Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Jeshi la Rwanda lapinga madai ya kuwabaka wanawake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jeshi la Rwanda lapinga madai ya kuwabaka wanawake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 17, 2024 10:45

    Jeshi la Rwanda limekanusha madai ya ubakaji dhidi ya wanajeshi wake wanaohudumu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), likisema kuwa wanajeshi wa Rwanda katika ujumbe huo ni "wastaarabu" na "wanalinda na kuheshimu watu wanaokutana nao".

  • UN: Maisha ya maelfu ya wanawake Gaza yako hatarini huku Israel ikiendeleza vita

    UN: Maisha ya maelfu ya wanawake Gaza yako hatarini huku Israel ikiendeleza vita

    Oct 08, 2024 03:02

    Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kazi ya usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake linasema maelfu ya wanawake wanakabiliwa na hatari za kiafya zinazohatarisha maisha katika Ukanda wa Gaza, ambapo zaidi ya Wapalestina 42,000 wameuawa kutokana na vita vya mauaji ya kimbari vinavyowendelezwa na utawala katili wa Israel.

  • Niger yasimamisha kipindi cha Wafaransa kinachodhalilisha wanawake Waafrika

    Niger yasimamisha kipindi cha Wafaransa kinachodhalilisha wanawake Waafrika

    Oct 04, 2024 07:12

    Serikali ya kijeshi ya Niger imepiga marufuku kipindi kinachorushwa na kanali ya televisheni ya Ufaransa ikisisitiza kuwa kipindi hicho ni tishio kwa thamani za nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Wakulima wa Afrika Kusini watuhumiwa kuuwa wanawake 2, na kisha miili yao kuwalisha nguruwe

    Wakulima wa Afrika Kusini watuhumiwa kuuwa wanawake 2, na kisha miili yao kuwalisha nguruwe

    Sep 11, 2024 03:12

    Wanaume watatu nchini Afrika Kusini wanatuhumiwa kuwauwa wanawake wawili na kisha miili yao kuwalisha nguruwe katika shamba lao. Kesi hii tajwa imeibua ghadhabu na hasira miongoni mwa jamii ya Afrika Kusini.

  • Wanaharakati watoa mwito wa kukomeshwa mauaji dhidi ya wanawake Kenya

    Wanaharakati watoa mwito wa kukomeshwa mauaji dhidi ya wanawake Kenya

    Sep 07, 2024 02:49

    Makundi ya wanawake nchini Kenya yametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia na mauaji dhidi ya wanawake katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Mwanariadha wa Uganda auawa kwa kuchomwa moto

    Mwanariadha wa Uganda auawa kwa kuchomwa moto

    Sep 05, 2024 12:44

    Madaktari na maafisa wa riadha wametangaza kuwa, mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegei, aliyeshiriki katika michezo ya Olimpiki nchini Ufaransa amefariki dunia nchini Kenya leo.

  • Mwanamke wa Kimarekani aliyejaribu kumzamisha mtoto wa Kipalestina afunguliwa mashtaka ya jaribio la kuua

    Mwanamke wa Kimarekani aliyejaribu kumzamisha mtoto wa Kipalestina afunguliwa mashtaka ya jaribio la kuua

    Sep 05, 2024 02:31

    Baraza Kuu la Mahakama ya Tarrant limemfungulia mashtaka mwanamke wa Texas kwa tuhuma za kujaribu kumzamisha msichana mwenye umri wa miaka 3 wa Kipalestina raia wa Marekani, kutokana na chuki za ubaguzi.

  • Mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake Kenya atoroka gerezani

    Mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake Kenya atoroka gerezani

    Aug 20, 2024 12:01

    Raia wa Kenya aliyekiri kuhusika na mauaji ya wanawake 42 ambao baadhi yao miili yao ilipatikana imetupwa katika eneo la kutupa taka jijini Nairobi, ametoroka gerezani.

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu zataka sakata la kubakwa

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu zataka sakata la kubakwa "binti" huko Tanzania lishughulikiwe ipasavyo

    Aug 10, 2024 07:29

    Mashirika mbalimbali ya kutetea haki za binadamu yameendelea kupaza sauti yakitaka hatua za haraka zichukuliwe kuwashughulikia ipasavyo waliohusika na kitendo kiovu cha kumbaka na kumlawili binti mmoja wakidai kuwa wametumwa na "afande" kufanya ukatili huo.

  • Waziri Mkuu wa Bangladesh ajiuzulu, akimbia nchi,  jeshi kuunda serikali

    Waziri Mkuu wa Bangladesh ajiuzulu, akimbia nchi,  jeshi kuunda serikali

    Aug 05, 2024 12:33

    Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina amejiuzulu na kutoroka nchi huku kukiwa na maandamano makali dhidi ya sera za serikali na utawala wake wa muda mrefu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS