-
Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria
Apr 23, 2017 03:24Serikali ya Morocco imeilaumu Algeria kwa kuwazingira wakimbizi wa Syria katika "mazingira yasiyo ya kibinadamu" kwenye mpaka wa kusini mwa Algeria.
-
Watoto wahajiri 150 waaga dunia katika bahari ya Mediterania
Apr 21, 2017 11:38Watoto wahajiri zaidi ya 150 waliokuwa wakielekea Ulaya wameaga dunia katika bahari ya Mediterania.
-
Wavuvi wa Libya wawakuta pwani wahajiri 28 wakiwa wameaga dunia
Apr 19, 2017 02:42Wavuvi wa Libya wamepata miili ya wahajiri 28 katika pwani ya nchi hiyo ambao wanasadikiwa kuwa waliaga dunia kutokana na kiu na njaa, baada ya boti yao kupasuka katika pwani ya mji wa Sabratha. Hayo yameelezwa na afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Libya.
-
Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki
Apr 18, 2017 11:05Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema idadi ya wakimbizi waliookolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya mwishoni mwa wiki imevunja rekodi.
-
Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya
Apr 16, 2017 02:48Maelfu ya wahajiri wamenusurika kufa maji baada ya boti zao kuzama katika bahari ya Mediterania, wakiwa katika juhudi za kuelekea barani Ulaya.
-
Wahajiri karibu 100 watoweka pwani ya Libya
Apr 14, 2017 03:03Karibu wahamiaji 100 wametoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika maji ya pwani mwa Libya wakiwa mbioni kuelekea Ulaya.
-
Libya yaituhumu EU kuwa imekataa kutekeleza ahadi zake kuhusu wahajiri
Apr 11, 2017 23:23Waziri Mkuu wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ameukosoa Umoja wa Ulaya (EU) kwa kukataa kutekeleza ahadi ulizozitoa kuhusu kuipatia ufumbuzi kadhia ya magendo wa wahajiri.
-
UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500
Apr 11, 2017 10:54Wakala wa wahamiaji wa Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana kile kinachoonekana ni kurejea kwa biashara ya utumwa.
-
Kuendelea ukosoaji kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya kuhusu wakimbizi
Apr 05, 2017 03:37Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka imezitaja taathira hasi za mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya ili kuwazuia wahajiri kuelekea Ulaya kuwa ni hatari na zisizo na kibinadamu.
-
Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi
Mar 31, 2017 10:47Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.