Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand

    Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand

    Mar 15, 2019 12:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand, amezitaka nchi za Magharibi kuacha unafiki wa kuunga mkono propaganda chafu dhidi ya Waislamu kwa kisingizio cha 'uhuru wa kujieleza'.

  • Uchunguzi: Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya Marekani

    Uchunguzi: Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya Marekani

    Mar 09, 2019 21:47

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonesha kuwa, Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya nchi hiyo ikilinganishwa na makundi mengine ya kidini.

  • Hadithi ya Uongofu (141)

    Hadithi ya Uongofu (141)

    Mar 07, 2019 13:23

    Assalamu alaykum, wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kipindi chetu kilichopita kilizungumzia na kujadili maudhui ya matumaini na kukata tamaa.

  • Kuendelea mashinikizo dhidi ya mbunge mwanamke Muislamu wa Kongresi ya Marekani

    Kuendelea mashinikizo dhidi ya mbunge mwanamke Muislamu wa Kongresi ya Marekani

    Mar 04, 2019 04:07

    Katika muendelezo wa mashinikizo dhidi ya Ilhan Omar, mbunge Muislamu wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, kwa mara nyingine, wafuasi na waungaji mkono wa Rais Donald Trump wa Marekani wamemtusi mbunge huyo kwa kubandika picha zinazomtambulisha yeye kama gaidi.

  • Iran yazilaumu nchi zinazounga mkono vikwazo vya Marekani dhidi yake

    Iran yazilaumu nchi zinazounga mkono vikwazo vya Marekani dhidi yake

    Mar 03, 2019 12:22

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya sheria na ya kimataifa amesema kuwa nchi ambazo zinaunga mkono vikwazo vya Marekani dhidi ya taifa la Iran zinavunja roho ya mshikamano kati ya Waislamu.

  • Ilhan Omar: Misimamo yangu dhidi ya Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi

    Ilhan Omar: Misimamo yangu dhidi ya Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi

    Mar 02, 2019 12:29

    Mbunge Muislamu katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, anasikitika kuona misimamo yake dhidi ya utawala wa Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi.

  • Uturuki yaitaka China ifunge vituo vya kuwazuilia Waislamu wa Uighur

    Uturuki yaitaka China ifunge vituo vya kuwazuilia Waislamu wa Uighur

    Feb 10, 2019 09:54

    Serikali ya Uturuki imetaja miamala ya China kwa Waislamu wa jamii ya Uighur kama fedheha kwa ubinadamu, huku ikiitaka ifunge vituo vilivyotengwa makhsusi kwa ajili ya kuwazuilia watu wa jamii hiyo ya walio wachache.

  • Siku ya Hijabu Duniani yaadhimishwa katika mji mkuu wa Uingereza

    Siku ya Hijabu Duniani yaadhimishwa katika mji mkuu wa Uingereza

    Feb 03, 2019 00:14

    Wanawake Waislamu nchini Uingereza wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, London kuadhimisha Siku ya Hijabu Duniani (World Hijab Day).

  • Canada yapinga kuundwa 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Canada yapinga kuundwa 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Feb 01, 2019 23:16

    Waziri Mkuu wa mkoa wa Quebec nchini Canada amepinga mwito wa kuundwa siku ya kitaifa ya kulaani jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.

  • Mbunge mwanamke Muislamu aifanya Kongresi ya Marekani irekebishe sheria iliyodumu kwa miaka 181

    Mbunge mwanamke Muislamu aifanya Kongresi ya Marekani irekebishe sheria iliyodumu kwa miaka 181

    Jan 07, 2019 04:17

    Ilhan Abdullahi Omar, mbunge mwanamke Muislamu katika Kongresi ya Marekani ameleta mabadiliko makubwa kwenye bunge hilo baada ya kuwezesha kurekebishwa sheria iliyodumu kwa muda wa miaka 181 inayopiga marufuku kuvaa kofia au kitambaa cha kichwa ndani ya ukumbi wa bunge hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS