-
Ripoti: Watu milioni 31 walilazimika kuwa wakimbizi nchini mwao 2016
May 23, 2017 02:36Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya milioni 31 walilazimika kuwa wakimbizi ndani ya nchi zao mwaka uliopita wa 2016 lote duniani.
-
Wakimbizi wa Sudan Kusini wamiminika Sudan kwa maelfu
May 12, 2017 01:55Maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaendelea kumiminika nchi jirani ya Sudan wakitafuta mahala salama katika nchi ambayo walijitenga nayo miaka kadhaa iliyopita.
-
UN: Watoto milioni 2 wa Sudan Kusiniwamelazimika kuwa wakimbizi
May 08, 2017 03:18Umoja wa Mataifa umesema watoto zaidi ya milioni 2 wa Sudan Kusini wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na mapigano na ukame vinavyoisakama nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
-
Raia milioni moja DRC walazimika kuhama makwao
Apr 28, 2017 22:03Zaidi ya watu milioni moja wamelazimika kuhama makwao kufuatia miezi minane ya machafuko yanayozidi kusambaa katika majimbo ya Kasai, Lomami na Sankuru, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mlipuko wa homa ya manjano kambini yaua watu 25 nchini Niger
Apr 28, 2017 03:19Mlipuko wa homa ya manjano (Hepatitis E) umesababisha vifo vya makumi ya watu nchini Niger.
-
Zaidi ya raia elfu 9 wa Kongo DR wakimbilia Angola kutafuta hifadhi
Apr 18, 2017 11:07Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchi jirani ya Angola kwenda kuomba hifadhi kutokana na kushtadi machafuko nchini mwao.
-
Wafanya magendo ya binadamu wanne wauawa pwani ya Libya
Apr 07, 2017 03:24Watu wanne wanaotuhumiwa kufanya magendo ya bindamu wameuawa katika makabiliano na askari wa Gadi ya Pwani ya Libya.
-
Wakimbizi wa Rwanda kuanza kurejeshwa nyumbani kutoka Kongo Brazaville
Apr 05, 2017 04:59Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR pamoja na serikai za Rwanda na Congo Brazaville wameafikiana kuwarejesha nyumbani wakimbizi zaidi ya elfu 10 wa Rwanda walioko Jamhuri ya Kongo.
-
Kuendelea ukosoaji kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya kuhusu wakimbizi
Apr 05, 2017 03:37Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka imezitaja taathira hasi za mapatano yaliyofikiwa kati ya Italia na Libya ili kuwazuia wahajiri kuelekea Ulaya kuwa ni hatari na zisizo na kibinadamu.
-
Raia 3000 wa Sudan Kusini watorokea Uganda baada ya kushambuliwa na jeshi
Apr 04, 2017 11:30Raia zaidi ya elfu 3 wa Sudan Kusini wameingia katika nchi jirani ya Uganda hii leo baada ya wanajeshi wa serikali SPLA kuvamia mji wa mpakani wa Pajok, na kuanza kufanya mauaji kiholela.