Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Apr 23, 2017 03:24

    Serikali ya Morocco imeilaumu Algeria kwa kuwazingira wakimbizi wa Syria katika "mazingira yasiyo ya kibinadamu" kwenye mpaka wa kusini mwa Algeria.

  • Watoto wahajiri 150 waaga dunia katika bahari ya Mediterania

    Watoto wahajiri 150 waaga dunia katika bahari ya Mediterania

    Apr 21, 2017 11:38

    Watoto wahajiri zaidi ya 150 waliokuwa wakielekea Ulaya wameaga dunia katika bahari ya Mediterania.

  • Wavuvi wa Libya wawakuta pwani wahajiri 28 wakiwa wameaga dunia

    Wavuvi wa Libya wawakuta pwani wahajiri 28 wakiwa wameaga dunia

    Apr 19, 2017 02:42

    Wavuvi wa Libya wamepata miili ya wahajiri 28 katika pwani ya nchi hiyo ambao wanasadikiwa kuwa waliaga dunia kutokana na kiu na njaa, baada ya boti yao kupasuka katika pwani ya mji wa Sabratha. Hayo yameelezwa na afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Libya.

  • Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Wahajiri 9000 waokolewa katika bahari ya Mediterania mwishoni mwa wiki

    Apr 18, 2017 11:05

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema idadi ya wakimbizi waliookolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya mwishoni mwa wiki imevunja rekodi.

  • Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya

    Wahajiri elfu tatu waokolewa katika pwani ya Libya

    Apr 16, 2017 02:48

    Maelfu ya wahajiri wamenusurika kufa maji baada ya boti zao kuzama katika bahari ya Mediterania, wakiwa katika juhudi za kuelekea barani Ulaya.

  • Wahajiri karibu 100 watoweka pwani ya Libya

    Wahajiri karibu 100 watoweka pwani ya Libya

    Apr 14, 2017 03:03

    Karibu wahamiaji 100 wametoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika maji ya pwani mwa Libya wakiwa mbioni kuelekea Ulaya.

  • Libya yaituhumu EU kuwa imekataa kutekeleza ahadi zake kuhusu wahajiri

    Libya yaituhumu EU kuwa imekataa kutekeleza ahadi zake kuhusu wahajiri

    Apr 11, 2017 23:23

    Waziri Mkuu wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ameukosoa Umoja wa Ulaya (EU) kwa kukataa kutekeleza ahadi ulizozitoa kuhusu kuipatia ufumbuzi kadhia ya magendo wa wahajiri.

  • UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500

    Apr 11, 2017 10:54

    Wakala wa wahamiaji wa Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana kile kinachoonekana ni kurejea kwa biashara ya utumwa.

  • Kuendelea ukosoaji kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya kuhusu wakimbizi

    Kuendelea ukosoaji kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya kuhusu wakimbizi

    Apr 05, 2017 03:37

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka imezitaja taathira hasi za mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya ili kuwazuia wahajiri kuelekea Ulaya kuwa ni hatari na zisizo na kibinadamu.

  • Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi

    Mar 31, 2017 10:47

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS