-
Rais wa Zanzibar apokea ripoti ya Kikosi Kazi iliyojadili maoni ya wananchi + SAUTI
Nov 03, 2022 04:03Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi wa Zanzibar amepokea ripoti ya Kikosi Kazi kilichoshughulikia uchambuzi wa maoni yaliyotolewa kwenye kongamano la siku mbili lililojadili hali ya kisiasa Zanzibar mwezi uliopita. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Uhusiano wa Zanzibar na Iran unazidi kuimarika + SAUTI
Oct 20, 2022 16:38Meya wa jiji la Zanzibar ameonana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jijini Dar es Salaam Tanzania na pande mbili zimehimiza mno kuendelezwa uhusiano wa damu na wa jadi baina yao. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar
-
Ziara ya Rais wa Zanzibar nchini Oman + SAUTI
Oct 15, 2022 17:41Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi amemaliza ziara yake ya siku nne nchini Oman na amesema kuwa, ziara yake hiyo imekuwa na mafanikio makubwa. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi...
-
Zanzibar: Tuna hamu ya kupanua uhusiano wetu na Iran
Aug 26, 2022 07:29Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Zanzibar amesema anatumai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitaimarisha na kupanua uhusiano wao wa pande mbili.
-
Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu
Feb 17, 2022 03:18Serikali ya Zanzibar jana Jumatano ilizindua rasmi teknolojia mpya inayoweza kutambua uwezekano wa maambukizi ya Covid-19 kwa muda mfupi kwa kutumia simu (EDE).
-
Watu 9 waaga dunia kwa kuzama baharini kisiwani Pemba, wengine hawajulikani waliko
Jan 05, 2022 03:20Watu tisa wamefariki dunia na wengine kadhaa kuokolewa baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama Mkoa wa Kusini Pemba.
-
Makampuni ya watalii Zanzibar yatakiwa kuchunga hulka za Kizanzibari + Sauti
Sep 15, 2021 04:27Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema kuwa, jukumu la kusimamia maadili na utamaduni wa Kizanzibari kwa wageni wanaotembelea visiwa hivyo linazihusu kampuni zinazoandaa misafara ya watalii wanaongia visiwani humo. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Rais wa Zanzibar ahutubia Baraza la Idul Adh'ha, Wete Pemba + Sauti
Jul 21, 2021 16:06Baraza la Idul Adh'ha mwaka huu visiwani Zanzibar, limefanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la mjini Wete, mkoa wa Kaskazini Pemba. Rais Hassan Ali Hassan Mwinyi amehutubia baraza hilo. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit ametutayarishia ripoti ifuatayo.
-
Waandishi Tanzania watakiwa kutumia vizuri kalamu zao kutatua migogoro + Sauti
Jul 15, 2021 13:37Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kutumia vizuri kalamu zao kwa ajili ya kuimarisha amani na kutatua migogoro katika jamii ikiwemo ya wakati wa uchaguzi. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Viongozi wa Uamsho Zanzibar wafutiwa kesi, waanza kuondoka gerezani
Jun 16, 2021 12:26Viongozi 36 wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), wakio gozwa na Sheikh Farid Hadi Ahmed na Mselem Ali Mselem waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya ugaidi, wameachiwa huru.