-
Waasi wa M23 wateka mji mwingine mashariki mwa DRC licha ya kudai kusitisha vita
Feb 06, 2025 03:24Waasi wa M23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana Jumatano waliuteka mji wa Nyabibwe ulioko mashariki mwa jimbo la Kivu Kusini licha ya kudai kuwa wamesimamisha vita kwa upande mmoja.
-
Jeshi la Sudan lasonga mbele kuelekea katikati ya Khartoum
Feb 05, 2025 23:03Jeshi la Sudan lilitangaza jana, Jumatano, kuwa limepiga hatua kubwa za maendeleo katika mji mkuu, Khartoum, na kudhibiti kitongoji cha Al-Rumaila, makao makuu ya vifaa vya matibabu.
-
Kwa nini Afrika Kusini inataka Marekani iwekewe vikwazo
Feb 05, 2025 23:01Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.
-
"Mapinduzi ya Kiislamu yaliathiri mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya apartheid"
Feb 05, 2025 08:48Mwanahabari mkongwe mjini Cape Town, Farid Sayed amesema Mapinduzi ya Kiislamu na kuasisiwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kulikuwa na athari kubwa kwa mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya mfumo wa ubaguzi wa rangi wa apartheid.
-
Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani
Feb 04, 2025 23:11Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.
-
Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC
Feb 04, 2025 23:10Uganda imeripotiwa kutuma wanajeshi zaidi ya 1,000 wa ziada huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya wiki moja iliyopita, karibu na eneo ambalo wanajeshi wa serikali ya Kinshasa wanapambana na waasi wa M23.
-
IOM: Vita vya Sudan vimeongeza idadi ya wakimbizi wa ndani Pembe ya Afrika
Feb 04, 2025 23:10Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema idadi ya wakimbizi wa ndani (IDP) katika Pembe ya Afrika iliongezeka hadi milioni 20.75 kufikia mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2024.
-
Muungano wa waasi wa mashariki mwa Kongo likiwemo kundi la M23 watangaza kusitisha mapigano
Feb 04, 2025 04:00Muungano kwa jina la The Alliance Fleuve Congo; muungano wa waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaolijumuisha pia kundi la waasi wa M23 umetangaza kusitisha mapigano kuanzia leo Jumanne Februari 4.
-
Watu 44 wauawa katika shambulio la waasi wa SPLM-N huko Kordofan Kusini
Feb 04, 2025 03:59Maafisa wa Sudan wametangaza kuwa watu wasiopungua 44 wameuawa na 28 kujeruhiwa katika shambulio lililotekelezwa na waasi wa harakati ya SPLM-N inayoongozwa na Abdelaziz al Hilu katika makao makuu ya jimbo la Korofan Kusini kusini mwa Sudan.
-
Ramaphosa: Afrika Kusini haitajitoa katika kikosi cha kulinda amani Kongo
Feb 03, 2025 23:20Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameahidi kuendelea kuisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo licha ya wananchi wa Afrika Kusini kutoa wito wa kuondoka Kongo wanajeshi wa nchi hiyo kufuatia vifo vya walinda amani 14 wa Afrika Kusini.