-
Wahajiri 58 wafa maji bahari ya Mediterrania, 100 watoweka
May 30, 2017 11:03Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 58 aghalabu yao wakiwa ni watoto wadogo wamekufa maji katika Bahari ya Mediterrania karibu na pwani ya Libya wakijaribu kuingia barani Ulaya.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
May 28, 2017 06:53Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya saba ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
Wahajiri 34, aghlabu yao watoto, wazama baharini Libya
May 24, 2017 23:57Wahajiri wasiopungua 34, wengi wao wakiwa ni watoto, walizama jana Jumatano katika Bahari ya Mediterranean karibu na pwani a Libya.
-
Wahajiri haramu 4400 waokolewa katika maji ya Mediterranean siku mbili pekee
May 20, 2017 02:54Duru za habari nchini Libya zimetangaza kuwa kikosi cha gadi ya pwani ya Libya na Italia kimefanikiwa kuokoa karibu wahajiri haramu 400 katika kipindi cha siku mbili kutoka katika maji ya bahari ya Mediterranean.
-
HRW yakosoa muswada wa sheria dhidi ya wahamiaji Marekani
May 19, 2017 03:11Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali muswada uliopendekezwa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani, ambao ukipasishwa na kuwa sheria basi vyombo vya dola vitaongezewa nguvu na mamlaka ya kuwabana zaidi wahamiaji haramu nchini humo.
-
UNICEF: Watoto laki 3 wakimbia nchi zao bila usimamizi wa yeyote
May 19, 2017 02:55Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto zaidi ya laki tatu kote duniani aghalabu yao wakitokea nchi za Afrika wamelazika kuwa wakimbizi na wahajiri pasina usimamizi wa mtu yeyote katika muda wa miaka miwili iliyopita.
-
Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania
May 14, 2017 03:08Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri saba wamepoteza maisha huku wengine zaidi ya 400 wakiokolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya jana Jumamosi.
-
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza uhalifu waliofanyiwa wahajiri nchini Libya
May 09, 2017 03:41Mkuu wa Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ametangaza kuwa mahakama hiyo imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai na uhalifu waliofanyiwa wahajiri nchini Libya.
-
Mamia ya wahajiri wahofiwa kufariki baada ya boti kuzama katika bahari ya Mediterania
May 08, 2017 11:43Wahajiri zaidi ya 200 wanahofiwa kuwa wamefariki dunia katika bahari ya Mediterania katika muda wa juma hili, kulingana na ushahidi uliotolewa na manusura na baada ya maiti kadhaa ikiwemo mtoto mdogo kuopolewa kwenye ufukwe wa pwani ya Libya.
-
Wahajiri elfu 6 waokolewa katika bahari ya Mediterania ndani ya masaa 48
May 07, 2017 03:08Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri elfu 6 wameokolewa katika kipindi cha siku mbili zilizopita katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya.