Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Sweden yathibitisha: Bomba la gesi la Nord Stream liliharibiwa kwa makusudi, vita vya nishati vyapamba moto

    Sweden yathibitisha: Bomba la gesi la Nord Stream liliharibiwa kwa makusudi, vita vya nishati vyapamba moto

    Nov 20, 2022 02:35

    Tangu kuanza kwa vita vya Ukraine, mahusiano kati ya Russia na nchi za Magharibi yameambatana na mizozo na mivutano mingi, haswa katika sekta ya nishati, kwa kadiri kwamba usafirishaji wa gesi kupitia bomba kuu la usafirishaji wa gesi kutoka Russia kwenda Ulaya lijulikanalo kama "Nord Stream", umesimamishwa kwa miezi kadhaa iliyopita kutokana na sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uvujaji wa gesi.

  • Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Oct 17, 2022 05:48

    Akthari ya mataifa ya Afrika ambayo katika miongo ya hivi karibuni yalifanya hima kubwa ya kujenga miundomsingi yao ya kiuchumi kwa minajili ya kuboresha hali ya uchumi wao, filihali yanahesabiwa kuwa wahanga wakubwa zaidi wa matukio ya sasa ulimwenguni.

  • Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Aug 29, 2022 13:11

    Kufuatia kushadidi mzozo wa kisiasa nchini Libya kati ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Abdul Hamid al-Dbeibeh na serikali mpya iliyopewa mamlaka na Bunge inayoongozwa na Fathi Bashagha, mapigano yameanza upya kati ya vikosi vya pande hizo mbili katika mji mkuu Tripoli.

  • Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Aug 13, 2022 11:21

    Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya robo ya vita vilivyoanzishwa na Washington katika historia ya Marekani vimefanyika katika nchi za Afrika na eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Jun 28, 2022 02:51

    Jeshi la Sudan limelitumu jeshi la Ethiopia kuwa limewanyonga wanajeshi 7 na raia mmoja wa Sudan waliokuwa wafungwa nchini humo, jambo ambalo limekanushwa na maafisa rasmi wa Ethiopia, wakieleza kuwa Addis Ababa itatoa tamko rasmi la kujibu madai hayo ya Sudan.

  • Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake

    Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake

    May 25, 2022 02:16

    Linda Thomas Greenfield, balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, indhari ya uhaba wa chakula duniani inayotokana na vita vya Ukraine na Rusia imefikia katika kiwango cha juu kabisa na mazingira ya akthari ya watu ulimwenguni ya kupata chakula yamezidi kuwa magumu siku baada ya siku.

  • Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine

    Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine

    May 11, 2022 02:39

    Baa la njaa limegeuka na kuwa tatizo kubwa linaoukabili ulimwengu katika hali ya hivi sasa.

  • Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Apr 14, 2022 02:24

    Ikiwa zimepita siku 47 tangu kuanza vita vya Russia na Ukraine, hasara za kiuchumi za vita hivyo zinaongezeka siku baada ya nyingine, kadiri kwamba Shirika la Biashara Duniani WTO limetangaza katika ripoti yake ya karibuni kwamba vita hivyo vimeathiri vibaya uchumi wa dunia.

  • Wajerumani, Wacyprus na Wagiriki waandamana kuinga mkono Russia

    Wajerumani, Wacyprus na Wagiriki waandamana kuinga mkono Russia

    Apr 05, 2022 08:12

    Wananchi wa Ujerumani, Cyprus na Ugiriki wamefanya maandamano wakiiunga mkono Russia na kupinga hatua zilizochukuliwa na madola ya Magharibi na vikwazo vyao dhidi ya nchi hiyo.

  • WFP yatahadharisha kuhusu uhaba wa chakula duniani

    WFP yatahadharisha kuhusu uhaba wa chakula duniani

    Apr 03, 2022 03:32

    Wakati vita vya Russia na Ukraine vikiendelea, upatikanaji wa chakula umekuwa mgumu zaidi kwa watu wengi duniani, huku msemaji wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) akisema vita vya Russia na Ukraine vimezidisha dola milioni 71 kwa mwezi kwenye gharama zinazotumiwa na shirika hilo la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kununua chakula.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS