-
Wahajiri karibu 100 watoweka pwani ya Libya
Apr 14, 2017 07:33Karibu wahamiaji 100 wametoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika maji ya pwani mwa Libya wakiwa mbioni kuelekea Ulaya.
-
Libya yaituhumu EU kuwa imekataa kutekeleza ahadi zake kuhusu wahajiri
Apr 12, 2017 03:53Waziri Mkuu wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ameukosoa Umoja wa Ulaya (EU) kwa kukataa kutekeleza ahadi ulizozitoa kuhusu kuipatia ufumbuzi kadhia ya magendo wa wahajiri.
-
UN: Wahajiri wa Kiafrika wanauzwa kati ya dola 200 na 500
Apr 11, 2017 15:24Wakala wa wahamiaji wa Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kutokana kile kinachoonekana ni kurejea kwa biashara ya utumwa.
-
Kuendelea ukosoaji kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya kuhusu wakimbizi
Apr 05, 2017 08:07Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka imezitaja taathira hasi za mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya ili kuwazuia wahajiri kuelekea Ulaya kuwa ni hatari na zisizo na kibinadamu.
-
Vyama vya mrengo wa kulia Ulaya na tatizo la kuwakubali wakimbizi
Mar 31, 2017 15:17Kansela Angela Merkel wa Ujerumani katika mkutano na viongozi wa vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya amekiri kuwa bara hilo halijasimamia ipasavyo suala la wakimbizi na wahamiaji.
-
Wahajiri wengine 146 wahofiwa kufa maji wakielekea Ulaya
Mar 30, 2017 02:31Makumi ya wahajiri wanaaminika kuwa wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterania.
-
Wanaharakati US wawafunza wahajiri njia za kupambana na siasa za Trump
Mar 13, 2017 16:32Wanaharakati wa kijamii nchini Marekani, wameanzisha utaratibu wa kuwapatia mafunzo wahajiri haramu juu ya namna ya kupambana na siasa zilizo dhidi ya wahajiri za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielea Ulaya
Mar 04, 2017 07:21Makumi ya wahajiri wa Kiafrika wanahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean wakijaribu kuelekea barani Ulaya.
-
UNICEF: Watoto Waafrika wavukao Mediteranea kuelekea Ulaya wanateswa vibaya
Mar 01, 2017 03:57Safari ya watoto wanaokimbia mizozo na mateso Afrika kwenda Ulaya kupitia bahari ya Mediteranea imegubikwa na mateso ikiwemo ukatili wa kingono na kulazimishwa kufanya kazi.
-
Hilali Nyekundu: Wahajiri 74 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya
Feb 21, 2017 13:55Shirika la Hilala Nyekundu la Libya limesema makumi ya wahajiri wamekufa maji katika Bahari ya Mediterranean wakijaribu kuelekea barani Ulaya.