu.

  • Kuanza vita vya kibiashara kati ya Trump na washirika wake wakuu wa kibiashara

    Kuanza vita vya kibiashara kati ya Trump na washirika wake wakuu wa kibiashara

    Jun 01, 2018 09:07

    Hatimaye Rais Donald Trump wa Marekani ameanza kutekeleza kivitendo vita vya kibiashara kati ya nchi hiyo na washirika wake wa Ulaya kwa kuziwekea ushuru mpya bidhaa za chuma cha pua na alumini (aluminiamu) zinazoingizwa nchini humo kutoka nje.

  • Ripoti: Watoto bilioni 1.2 duniani wanakabiliwa na hatari ya vita, ufakiri na ubaguzi

    Ripoti: Watoto bilioni 1.2 duniani wanakabiliwa na hatari ya vita, ufakiri na ubaguzi

    May 31, 2018 03:29

    Shirika la kimataifa lisilo la kiserikali la Save the Children limetahadharisha kuwa zaidi ya nusu ya watoto wote duniani wanakabiliwa na hatari za ufakiri, migogoro ya vita au kubaguliwa kijinsia.

  • Seneta McCain akiri kuwa vita vya Iraq vilikuwa

    Seneta McCain akiri kuwa vita vya Iraq vilikuwa "kosa kubwa" ambalo lilifanywa na Marekani

    May 27, 2018 02:44

    John McCain, seneta mwenye misimamo mikali amekiri japo kwa kuchelewa kuwa Marekani ilifanya makosa kuanzisha vita vya kuivamia kijeshi Iraq mwaka 2003.

  • Netanyahu na Lieberman wafutiwa kibali cha kuanzisha vita bila ya idhini ya baraza la mawaziri

    Netanyahu na Lieberman wafutiwa kibali cha kuanzisha vita bila ya idhini ya baraza la mawaziri

    May 24, 2018 22:49

    Baraza la Usalama la utawala wa Kizayuni wa Israel limebatilisha kibali alichokuwa amepewa waziri mkuu na waziri wa vita wa utawala huo cha kuanzisha vita dhidi ya nchi yoyote ile bila ya kupata idhini ya baraza la mawaziri.

  • Iran yaulaani vikali utawala wa kijangili wa Israel baada ya vitisho vipya

    Iran yaulaani vikali utawala wa kijangili wa Israel baada ya vitisho vipya

    Apr 27, 2018 08:59

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha utambulisho wake wa kijangili kutokana na sera zake za "kujitanua, uvamizi na ubaguzi" ambazo ni chanzo cha migogoro yote Mashariki ya Kati.

  • Indhari ya Ufaransa juu ya kutokea vita vya ndani barani Ulaya

    Indhari ya Ufaransa juu ya kutokea vita vya ndani barani Ulaya

    Apr 19, 2018 21:09

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amehutubia bunge la Ulaya na kutoa indhari juu ya kutokea vita vya ndani barani humo.

  • Vita vya ujasusi vya Uingereza dhidi ya Russia

    Vita vya ujasusi vya Uingereza dhidi ya Russia

    Mar 29, 2018 22:06

    Kufuatia kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia katika nchi 26 duniani, afisa mmoja wa ngazi ya juu wa serikali ya Uingereza ametangaza kuwa, nchi hiyo imechukua hatua isiyo na mfano na kuzipa nchi waitifaki taarifa za majasusi wake zinazohusiana na faili la kupewa sumu ya kemikali jasusi wa zamani wa Russia katika eneo la Salisbury huko kusini mwa London.

  • Kushadidi vita vya kidiplomasia vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia

    Kushadidi vita vya kidiplomasia vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia

    Mar 27, 2018 03:10

    Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Marekani na Uingereza ni vinara wa uchochezi kuhusu kadhia ya Salisbury, inayomhusu Sergei Skripal jasusi wa zamani wa pande mbili aliyepewa sumu. Amesema Moscow itachukua hatua za kukabiliana na kila nchi ambayo itafuata mkumbo wa Marekani na Russia katika kuwafukuza wanadiplomasia wa Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS