-
Kongo yamuondolea kinga Kabila ikimtuhumu kwa uhalifu wa kivita
May 01, 2025 23:21Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanzisha mchakato wa kumuondolewa kinga Rais wa zamani wa nchi hiyo, Joseph Kabila ili aweze kukabiliwa na mashtaka ya kuunga mkono waasi wa M23 mashariki mwa nchi.
-
Waziri: Kukubaliwa Uganda kuwa mshirika wa BRICS ni hatua muhimu
May 01, 2025 23:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda, Jeje Odongo amesema kukubaliwa nchi hiyo kuwa taifa mshirika wa BRICS kunaashiria hatua muhimu katika uhusiano wa kigeni, na matarajio ya maendeleo ya nchi hiyo.
-
Afisa wa kijeshi wa Uingereza akamatwa Nigeria kwa kusafirisha silaha
May 01, 2025 09:24Vikosi vya usalama vya Nigeria vimemkamata Meja wa Jeshi la Uingereza Micah Polo kwa kujaribu kusafirisha akiba kubwa ya silaha nje ya nchi.
-
Umoja wa Afrika waondoa vikwazo dhidi ya Gabon na kuirejesha katika taasisi zake
May 01, 2025 09:14Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuwa, umeiondolea vikwazo Gabon na kuirejesha tena katika taasisi zake.
-
Spika wa Bunge Kenya aamuru uchunguzi wa mauaji ya mbunge, Charles Ong’ondo
May 01, 2025 03:30Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula amemwagiza Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kuchunguza mara moja mauaji ya mbunge wa Kasipul, Charles Ong’ondo Were na kuwasilisha matokeo ya uchunguzi huo bungeni bila kuchelewa.
-
UAE yaituhumu Sudan kusafirisha silaha kupitia nchi hiyo, Khartoum yakadhibisha madai hayo
May 01, 2025 02:25Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kwamba umezuia jaribio haramu la kusafirisha mamilioni ya vifaa vya kijeshi na risasi kwa jeshi la Sudan katika moja ya viwanja vya ndege vya nchi hiyo.
-
Tshisekedi atetea mkataba wa amani kati ya DRC na Rwanda
May 01, 2025 00:16Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ametetea mkataba uliotiwa saina baina ya nchi yake na Rwanda kwamba ni mwanzo mzuri wa kuleta amani mashariki mwa nchi yake.
-
Kenya yatupilia mbali madai ya Sudan kwamba inaunga mkono RSF
May 01, 2025 00:16Serikali ya Kenya imekanusha madai yaliyotolewa na uongozi wa kijeshi nchini Sudan unaoilaumu Nairobi kwa mzozo unaoendelea nchini Sudan na kuwa nchi hiyo inaunga mkono kundi la RSF.
-
Maelfu waliokimbia vita Sudan wanarejea nchini kutoka Misri
Apr 30, 2025 07:51Makumi ya maelfu ya Wasudani waliolazimika kuhama makazi yao kutokana na vita sasa wanarejea nchini licha ya vita kuendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya Sudan.
-
Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera
Apr 29, 2025 23:03Wafanyakazi watano wa machimbo wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa wakati gari lao liliposhambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigadi la al-Shabaab kaskazini mashariki mwa Kenya.