-
HRW: Waasi wa M23 wameuwa raia zaidi ya 140 mashariki mwa Kongo
Aug 20, 2025 08:28Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza hii leo kuwa waasi wa kundi la M23 limeuwa raia zaidi ya 140 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje: Uganda haijakubaliana na Marekani kupokea wahamiaji haramu
Aug 20, 2025 08:27Uganda imesema kuwa haijafikia makubaliano na Marekani kuwapokea nchini humo wahamiaji haramu kwa sababu haina miundomsingi inayohitajika kufanya hivyo.
-
Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi msikitini Nigeria
Aug 20, 2025 03:16Magaidi waliokuwa na silaha jana Jumanne waliwauwa waumini karibu 27 waliokuwa msikitini katika jimbo la Katsina kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Sudan yaripoti wagonjwa wapya wa kipindupindu 1,575, vifo 22
Aug 20, 2025 03:00Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa wagonjwa 1,575 wapya wa kipindupindu na vifo 22 vimesajiliwa kote nchini humo katika muda wa wiki moja iliyopita.
-
Jamhuri ya Afrika ya Kati kufanya uchaguzi mkuu Disemba 28
Aug 20, 2025 02:57Jamhuri ya Afrika ya Kati itaendesha uchaguzi mkuu Disemba 28 mwaka huu baada ya kuakhrishwa mara kadhaa. Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya serikali ya jana Jumanne.
-
Human Rights Watch yakosoa mpango wa Marekani wa kuiuzia Nigeria silaha
Aug 19, 2025 23:47Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeikosoa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kwa kuidhinisha mpango mpya wa mauzo ya silaha wa dola milioni 346 kwa Nigeria, likisema kuwa hatua hiyo inapuuza rekodi ya jeshi la Nigeria ya kile ilichokiita "ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu."
-
Magaidi wa al-Shabab zaidi ya 100 wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia
Aug 19, 2025 08:02Magaidi wa kundi la al Shabab zaidi ya 100 wameuawa katika oparesheni iliyotekelezwa na jeshi la Somalia katikaa maeneo karibu na mji wa Awdhegle katika mkoa wa Lower Shabelle.
-
Zakzaky: Mipango ya kuwafukuza Wapalestina Gaza, kuipokonya silaha Hizbullah itafeli
Aug 19, 2025 07:14Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Yaqoub Zakzaky amebainisha kuwa, mipango ya utawala wa Kizayuni ya kuwaondoa kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Gaza katika ardhi yao na kuipokonya silaha Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon kwa kutumia serikali ya Beirut itagonga mwamba.
-
Watu 52 wauawa kwa kupigwa mapanga na waasi wa ADF mashariki ya Kongo, DR
Aug 19, 2025 03:05Maafisa wa Umoja wa Mataifa na wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC wamesema, katika siku za karibuni, waasi wa Allied Democratic Forces, ADF waliokuwa na mapanga wamewaua raia wapatao 52 katika maeneo ya Beni na Lubero mashariki mwa nchi hiyo.
-
Matumaini ya kupatikana suluhisho la kisiasa baina ya serikali ya Kongo DR na M23 yaongezeka
Aug 18, 2025 23:34Matarajio ya kufikiwa suluhisho la amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameongeka baada ya miongo kadhaa ya vita vya kikatili mashariki mwa nchi hiyo.