-
UNICEF: Watoto laki 3 wakimbia nchi zao bila usimamizi wa yeyote
May 19, 2017 07:25Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto zaidi ya laki tatu kote duniani aghalabu yao wakitokea nchi za Afrika wamelazika kuwa wakimbizi na wahajiri pasina usimamizi wa mtu yeyote katika muda wa miaka miwili iliyopita.
-
Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania
May 14, 2017 07:38Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri saba wamepoteza maisha huku wengine zaidi ya 400 wakiokolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya jana Jumamosi.
-
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza uhalifu waliofanyiwa wahajiri nchini Libya
May 09, 2017 08:11Mkuu wa Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ametangaza kuwa mahakama hiyo imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai na uhalifu waliofanyiwa wahajiri nchini Libya.
-
Mamia ya wahajiri wahofiwa kufariki baada ya boti kuzama katika bahari ya Mediterania
May 08, 2017 16:13Wahajiri zaidi ya 200 wanahofiwa kuwa wamefariki dunia katika bahari ya Mediterania katika muda wa juma hili, kulingana na ushahidi uliotolewa na manusura na baada ya maiti kadhaa ikiwemo mtoto mdogo kuopolewa kwenye ufukwe wa pwani ya Libya.
-
Wahajiri elfu 6 waokolewa katika bahari ya Mediterania ndani ya masaa 48
May 07, 2017 07:38Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri elfu 6 wameokolewa katika kipindi cha siku mbili zilizopita katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya.
-
Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria
Apr 23, 2017 07:54Serikali ya Morocco imeilaumu Algeria kwa kuwazingira wakimbizi wa Syria katika "mazingira yasiyo ya kibinadamu" kwenye mpaka wa kusini mwa Algeria.
-
Watoto wahajiri 150 waaga dunia katika bahari ya Mediterania
Apr 21, 2017 16:08Watoto wahajiri zaidi ya 150 waliokuwa wakielekea Ulaya wameaga dunia katika bahari ya Mediterania.
-
Wavuvi wa Libya wawakuta pwani wahajiri 28 wakiwa wameaga dunia
Apr 19, 2017 07:12Wavuvi wa Libya wamepata miili ya wahajiri 28 katika pwani ya nchi hiyo ambao wanasadikiwa kuwa waliaga dunia kutokana na kiu na njaa, baada ya boti yao kupasuka katika pwani ya mji wa Sabratha. Hayo yameelezwa na afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Libya.
-
Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki
Apr 18, 2017 15:35Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema idadi ya wakimbizi waliookolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya mwishoni mwa wiki imevunja rekodi.
-
Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya
Apr 16, 2017 07:18Maelfu ya wahajiri wamenusurika kufa maji baada ya boti zao kuzama katika bahari ya Mediterania, wakiwa katika juhudi za kuelekea barani Ulaya.