-
IHRC: Waislamu ni nguvu yenye ushawishi katika uwanja wa kisiasa wa Uingereza
Jul 17, 2024 00:10Mkuu wa Kamisheni ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) amesema Waislamu ni nguvu yenye taathira katika uwanja wa kisiasa wa Uingereza.
-
Iran katika maombolezo ya Tasua, yaitaka dunia ikabiliane na jinai za Israel
Jul 15, 2024 09:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran sanjari na kutoa mkono wa pole kwa Waislamu kote duniani ambao hii leo wapo katika maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, ameitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kivitendo za kusimamisha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Pongezi kwa kuadhimisha Sikukuu ya Eid Ghadir Khum
Jun 24, 2024 23:25Leo Jumanne tarehe 25 Juni 2024 inayosadifiana na tarehe 18 Mfunguo Tatu Dhulhija 1445 Hijria ni Sikukuu ya Idd Sayyid Ghadir Khum, moja ya Idd kubwa za Waislamu.
-
Uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu waongezeka Ulaya baada ya vita vya Gaza
Jun 20, 2024 22:45Ripoti za chuki na ukiukwaji wa haki dhidi ya Waislamu zimeongezeka kwa kiwango cha kuogofya katika nchi za Ulaya tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7, 2023.
-
Russia yaruhusu wanawake Waislamu wanaoomba uraia kutumia picha za vazi la Hijabu
May 01, 2024 07:22Serikali ya Russia imelegeza masharti ya kanuni zinazohusu maombi ya raia wa kigeni wanaoomba uraia, na itaruhusu mwanamke wa Kiislamu kutumia picha za paspoti zinazomuonesha akiwa amevaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo.
-
Tofauti ya Siku ya Quds ya mwaka huu na ya miaka iliyopita
Apr 02, 2024 22:43Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu inakaribia katika hali ambayo siku hiyo itakuwa tofauti kabisa na siku nyingie za Quds za karne hii ya 21.
-
Jumanne, tarehe Pili Aprili, 2024
Apr 01, 2024 22:49Leo ni Jumanne tarehe 22 Ramadhani 1445 Hijria sawa na Aprili Pili mwaka 2024.
-
Chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka Japan tangu Israel ilipoanza kuishambulia kijeshi Ghaza
Mar 07, 2024 08:30Mwanaakademia wa Kijapan, Kayyim Naoki Yamamoto amesema, hisia za chuki dhidi ya Waislamu nchini Japan zinaongezeka tangu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulipoanzisha vita vya kikatili na mashambulio ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.
-
Biden aambiwa: Sitisha vita Gaza iwapo unataka kura za Waislamu
Feb 18, 2024 07:35Meya wa jiji la Dearborn, kaunti ya Wayne katika jimbo la Michigan nchini Marekani amesema Rais Joe Biden wa hiyo hatapata kura za Waislamu katika uchaguzi ujao nchini humo, iwapo ataendelea kuunga mkono jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika vita vya Gaza.
-
Chuo Kikuu cha Harvard cha US kuchunguzwa kwa kuwabagua wanachuo Waislamu
Feb 07, 2024 23:32Chuo Kikuu cha Harvard cha Marekani kinakabiliwa na uchunguzi wa serikali, baada ya wanachuo Waislamu na Waarabu katika chuo hicho kuwasilisha faili la kulalamikia vitendo vya dhulma, unyanyasaji, chuki na ubaguzi dhidi yao chuoni hapo.