-
Polisi yalaumiwa kwa kutozuia hujuma dhidi ya msikiti na biashara za Waislamu Sri-Lanka
Mar 06, 2018 04:18Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Sri-Lanka yameikosoa vikali polisi ya nchi hiyo kwa kupuuza mashambulizi dhidi ya msikiti na maduka ya Waislamu yanayofanywa na Mabudha katika wilaya ya Kandy.
-
MSF: Waislamu wa Rohingya wangali wanamiminika Bangladesh
Feb 20, 2018 23:42Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetangaza kuwa, mamia ya wakimbizi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbia ukatili na mauaji nchini Myanmar wangali wanamiminika katika nchi jirani ya Bangladesh na kwamba mgogoro wa Rohingya bado unaendelea.
-
Kijana mwenye chuki na Uislamu nchini Uingereza awatishia kifo Waislamu
Feb 20, 2018 01:02Ikiwa ni katika kuendelea chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza na hujuma dhidi ya misikiti na waumini wa Kiislamu wanaotekeleza ibada ya Sala, kijana mmoja wa nchi hiyo ametishia kwamba atawaua Waislamu.
-
Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui
Feb 16, 2018 10:25Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
-
Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui
Feb 16, 2018 10:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
-
Mgombea Mwislamu wa umeya, Marekani atishiwa kifo
Feb 15, 2018 12:35Mgombea wa kike anayewania kuwa meya wa kwanza Mwislamu nchini Marekani amesema ametishiwa kuuawa kama ataendelea kuwa mgombea katika kinyang'anyiro hicho.
-
Ubaguzi wa vikosi vya usalama vya Ufaransa dhidi ya Waislamu na Wafaransa wenye asili ya Afrika
Jan 27, 2018 04:33Vikosi vya usalama vya Ufaransa vimekuwa vikiwabagua Waislamu na raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika ikiwa ni katika muendelezo wa siasa za vikosi hivyo za kuwabagua raia wa nchi hiyo ya barani Ulaya.
-
Msichana mdogo Muislamu ashambuliwa kutokana na Hijabu yake nchini Canada
Jan 13, 2018 04:18Polisi wa mjini Toronto Canada wametangaza habari ya kushambuliwa binti mmoja mdogo Muislamu kutokana na kuvaa Hijabu.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 23 na sauti
Jan 11, 2018 07:11Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 23 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Hizbullah: Mapambano ndio chaguo pekee la Wapalestina na Waislamu dhidi ya Marekani na Israel
Jan 01, 2018 00:51Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, njia pekee ya Wapalestina na Waislamu kukabiliana na utawala haramu wa Israel na Marekani ni muqawama na mapambano dhidi ya tawala hizo.