-
Shambulio la droni la RSF laua watu 24 wakiwemo watoto 8 Kordofan Kaskazini, Sudan
Feb 07, 2026 22:59Shambulio la ndege zisizo na rubani la Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF lililolenga gari lililobeba familia za raia wa Sudan waliolazimika kuyahama makazi yao limeua watu wasiopungua 24, wakiwemo watoto wanane. Hayo ni kwa mujibu wa shirika la mtandao wa Madaktari wa Sudan.
-
Somalia: Uingiliaji kati wa Israel ni changamoto kwa bara zima la Afrika
Feb 07, 2026 08:12Rais wa Somalia amekosoa vikali uingiliaji kati wa utawala wa kizayuni Israel katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kueleza kwamba, hatua hiyo ya Wazayuni ni changamoto kwa bara zima la Afrika.
-
Maandamano makubwa yafanyika mjini Rabat, Morocco kuunga mkono Palestina
Feb 07, 2026 08:03Mamia ya raia wa Morocco wameandamana na kukusanyika mbele ya jengo la Bunge mjini Rabat, wakitangaza himaya na uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kulaani mzingiro wa utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Al-Burhan: Hakutakuwa na amani na wale walioua, kupora na kuwafurusha watu wa Sudan
Feb 07, 2026 03:09Mkuu wa Baraza la Utawala nchini Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amesema kwamba hakutakuwa na amani na wale walioua, kupora na kuwafurusha makwao watu wa Sudan.
-
Kesi ya kupinga ushindi wa Museveni yatupiliwa mbali, sababu.. gharama kubwa
Feb 07, 2026 03:08Kesi iliyowasilishwa mahakamani kupinga ushindi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda katika uchaguzi mkuu wa Januari 15 imetupiliwa mbali.
-
Ripoti: Ufaransa na Uingereza zimehusika katika mauaji ya Saif al-Islam Gaddafi
Feb 06, 2026 23:16Ufaransa na Uingereza zinaripotiwa kuhusika katika mauaji ya Saif al-Islam Gaddafi, mtoto maarufu wa Rais wa zamani wa Libya Kanali Muammar Gaddafi, kwani alionekana kama mtu ambaye angeweza kuiunganisha tena Libya baada ya uasi unaoungwa mkono na NATO.
-
Umoja wa Mataifa: Sudan inakabiliwa na janga kubwa la njaa
Feb 06, 2026 23:16Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, nchi ya Sudan inayoshuhudia vita vya wenyewe kwa wenyewe inakabiliwa na njaa kali.
-
Mradi wa Mauaji ya Kimbari wa Italia nchini Libya
Feb 06, 2026 23:07Karne ya ishirini Miladia haikushuhudia tu matukio ya kushangaza ya binadamu, bali pia ilibeba baadhi ya kurasa zenye giza kuu katika historia ya mwanadamu. Katika moyo wa bara la Afrika, nchini Libya, dola moja ya kikoloni kutoka Ulaya ilitekeleza mpango wa kishetani na uliopangwa kwa umakini kwa lengo la kuangamiza taifa zima.
-
Nguesso kuwania tena urais baada ya kuitawala Jamhuri ya Kongo kwa zaidi ya miaka 40
Feb 06, 2026 06:39Rais wa Jamhuri ya Kongo (Brazzaville), Denis Sassou Nguesso, ametangaza kwamba atagombea tena urais wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao wa Machi, akiwa na lengo la kusalia madarakani kwa zaidi ya miongo minne huku akiwa na umri wa miaka 82.
-
AU, UN zalaani mashambulizi ya kigaidi yaliyoua 170 Nigeria
Feb 06, 2026 02:52Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na nchi mbali mbali duniani sambamba na kutoa salamu za rambirambi, zimelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyoua watu wasiopungua 170 magharibi mwa Nigeria.