-
WFP yadondosha misaada Sudan Kusini kutokea angani kutokana na mapigano
Jul 07, 2025 13:08Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, (WFP) limeanza kudondosha misaada ya dharura ya chakula kwa njia ya anga kwa maelfu ya familia katika Jimbo la Upper Nile nchini Sudan Kusini, ambako mapigano yaliyopamba moto tangu mwezi Machi mwaka huu yamewafanya watu walazimike kuhama makazi yao na kukaribia kuzitumbukiza baadhi ya jamii kwenye njaa ya kupindukia.
-
Kadhaa wauawa na kujeruhiwa Nigeria katika shambulio la Boko Haram
Jul 07, 2025 03:26Kwa akali watu tisa wameuawa huku wengine wanne wakijeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Boko Haram dhidi ya jamii ya Malam Fatori katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Sheikh Zakzaky aipongeza Iran kwa kuibuka mshindi dhidi ya Israel
Jul 06, 2025 11:12Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amepongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuichakaza na kuibuka mshindi dhidi ya Israel katika vita vya siku 12.
-
Waislamu wa Kenya watishia kujitenga na Mfumo wa sheria kupinga hukumu ya urithi
Jul 06, 2025 11:03Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wameonya kuwa huenda jamii yao ikajitenga na mfumo wa kisheria wa nchi hiyo iwapo serikali haitachukua hatua ya kufuta au kurekebisha hukumu ya Mahakama ya Juu kuhusu haki ya watoto waliozaliwa nje ya ndo kurithi mali.
-
MSF: Huduma za afya nchini Sudan zinasitishwa, mashambulizi kwenye vituo vya afya yanaongezeka
Jul 05, 2025 23:46Mashirika ya misaada ya kibinadamu yanaendelea kupaza sauti juu ya mashambulizi dhidi ya vituo vya afya nchini Sudan, yakionya kwamba asilimia 70 kati ya vituo hivyo vimefungwa au vinafanya kazi kwa shida.
-
Equatorial Guinea yaishtaki Ufaransa kwa mahakama ya UN kwa uporaji
Jul 05, 2025 11:53Equatorial Guinea imewasilisha kesi dhidi ya Ufaransa katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ikitaka kusitishwa uuzaji wa jumba la kifahari mjini Paris, ambalo nchi hiyo ya Afrika Magharibi inataka kulitwaa tena, mahakama hiyo ya Umoja wa Mataifa ilisema hayo jana Ijumaa.
-
Rais wa Rwanda asema hana uhakika wa kufanikiwa makubaliano ya amani ya DRC
Jul 05, 2025 03:49Rais Paul Kagame wa Rwanda amekaribisha kwa tahadhari makubaliano ya amani yaliyofikiwa kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na kundi la waasi la M23 kwa upatanishi wa Marekani akisema, kufanikiwa kwa mapatano hayo kunategemea nia njema itakayoonyeshwa na pande husika.
-
Rais Ruto akiri kujenga kanisa ndani ya Ikulu ya Rais, asema: Sitaomba msamaha
Jul 04, 2025 11:53Rais William Ruto wa Kenya amekiri kuwa anajenga Kanisa katika Ikulu ya Rais akidai kuwa anatumia pesa zake kujenga kanisa hilo.
-
Rais wa Afrika Kusini: Mazungumzo ya kitaifa yataendelea bila mshirika wa muungano
Jul 04, 2025 11:49Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema kuwa mazungumzo ya kitaifa yenye lengo la kuimarisha umoja na kuiunganisha nchi baada ya uchaguzi wa mwaka jana yataendelea bila mshirika mkuu katika serikali ya mseto ya nchi hiyo.
-
Waasi wa M23: Tuko tayari kushiriki mazungumzo ya amani ya Doha
Jul 04, 2025 03:42Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na waasi wa M23 wamesema kwamba watatuma wajumbe nchini Qatar kwa mazungumzo ya amani, huku Washington ikishinikiza kukomeshwa kwa mapigano ambayo yanaweza kusaidia kufungua mabilioni ya uwekezaji katika madini.