Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    Dec 12, 2018 09:10

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka wanajeshi wa Nigeria wanaowakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia.

  • Pompeo atiwa kiwewe na nafasi ya Iran ya kuwaunganisha Waislamu

    Pompeo atiwa kiwewe na nafasi ya Iran ya kuwaunganisha Waislamu

    Nov 27, 2018 04:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameonesha kughadhabishwa na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba taifa hili linanyoosha mkono wa udugu kwa Waislamu wote duniani.

  • Waislamu Canada wataka 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Waislamu Canada wataka 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Nov 23, 2018 04:22

    Waislamu nchini Canada wamesema jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu zimeshtadi huku wakiitaka serikali izindue mpango mkakati wa kuziunganisha jamii za nchi hiyo.

  • Huenda Kongresi ya Marekani ikalazimika kufuta marufuku ya miaka 181 ya Hijabu

    Huenda Kongresi ya Marekani ikalazimika kufuta marufuku ya miaka 181 ya Hijabu

    Nov 20, 2018 04:37

    Mwakilishi wa Minnesota katika Kongresi ya Marekani, Ilhan Omar amesema ataanzisha jitihada za kuhakikisha kuwa sheria ya kupigwa marufuku uvaaji wa mitandio kichwani ikiwemo Hijabu inayovaliwa na wanawake Waislamu katika Bunge la Wawakilishi wa Marekani, inaangaliwa upya.

  • Wanafunzi Waislamu Nigeria waruhusiwa kuvaa Hijabu shuleni Lagos

    Wanafunzi Waislamu Nigeria waruhusiwa kuvaa Hijabu shuleni Lagos

    Nov 15, 2018 11:56

    Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria NSCIA limepongeza agizo la Mahakama ya Juu nchini humo la kuitaka serikali ya jimbo la Lagos kuwaruhusu wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu katika shule za umma katika mji mkuu huo wa kibiashara.

  • Mufti wa Tanzania awahimiza Waislamu kujifunza sayansi + Sauti

    Mufti wa Tanzania awahimiza Waislamu kujifunza sayansi + Sauti

    Nov 11, 2018 14:03

    Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi bin Ali amewataka Waislamu wa Tanzania kujiendeleza na kujitanua katika nyanja mbalimbali za kielimu hasa katika sekta ya sayansi na teknologia ili kuiendeleza dini ya Kiislamu kwa njia bora zaidi. Ammari Dachi na taarifa zaidi kutoka Dar es Salaam...

  • Undumakuwili wa Marekani kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi kwa mtazamo wa Zarif

    Undumakuwili wa Marekani kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi kwa mtazamo wa Zarif

    Nov 10, 2018 07:50

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 katika miji ya Washington na New York huko Marekani, Rais wa wakati huo wa nchi hiyo, George W. Bush aliwanyooshea kidole cha tuhuma Waislamu na kuiarifisha Marekani kuwa ni mbeba bendera ya kupambana na ugaidi.

  • Jeshi la Nigeria laua Waislamu 10 wakishiriki Arubaini ya Imam Hussein AS

    Jeshi la Nigeria laua Waislamu 10 wakishiriki Arubaini ya Imam Hussein AS

    Oct 27, 2018 23:32

    Wanajeshi wa Nigeria wameushambulia msafara wa Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS, viungani mwa mji mkuu wa nchi Abuja, na kuua shahidi kumi miongoni mwa waumini hao.

  • Vijana wanamapinduzi wa Iran wataka kuimarishwa Umoja wa Kiislamu

    Vijana wanamapinduzi wa Iran wataka kuimarishwa Umoja wa Kiislamu

    Oct 26, 2018 01:19

    Vijana wanamapinduzi wa Iran wametoa wito wa kuimarishwa Umoja na mshikamano katika ulimwengu wa Kiislamu na kukabiliana na njama za Marekani na Israel.

  • UN yakosoa hatua ya Ufaransa ya kupiga marufuku burqa

    UN yakosoa hatua ya Ufaransa ya kupiga marufuku burqa

    Oct 23, 2018 10:03

    Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeijia juu serikali ya Ufaransa kwa kupiga marufuku vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS