Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Uchaguzi mkuu kufanyika Namibia Jumatano, uwezekano wa rais mwanamke

    Uchaguzi mkuu kufanyika Namibia Jumatano, uwezekano wa rais mwanamke

    Nov 26, 2024 13:21

    Raia wa Namibia watapiga kura siku ya Jumatano kumchagua rais mpya na wabunge wa Bunge la Kitaifa katika kinyang'anyiro ambacho wataalamu wanaamini kuwa kinaweza kuwa na ushindani mkubwa zaidi tangu uhuru wa nchi hiyo mwaka 1990.

  • Bara la Afrika laongoza katika mauaji ya wanawake duniani

    Bara la Afrika laongoza katika mauaji ya wanawake duniani

    Nov 26, 2024 13:17

    Imebainika kuwa wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa watu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja aliuawa katika kila dakika 10, na kwa mantiki hiyo ni jumla ya wanawake 85,000 waliouawa huku bara la Afrika likiongoza.

  • UN yaitaka Somalia iongeze uwekezaji katika vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia

    UN yaitaka Somalia iongeze uwekezaji katika vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia

    Nov 26, 2024 02:25

    Umoja wa Mataifa jana Jumatatu ulitoa mwito kwa serikali ya Somalia kuongeza uwekezaji katika vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia nchini humo.

  • Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya  kusikitisha ya wanawake wa Gaza

    Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza

    Nov 25, 2024 14:10

    Leo tarehe Novemba 25 ni Siku ya Kimataifa ya Kupiga Marufuku Ukatili dhidi ya Wanawake. Hii ni katika hali ambayo wanawake katika nchi nyingi za dunia bado wako chini ya ukandamizaji, dhulma na unyanyasaji, hali ambayo ni mbaya zaidi katika maeneo ya vita kama Ukanda wa Gaza.

  • Mabanati wa Ghaza waendesha 'Muqawama wa Kiqur'ani' ili kuzipa nyoyo sakina na utulivu

    Mabanati wa Ghaza waendesha 'Muqawama wa Kiqur'ani' ili kuzipa nyoyo sakina na utulivu

    Oct 31, 2024 03:46

    Kundi moja la mabanati katika Ukanda wa Ghaza limeamua kuweka darsa za kuhifadhi Qur'ani ili kuzipa nyoyo zao sakina na utulivu kwa maneno matukufu ya Mwenyezi Mungu, licha ya eneo hilo kuendelea kuandamwa na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi

    Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi

    Oct 29, 2024 07:55

    Makamu wa Rais wa Iran anayehusika na Masuala ya Wanawake na Familia ametangaza kuwa kikao cha tano cha Kamisheni ya pamoja ya Iran na Tanzania kimefanyika kwa kushirikisha wanawake wengi na kwa lengo la kupanua uhusiano wa kiuchumi, kibiashara, kijamii na kiutamaduni kati ya nchi hizo mbili.

  • UN: Vita vimeathiri zaidi ya wanawake milioni 600 kote ulimwenguni

    UN: Vita vimeathiri zaidi ya wanawake milioni 600 kote ulimwenguni

    Oct 28, 2024 06:49

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, zaidi ya wanawake na wasichana milioni 600 wameathiriwa na vita katika kona zote za dunia na hilo ni ongezeko la asilimia 50 ikilinganishwa na miaka kumi iliyopita. Maafisa wakuu wa umoja huo wana wasiwasi kwamba ulimwengu umewasahau wanawake huku kukiwa na vilio vikubwa vya kukanyagwa zaidi haki za wanawake kwenye maeneo ya vita.

  • IMF yaitahadharisha dunia kuepuka vita vya kibiashara

    IMF yaitahadharisha dunia kuepuka vita vya kibiashara

    Oct 25, 2024 02:40

    Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeitahadhariisha dunia na kuuiitaka iepuke vita vya kibiashara.

  • Jeshi la Rwanda lapinga madai ya kuwabaka wanawake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jeshi la Rwanda lapinga madai ya kuwabaka wanawake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 17, 2024 10:45

    Jeshi la Rwanda limekanusha madai ya ubakaji dhidi ya wanajeshi wake wanaohudumu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), likisema kuwa wanajeshi wa Rwanda katika ujumbe huo ni "wastaarabu" na "wanalinda na kuheshimu watu wanaokutana nao".

  • UN: Maisha ya maelfu ya wanawake Gaza yako hatarini huku Israel ikiendeleza vita

    UN: Maisha ya maelfu ya wanawake Gaza yako hatarini huku Israel ikiendeleza vita

    Oct 08, 2024 03:02

    Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kazi ya usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake linasema maelfu ya wanawake wanakabiliwa na hatari za kiafya zinazohatarisha maisha katika Ukanda wa Gaza, ambapo zaidi ya Wapalestina 42,000 wameuawa kutokana na vita vya mauaji ya kimbari vinavyowendelezwa na utawala katili wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS