Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Jun 06, 2019 01:48

    Viongozi wa Kiislamu nchini Uganda wamesisitiza kuwa wataendelea kushinikiza utekelezwaji wa mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo.

  • Wanazuoni 80 wa Kiislamu wa nchi za Magharibi waitaka Saudia isiwanyonge maulama

    Wanazuoni 80 wa Kiislamu wa nchi za Magharibi waitaka Saudia isiwanyonge maulama

    Jun 04, 2019 23:30

    Wanazuoni 80 wa Kiislamu wanaoishi katika nchi za Magharibi wameuandikia barua utawala wa kifalme wa Saudi Arabia wakiutaka usitekeleze hukumu ya kifo dhidi ya maulama watayu wa nchi hiyo wanaoshikiliwa gerezani.

  • Waislamu walaumiwa kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao + Sauti

    Waislamu walaumiwa kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao + Sauti

    May 27, 2019 11:55

    Waislamu wa zama hizi wamelaumiwa kwa kumalizana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao halisi. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail na taarifa kamili.

  • Mbunge avaa mtandio Bungeni kupinga marufuku ya hijabu Austria

    Mbunge avaa mtandio Bungeni kupinga marufuku ya hijabu Austria

    May 18, 2019 10:07

    Mbunge mmoja wa kujitegemea huko Austria amevaa mtandio kichwani ndani ya Bunge la nchi hiyo kulalamikia na kupinga muswada tata wa sheria inayotaka kupiga marufuku uvaaji wa hijabu kwa mabinti wa Kiislamu wa shule za msingi katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    May 12, 2019 03:09

    Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.

  • UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya

    UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"

    May 02, 2019 09:55

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.

  • Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Apr 27, 2019 02:21

    Kongamano kuhusu mustakbali wa vijana wa Kiislamu barani Afrika linaendelea katika mji mkuu wa Uganda Kampala. Viongozi wa Kiislamu kutoka zaidi ya nchi 25 wanashiriki mkutano huo. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail ana maelezo zaidi...

  • Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Apr 18, 2019 22:31

    Polisi nchini Nigeria imewatia mbaroni na kuwazuilia makumi ya watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • António Guterres atahadharisha kuhusu kuzidi kuenea chuki dhidi ya Waislamu

    António Guterres atahadharisha kuhusu kuzidi kuenea chuki dhidi ya Waislamu

    Apr 02, 2019 21:43

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametahadharisha kuhusu hatari ya kuenea chuki dhidi ya Waislamu duniani baada ya shambulio la kigaidi lililotokea katika misikiti miwili ya mji wa Christchurch nchini New Zealand.

  • Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand

    Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand

    Mar 26, 2019 03:07

    Baraza la Waislamu nchini Ufaransa (CFCM) limeifungulia mashitaka mitandao ya kijamii ya Facebook na You Tube kwa kurusha hewani mubashara mauaji ya kutisha ya Waislamu nchini New Zealand.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS