Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Iran: Mapuuza ya Magharibi yameshadidisha mgogoro wa wakimbizi

    Iran: Mapuuza ya Magharibi yameshadidisha mgogoro wa wakimbizi

    Jun 21, 2023 03:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Magharibi inajaribu kukwepa kubeba dhima ya mgogoro wa wakimbizi unaoshuhudiwa hivi sasa, na kwamba sera mbovu za Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazofaa kulaumiwa kwa mgogoro huo.

  • Iran, kimbilio la kwanza la wakimbizi wa Kiafghani katika miaka miwili ya karibuni

    Iran, kimbilio la kwanza la wakimbizi wa Kiafghani katika miaka miwili ya karibuni

    Jun 12, 2023 06:27

    Shirika la Kimataifa wa Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa kituo cha kwanza cha kuwapokea wakimbizi kutoka Afghanistan katika kipindi cha miaka miwili ya karibuni.

  • UNHCR yatahadharisha kuhusu mgogoro wa binadamu Somaliland, maelfu wanakimbilia Ethiopia

    UNHCR yatahadharisha kuhusu mgogoro wa binadamu Somaliland, maelfu wanakimbilia Ethiopia

    Mar 09, 2023 11:00

    Karibu watu laki moja wanaokimbia mapigano huko Somaliland; eneo lililojitenga kaskazini mwa Somalia, kwa muda wa mwezi mmoja sasa wamepewa hifadhi katika eneo moja nchini Ethiopia. Raia hao wa Somaliland wamekimbia huko licha ya eneo hilo kuathiriwa na ukame mkubwa. Hayo yameelezwa na Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR).

  • UNHCR: Dola bilioni 1.3 zinahitajika kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini

    UNHCR: Dola bilioni 1.3 zinahitajika kusaidia wakimbizi wa Sudan Kusini

    Feb 22, 2023 13:22

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, pamoja na mashirika 108 ya utoaji wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dola bilioni 1.3 ili kusaidia wakimbizi kutoka Sudan Kusini na jamii zinazowahifadhi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, Ethiopia, Kenya, Sudan na Uganda.

  • Wakimbizi wa DRC nchini Rwanda wakosoa kimya cha jamii ya kimataifa

    Wakimbizi wa DRC nchini Rwanda wakosoa kimya cha jamii ya kimataifa

    Dec 13, 2022 07:16

    Maelfu ya wakimbizi raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wameikosoa jamii ya kimataifa kwa kufumbia macho mauaji yanayoendelea kufanywa na magenge ya waasi mashariki mwa DRC.

  • Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Sep 01, 2022 07:36

    Wahanga wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda waliofurushwa katika mabweni walikokuwa wakiishi kutokana na mpango tata wa wakimbizi wa Uingereza, wanalalamika kuwa wameachwa bila pahala pa kuishi, licha ya mabweni hayo kusalia bila watu.

  • Gavana wa Texas: Biden ndiye wa kulaumiwa kwa

    Gavana wa Texas: Biden ndiye wa kulaumiwa kwa "janga la kutisha la wahajiri" nchini Marekani

    Jun 28, 2022 09:56

    Gavana wa Texas nchini Marekani amemlaumu Rais Joe Biden wa nchi hiyo kuwa ndiye wa kulaumiwa kwa vifo vya makumi ya wahajiri ambao miili yao imepatikana ikiwa imetelekezwa katika lori kwenye jimbo hilo.

  • Vita vimewatenganisha mamia ya watoto na familia zao DRC

    Vita vimewatenganisha mamia ya watoto na familia zao DRC

    Jun 26, 2022 11:18

    Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Uganda limesema mamia ya watoto wamelazimika kutengana na wazazi na jamaa zao kutokana na mapigano huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Jun 17, 2022 02:17

    Katika hali ambayo, viongozi wa Uingereza wanang'ang'ania msimamo wao wa kuhamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini humo, safari ya kwanza ya ndege ambayo ilikusudiwa na Uingereza kuwasafirisha kwa lazima wakimbizi na kuwapeleka nchini Rwanda, imeakhirishwa.

  • UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi

    UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi

    Jun 14, 2022 07:57

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR Filippo Grandi, ametupilia mbali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kuwahamishia Rwanda watafuta hifadhi wanaokwenda nchini humo huku akisema makubaliano hayo ya kando kati ya nchi mbili hizo ni makosa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS