-
Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo
Jun 06, 2019 01:48Viongozi wa Kiislamu nchini Uganda wamesisitiza kuwa wataendelea kushinikiza utekelezwaji wa mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo.
-
Wanazuoni 80 wa Kiislamu wa nchi za Magharibi waitaka Saudia isiwanyonge maulama
Jun 04, 2019 23:30Wanazuoni 80 wa Kiislamu wanaoishi katika nchi za Magharibi wameuandikia barua utawala wa kifalme wa Saudi Arabia wakiutaka usitekeleze hukumu ya kifo dhidi ya maulama watayu wa nchi hiyo wanaoshikiliwa gerezani.
-
Waislamu walaumiwa kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao + Sauti
May 27, 2019 11:55Waislamu wa zama hizi wamelaumiwa kwa kumalizana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao halisi. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail na taarifa kamili.
-
Mbunge avaa mtandio Bungeni kupinga marufuku ya hijabu Austria
May 18, 2019 10:07Mbunge mmoja wa kujitegemea huko Austria amevaa mtandio kichwani ndani ya Bunge la nchi hiyo kulalamikia na kupinga muswada tata wa sheria inayotaka kupiga marufuku uvaaji wa hijabu kwa mabinti wa Kiislamu wa shule za msingi katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani
May 12, 2019 03:09Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.
-
UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"
May 02, 2019 09:55Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.
-
Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti
Apr 27, 2019 02:21Kongamano kuhusu mustakbali wa vijana wa Kiislamu barani Afrika linaendelea katika mji mkuu wa Uganda Kampala. Viongozi wa Kiislamu kutoka zaidi ya nchi 25 wanashiriki mkutano huo. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail ana maelezo zaidi...
-
Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria
Apr 18, 2019 22:31Polisi nchini Nigeria imewatia mbaroni na kuwazuilia makumi ya watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.
-
António Guterres atahadharisha kuhusu kuzidi kuenea chuki dhidi ya Waislamu
Apr 02, 2019 21:43Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametahadharisha kuhusu hatari ya kuenea chuki dhidi ya Waislamu duniani baada ya shambulio la kigaidi lililotokea katika misikiti miwili ya mji wa Christchurch nchini New Zealand.
-
Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand
Mar 26, 2019 03:07Baraza la Waislamu nchini Ufaransa (CFCM) limeifungulia mashitaka mitandao ya kijamii ya Facebook na You Tube kwa kurusha hewani mubashara mauaji ya kutisha ya Waislamu nchini New Zealand.