-
Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni
Dec 06, 2017 22:13Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.
-
UN: Serikali ya Myanmar inafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu
Dec 06, 2017 01:23Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa uhalifu unaofanywa na Mabudha nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya ni mauaji ya kimbari.
-
UN yamkosoa Rais Trump wa Marekani kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu
Dec 02, 2017 00:43Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu Wa Umoja wa Mataifa, Zeid Ra'ad Al Hussein amekosoa hatua ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump aliyesambaza taswira zilizo na chuki dhidi ya Uislamu kupitia akaunti yake ya Twitter.
-
Papa Francis akataa kuwataja 'Waislamu wa Rohingya' akiwa Myanmar
Nov 28, 2017 12:48Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amekataa kuwataja Waisalmu wa Rohingya alipohutubu leo akiwa Myanmar pamoja na kuwa jamii hiyo ya waliowachache inakabiliwa na maangamizi ya kimbari nchini humo.
-
'Iran ni nchi pekee inayounga mkono ukombozi wa taifa la Palestina'
Nov 10, 2017 23:43Msemaji wa Baraza la Maulamaa wa Palestina nchini Lebanon amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi pekee inayounga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina na kwamba baraza hilo liko tayari kuungana na nchi zote za Kiarabu na Kiislamu kwa ajili ya ukombozi wa Palestina:
-
Kuendelea uchukuaji hatua za kikatili na za ukandamizaji dhidi ya Waislamu Nigeria
Nov 07, 2017 23:18Katika muendelezo wa hatua kandamizi zinazochukuliwa dhidi ya Waislamu wa Nigeria, watu wasiopungua watatu wameuliwa baada ya polisi kuwafyatulia risasi wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.
-
Bangladesh yaitaka dunia iishinikize Myanmar iacha kuwakandamiza Waislamu
Nov 05, 2017 23:15Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza Myanmar isitishe ukandamizaji wa Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
-
Ayatullah Shirazi: Waislamu wasinyamazie kimya jinai dhidi ya wenzao wa Rohingya
Oct 29, 2017 12:32Ayatullah Makarim Shirazi ambaye ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa wa Kiislamu nchini Iran ameeleza kusikitishwa kwake na hali mbaya inayozidi kuwakabili Waislamu wa jamii ya Rohingya huku akiwataka Waislamu kote duniani kutofumbia macho jinai wazofanyia ndugu zao nchini Myanmar.
-
Wanawake Waislamu Quebec, Canada wapigwa marufuku kuvaa niqab
Oct 19, 2017 04:19Jimbo la Quebec nchini Canada limepaisha sheria za kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa Hijabu yenye kufunika uso mzima maarufu kama niqab wakiwa wanatumia huduma za umma.
-
Myanmar inawanyima chakula Waislamu wa jamii ya Rohingya
Oct 13, 2017 10:49Shirika moja la kutetea haki za binadamu linasema serikali ya Myanmar inazuia kwa makusudi chakula kuwafikia Waislamu wa jamii ya Rohingya kwa lengo la kuwalazimisha kukimbia ardhi yao ya jadi nchini humo.