-
Maadhimisho ya kufeli Marekani jangwani Tabas, Iran
Apr 24, 2016 10:27Leo kumefanyika maadhimisho ya kukumbuka kushindwa vibaya jeshi la Marekani katika jangwa la Tabas, mashariki mwa Iran.
-
Watu watano wauawa sokoni nchini Burundi
Apr 12, 2016 11:38Watu watano wamepigwa risasi na kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa Jumatatu usiku kufuatia hujuma iliyofanyika katika soko moja mashariki mwa Burundi.
-
Marekani, nchi ambayo daima iko vitani
Apr 11, 2016 23:33Sera za kijeshi na za kupenda vita za Marekani zinakosolewa kote duniani na hivi sasa hata wakuu wa nchi hiyo wameanza kukosoa sera hizo.
-
Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya
Apr 11, 2016 08:09Rais Barack Obama wa Marekani amesema: "Kosa baya zaidi katika urais wangu ni kukosa mpango wowote kwa ajili ya zama za baada ya kumuangusha Muammar Gaddafi nchini Libya."
-
Matukio ya kisiasa na kiusalama ya Yemen
Mar 22, 2016 23:14Muhammad Abdus Salam, msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, wamefikia maafikiano na Saudia kuhusu kuanza hatua za kujenga hali kuaminiana kwa shabaha ya kukomesha kikamilifu vita na mapigano nchini Yemen.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel
Mar 21, 2016 23:07Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.
-
Kuzusha vita baina ya Waislamu wa Kishia na Kisuni, lengo kuu la Marekani
Mar 06, 2016 21:47Mkuu wa kitengo cha habari na malezi cha Chuo Kikuu cha al Mansoura cha nchini Misri amesema, kuzusha vita baina ya Waislamu wa Kisuni na Kishia ndilo lengo kuu la Marekani katika njama zake za kuwarafakanisha Waislamu.
-
Sheikh Ikrima Sabri: Israel imeanzisha vita angamizi dhidi ya turathi za Kiislamu, Palestina
Feb 25, 2016 11:58Mufti Mkuu wa msikiti mtukufu wa Al-Aqsa na mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Baitul Muqaddas ametangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeanzisha vita angamizi dhidi ya turathi na athari za Kiislamu za Palestina.
-
EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki
Feb 24, 2016 04:12Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita baina ya Russia na Uturuki.
-
Wanajeshi Wayemen waua askari 20 Wasaudia Jizan
Feb 12, 2016 12:23Askari wasiopungua 20 wa Saudi Arabia wameuawa katika katika eneo la Jizan kusini magharibi mwa ufalme huo katika mapigano na wanajeshi wa Yemen.